Hayati Dkt. Magufuli siyo dikteta, ni kiongozi Bora kuwahi kutokea Tanzania

Hayati Dkt. Magufuli siyo dikteta, ni kiongozi Bora kuwahi kutokea Tanzania

Habari za muda huu Wana JF

Mwaka wa 2 Sasa tokea tuondokewe na kiongozi wetu shujaa mtetezi wa wanyonge JPM endelea kupumzika kwa amani.

Kuna kipindi nilikuwa Kenya kabla ya kifo Cha magufuli wakenya wengi walikuwa wanamsifia magufuli ni kiongozi shujaa Kenya wanatamani wangepata raisi kama magufuli ambaye Yuko mstari wa mbele kuwatetea wananchi wake

Nasikia pia watu wa Rwanda wanamkubali sana JPM jinsi alivyoongoza utawala wake na kuziba njia zote za wizi

Tumuache shujaa wetu apumzike kwa amani mengi ameyafanya mazuri wengi moyoni mwenu mnakubali alikuwa kiongozi wa Aina yake kutokea Tanzania

Tufanye kazi kwa bidii na tumuunge mkono mama yetu mama Samia na kazi iendelee
Naona mkuu umekula kote kote. Hongera kwa art hii
 
Hapana! Ni mtu mbaya sana kuwahi kutokea legacy ya mambo mbaya ni kubwa kuliko ya Mazuri. Hata malaika kama watampa cheo huko awaongoze kidogo kidogo kama alivyodai atawamaliza.
 
Habari za muda huu Wana JF

Mwaka wa 2 Sasa tokea tuondokewe na kiongozi wetu shujaa mtetezi wa wanyonge JPM endelea kupumzika kwa amani.

Kuna kipindi nilikuwa Kenya kabla ya kifo Cha magufuli wakenya wengi walikuwa wanamsifia magufuli ni kiongozi shujaa Kenya wanatamani wangepata raisi kama magufuli ambaye Yuko mstari wa mbele kuwatetea wananchi wake

Nasikia pia watu wa Rwanda wanamkubali sana JPM jinsi alivyoongoza utawala wake na kuziba njia zote za wizi

Tumuache shujaa wetu apumzike kwa amani mengi ameyafanya mazuri wengi moyoni mwenu mnakubali alikuwa kiongozi wa Aina yake kutokea Tanzania

Tufanye kazi kwa bidii na tumuunge mkono mama yetu mama Samia na kazi iendelee
Watu wana maumivu na ulemavu wa kudumu kutokana na amri zake! Kiongozi gani huyo?
 
Amini kwamba na kwambia hakuna aliyemkamilifu lakn MAGUFULI alikuwa mtetez wa WANYONGE n MPENDA HAKI
wachache nd watanielewa
mpenda haki anabomoa nyumba za watu (kimara) bila kulipa huku akiacha zile za mwanza ati ndiyo waliomchagua? unajua maana ya haki lakini?
 
Habari za muda huu Wana JF

Mwaka wa 2 Sasa tokea tuondokewe na kiongozi wetu shujaa mtetezi wa wanyonge JPM endelea kupumzika kwa amani.

Kuna kipindi nilikuwa Kenya kabla ya kifo Cha magufuli wakenya wengi walikuwa wanamsifia magufuli ni kiongozi shujaa Kenya wanatamani wangepata raisi kama magufuli ambaye Yuko mstari wa mbele kuwatetea wananchi wake

Nasikia pia watu wa Rwanda wanamkubali sana JPM jinsi alivyoongoza utawala wake na kuziba njia zote za wizi

Tumuache shujaa wetu apumzike kwa amani mengi ameyafanya mazuri wengi moyoni mwenu mnakubali alikuwa kiongozi wa Aina yake kutokea Tanzania

Tufanye kazi kwa bidii na tumuunge mkono mama yetu mama Samia na kazi iendelee
Labda huko kwenu
 
Kuna waafrika wengi ni kama wale wanawake wa makabila yenye utamaduni wa kupenda kupigwa, wanawake hao usipowapiga hawafurahi na wanaona huwapendi.

Yani washazoea mikikimikiki, ukiwaongoza bila kuwatukana tukana, kuwatisha tisha, kuwateka teka, wanaona hufai kuwa kiongozi.
 
Hakudhibiti wizi bali aliwadhibiti wengine ili yeye na marafiki zake pamoja na ndugu zake waomole watakavyo na alihakikisha mtu yeyote aliyeinua mdomo wake kumsema vibaya basi anamnyamazisha milele,

watu kama Makonda, Sabaya, Mfugale, Kijazi na jamaa zake wengine walitajirika haraka haraka bila maelezo ya kutosha kwamba ulitokea muujiza gani wa kuwapa utajiri kwa muda mfupi.

Mwenyezi Mungu amlipe anachostahili huko alipo.
 
Hakudhibiti wizi bali aliwadhibiti wengine ili yeye na marafiki zake pamoja na ndugu zake waomole watakavyo na alihakikisha mtu yeyote aliyeinua mdomo wake kumsema vibaya basi anamnyamazisha milele,

watu kama Makonda, Sabaya, Mfugale, Kijazi na jamaa zake wengine walitajirika haraka haraka bila maelezo ya kutosha kwamba ulitokea muujiza gani wa kuwapa utajiri kwa muda mfupi.

Mwenyezi Mungu amlipe anachostahili huko alipo.
Pamoja na ushetani wake, linganisha urahisi wa maisha kwa Sasa na kipindi chake. Watanzania tunahitaji Amani, miundombinu na maisha mazuri/rahisi. Sio Amani tu kwamba hatupigani sisi kwa sisi.
 
Pamoja na ushetani wake, linganisha urahisi wa maisha kwa Sasa na kipindi chake. Watanzania tunahitaji Amani, miundombinu na maisha mazuri/rahisi. Sio Amani tu kwamba hatupigani sisi kwa sisi.
Hakuna tofauti kubwa lakini ubaya ni kwamba watu walikuwa wanaishi kama watumwa kwenye nchi yao, kutishwa, kutukanwa na kudhalilishwa ilikuwa ni jambo la kawaida kutoka kwa watawala na mfano mzuri ni wale mawakala wake waliokuwa na roho za kishetani kama Makonda,Sabaya na bila kuwasahau akina Hapi na Chalamila.
Hata polisi walinyanyasa sana watu na wakakusingizia chochote na ikakubalika mfano juzi kati huko mikoa ya kanda ya ziwa kuna askari alimpiga risasi raia bila sababu na imeelezwa wazi na RPC lakini ingekuwa wakati ule wangesema tu ni jambazi basi.
Kiukweli binafsi simuangalii kwa jema lolote yule mtu maana nikipima naona ubaya ulikuwa mwingi kuliko wema.
 
Hakuna tofauti kubwa lakini ubaya ni kwamba watu walikuwa wanaishi kama watumwa kwenye nchi yao, kutishwa, kutukanwa na kudhalilishwa ilikuwa ni jambo la kawaida kutoka kwa watawala na mfano mzuri ni wale mawakala wake waliokuwa na roho za kishetani kama Makonda,Sabaya na bila kuwasahau akina Hapi na Chalamila.
Hata polisi walinyanyasa sana watu na wakakusingizia chochote na ikakubalika mfano juzi kati huko mikoa ya kanda ya ziwa kuna askari alimpiga risasi raia bila sababu na imeelezwa wazi na RPC lakini ingekuwa wakati ule wangesema tu ni jambazi basi.
Kiukweli binafsi simuangalii kwa jema lolote yule mtu maana nikipima naona ubaya ulikuwa mwingi kuliko wema.
Hata enzi zile kule Tabora Kuna kiongozi alimpiga risasi raia.

Waliopata tabu na uongozi wa mwamba ni wale waliokua semasema bila mantiki yoyote. Mfano, tunapambana na majizi ya madini, badala ya kuungana tuwe kitu kimoja, wanazunguka kututisha wananchi tutanyolewa na mabeberu kwa chupa bila maji. Wewe ni mwana Sheria, tumikia vyema taifa lako. Usiwatie hofu wananchi.

Unaimba mimbo za kuikosoa serikali, ifuate nawazo Yako kisa tu yanabaraka kutoka kwa mabeberu, au Yana baraka na watu wachache waliobaniwa mambo Yao ya wizi, maana yake unaipaka matope Nia njema ya serikali.

Nchi kama china na Urusi zimefika hapo sio kwa bahati mbaya, watu kama hao hupotezwa kimya kimya, na hakuna wa kulalamika. Hicho kimewafikisha hapo walipo Hadi kufikia uwezo wa kumvimbia kiranja.
 
Hakuna tofauti kubwa lakini ubaya ni kwamba watu walikuwa wanaishi kama watumwa kwenye nchi yao, kutishwa, kutukanwa na kudhalilishwa ilikuwa ni jambo la kawaida kutoka kwa watawala na mfano mzuri ni wale mawakala wake waliokuwa na roho za kishetani kama Makonda,Sabaya na bila kuwasahau akina Hapi na Chalamila.
Hata polisi walinyanyasa sana watu na wakakusingizia chochote na ikakubalika mfano juzi kati huko mikoa ya kanda ya ziwa kuna askari alimpiga risasi raia bila sababu na imeelezwa wazi na RPC lakini ingekuwa wakati ule wangesema tu ni jambazi basi.
Kiukweli binafsi simuangalii kwa jema lolote yule mtu maana nikipima naona ubaya ulikuwa mwingi kuliko wema.
Tunataka maisha rahisi, hakuna mkamikifu. Saiz mapungufu mengi, na maisha ni magumu.

Enzi zile za mwamba, Ile bill ya ndege badala ya 36 wakaleta 86, wangethubutu kufanya huo ujanja?
 
Tunataka maisha rahisi, hakuna mkamikifu. Saiz mapungufu mengi, na maisha ni magumu.

Enzi zile za mwamba, Ile bill ya ndege badala ya 36 wakaleta 86, wangethubutu kufanya huo ujanja?
Yeye mwenyewe ndio kubwa la majizi ndio maana liliiba 1.5t sema alikuwa anaangaika kuonea wale aliokuwa na chuki nao tu.
 
Back
Top Bottom