Hayati Dkt. Magufuli ndiye Rais aliyefaa kuiongoza Tanzania

Ata awe nani adui wa taifa ili ni uongozi wa sisiyemu. Lawama unazoziamisha toka kwa fulani kwenda kwa fulani sababishi ni hao hao sisiyemu.
 
Mama anavutia wawekezaji 😂
Kajamaa kalikuwa na mapungufu yake mengi ila mengine kalitusaisia kwa kweli kanidhaamu kalirudirudi.

Naomba tu wahindi wasipishane getini ikulu,enzi ya jiwe wahindi waliota joto la jiwe.
 
Kajamaa kalikuwa na mapungufu yake mengi ila mengine kalitusaisia kwa kweli kanidhaamu kalirudirudi.

Naomba tu wahindi wasipishane getini ikulu,enzi ya jiwe wahindi waliota joto la jiwe.
Walikuwa kama wako uhamishoni 😂 yani wanakimbilia India na kurudi
 
Tangu tupate uhuru nchi hii haijawahi kuwa na kiongozi mwenye roho ya kishetani kama huyo!
 
Acha Wenge, Mbona hausemi siku hizi watu wasiojulikana hawapo?

Enzi za Magu umeme ulikuwa unakatika tu labda wewe ulikuwa unakaa line ya ikulu.

Jengo la Taneco alibomoa ili iweje? Mbona hausemi alikuwa na Roho Mbaya?
Watu wasiojulikana wakati we upo hadi leo. Mbona we hujakutana na watu wasiojulikana?
Huyo waziri wako January mwenyewe kakiri kuwa umeme ulikuwa haukatiki ili watu wasifukuzwe, na kila mtu anakuambia hali haikuwa hivi ne walishasahau habsri hizo, we unasema ulikuwa unakatika tu.

Kuhusu jengo la tanesco fuatilia pia historia yake alipokuwa waziri..pia nikukumbushe pembeni ya tanesco kulikuwa na ofisi za tanroads ambazo aliamuru zivunjwe kwa kuwa zilikuwa kwenye mpaka wa barabara.
 
Mkuu wewe bado unaumwa tafadhari wahi dozi nyinyingine! Rais wa kuongoza wizara moja na kupeleka bajeti yote kwenye wizara moja kati ya wizara 27, hatufai hatufai!
Wizara moja sio ya kukopea mikopo nje ya nchi na hapohapo hatowi ajira wala kuongeza mshahara kwa watumishi wa serikali yake huyo hatufai!
Rais aliyezalisha viongozi majambazi ambao leo wanahukumiwa vifungo jela hatufai!
Rais anayeongea uwongo kuwa mashirika kama TTCL au ATCL yanajiendesha kwa faida na kutoa gawiwo serikalini ilihali ni hasara tupu, hatufai!
Rais anayeteuwa na kujaza ndani ya serikali watu wa kaila lake au ukanda wake tu , hatufai!
Rais anayefukuza hovyo watumishi wenzake wa serikali ilihali yeye binafsi tu hakutosheka na utumishi wake kama mwalimu, hatufai!
Kwa ujumla alikuwa na makandokando mengi mengi sana yaliyomfanya akose kabisa hata uhalali wa kukaa Ikulu!
Tumuombee tu apumzike kwa Amani na huko aliko Mwenyezi Mungu aendelee kumlipa mshahara wake anaostahili sawasawa na matendo yake!
 
Unajipa mamlaka juu ya mwenyezi Mungu! Mlituambia slipoingia madarakani kuwa ni chaguo la Mungu na ndivyo Mungu alivyomuona hafai kuendelea kutokana na matendo yake.
 
Utakua umeishiwa dawa za uchizi,wahi mirembe kwenye file lako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…