Hayati Dkt. Magufuli siyo dikteta, ni kiongozi Bora kuwahi kutokea Tanzania

Hayati Dkt. Magufuli siyo dikteta, ni kiongozi Bora kuwahi kutokea Tanzania

Hakika
Kuna waafrika wengi ni kama wale wanawake wa makabila yenye utamaduni wa kupenda kupigwa, wanawake hao usipowapiga hawafurahi na wanaona huwapendi.

Yani washazoea mikikimikiki, ukiwaongoza bila kuwatukana tukana, kuwatisha tisha, kuwateka teka, wanaona hufai kuwa kiongozi.
 
Dalili za kiongozi dikteta ni kutoheshimu katiba. Magufuli alikuwa haheshimu katiba kwa kiwango kikubwa sana. Mfano mmojawapo ni kumuondoa CAG kinyume cha katiba, kupora pesa na mali za watu pasipo haki mfano ni pesa za wafanyabiashara wa bureau de change na korosho za wananchi huko Kusini. Kubariki magenge ya wasiojulikana, Kupora na kuiba chaguzi waziwazi na kutumia pesa za nchi utafikiri anazitoa mfukoni mwake
Utapeli wako ni mpk na jf,? Assad hakufukuzwa,ila hakuongexewa mda, kuhusu bureu de change,mie nafkiri wewe sio mwongo,ila ni mjinga tu,hujui utaratibu wa namna ya kuendesha maduka ya kuuza na kununua fedha.kilichofanywa na jpm ni kitu halali kwa sheria ya uendeshaji bureau de change inayosimamiwa na bank kuu.ila waporaji kama nyie ni lazima mlaumu.
 
mpenda haki anabomoa nyumba za watu (kimara) bila kulipa huku akiacha zile za mwanza ati ndiyo waliomchagua? unajua maana ya haki lakini?
Walivamia barabara unataka awalipe badale mlipe nyie
 
Back
Top Bottom