Hayati Dkt. Magufuli siyo dikteta, ni kiongozi Bora kuwahi kutokea Tanzania

Hayati Dkt. Magufuli siyo dikteta, ni kiongozi Bora kuwahi kutokea Tanzania

Mohammed wa 5

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2022
Posts
1,215
Reaction score
3,035
Habari za muda huu Wana JF

Mwaka wa 2 Sasa tokea tuondokewe na kiongozi wetu shujaa mtetezi wa wanyonge JPM endelea kupumzika kwa amani.

Kuna kipindi nilikuwa Kenya kabla ya kifo Cha magufuli wakenya wengi walikuwa wanamsifia magufuli ni kiongozi shujaa Kenya wanatamani wangepata raisi kama magufuli ambaye Yuko mstari wa mbele kuwatetea wananchi wake

Nasikia pia watu wa Rwanda wanamkubali sana JPM jinsi alivyoongoza utawala wake na kuziba njia zote za wizi

Tumuache shujaa wetu apumzike kwa amani mengi ameyafanya mazuri wengi moyoni mwenu mnakubali alikuwa kiongozi wa Aina yake kutokea Tanzania

Tufanye kazi kwa bidii na tumuunge mkono mama yetu mama Samia na kazi iendelee
 
Dalili za kiongozi dikteta ni kutoheshimu katiba. Magufuli alikuwa haheshimu katiba kwa kiwango kikubwa sana. Mfano mmojawapo ni kumuondoa CAG kinyume cha katiba, kupora pesa na mali za watu pasipo haki mfano ni pesa za wafanyabiashara wa bureau de change na korosho za wananchi huko Kusini. Kubariki magenge ya wasiojulikana, Kupora na kuiba chaguzi waziwazi na kutumia pesa za nchi utafikiri anazitoa mfukoni mwake
 
Habari za muda huu Wana JF

Mwaka 2 Sasa tokea tuondokewe na kiongozi wetu shujaa mtetezi wa wanyonge JPM endelea kupumzika kwa amani.

Kuna kipindi nilikuwa Kenya kabla ya kifo Cha magufuli wakenya wengi walikuwa wanamsifia magufuli ni kiongozi shujaa Kenya wanatamani wangepata raisi kama magufuli ambaye Yuko mstari wa mbele kuwatetea wananchi wake

Nasikia pia watu wa Rwanda wanamkubali sana JPM jinsi alivyoongoza utawala wake na kuziba njia zote za wizi

Tumuache shujaa wetu apumzike kwa amani mengi ameyafanya mazuri wengi moyoni mwenu mnakubali alikuwa kiongozi wa Aina yake kutokea Tanzania

Tufanye kazi kwa bidii na tumuunge mkono mama yetu mama Samia na kazi iendelee
Legasi
JamiiForums-266676641.jpg
 
Amini kwamba na kwambia hakuna aliyemkamilifu lakn MAGUFULI alikuwa mtetez wa WANYONGE n MPENDA HAKI
wachache nd watanielewa

Mtetezi wa mnonge yupi?. Azory hakuwa mnyonge?. Saanane hakuwa mnyonge? Lwajabe hakuwa mnyonge? Lissu je hakuwa mnyonge? Wananchi wa Kagera hawakuwa wanyonge alipowapiga pesa zao?. Magufuli alikuwa ibilisi Hilo la wanyonge ilikuwa kujikosha atende maovu.
 
Kitaifa, Magufuli alikua bora sana. Kifaa mara tu Nyerere anapoachia madaraka tungepata yeye. Tz ingekuwa mbali sana

Hakuna maendeleo ya kweli yanayokuja kwa kubembelezana.

Hapana. Magufuli big no. Huyo alistahili kuwa waziri wa miundombinu sio Rais.
 
Rais mzima unasema ukichagua Upinzani sileti maendeleo. Huo ni ujinga wa Hali ya juu.
 
Hamkutaka tuongee akiwa hai hata alivyokufa tusiongee machungu yetu. Acheni matendo yake yamuhukumu iwe kwa ubaya au mzuri
 
Habari za muda huu Wana JF

Mwaka wa 2 Sasa tokea tuondokewe na kiongozi wetu shujaa mtetezi wa wanyonge JPM endelea kupumzika kwa amani.

Kuna kipindi nilikuwa Kenya kabla ya kifo Cha magufuli wakenya wengi walikuwa wanamsifia magufuli ni kiongozi shujaa Kenya wanatamani wangepata raisi kama magufuli ambaye Yuko mstari wa mbele kuwatetea wananchi wake

Nasikia pia watu wa Rwanda wanamkubali sana JPM jinsi alivyoongoza utawala wake na kuziba njia zote za wizi

Tumuache shujaa wetu apumzike kwa amani mengi ameyafanya mazuri wengi moyoni mwenu mnakubali alikuwa kiongozi wa Aina yake kutokea Tanzania

Tufanye kazi kwa bidii na tumuunge mkono mama yetu mama Samia na kazi iendelee
magufuli alikuwa mpumbavu kama wafuas wake sukuma gang.
 
Back
Top Bottom