Hayati Lowassa alivyomponza Kikwete akatimuliwa Msasani kwa kufokewa na Mwalimu Nyerere



Hii imeandikwa kishabiki sana.
 
2008 pia Lema alikuwa TLP hakuwa Chadema. Sasa sijui unataka kusemaje hapo!

Hizo kelele nyingine zote umeongea ni baada ya aftermath ya EL kuenguliwa kwenye Uwaziri Mkuu. Aliyemuengua na kumdondoshea zigo la lawama anajulikana, hiyo haikuwa shida. Jamaa alivyo snitch akaenda mpaka kusitisha ndoto zake za kuwa Rais, tena alizisitisha kwa nyodo ya kusema wacha amwage tu pesa kichinjio ninacho mimi. Na baada ya kumchinja mwenzio according to Bashe anasema wana CCM walimwomba JK angalau akae chini na EL wayamalize ila JK akafunga milango. Sasa sijui msibani alienda kufanya nini mnafki mkubwa huyo
 
Ulikuwa bado kwenye kende za baba malafyake soma ujifunze kwa wakubwa zako
Kwa hii statement yako inaonekana kabisa ni kinda la juzi unakaa vijiwe vya kahawa unasikiliza umbea unauleta kwa great thinkers😂😂😂
Usipokee kila kitu jaribu kuchambua japo kidogo unaambiwa ukweli unapanic unakimbilia kutukana hahaha pole sana
vipi unapendelea sana hizo kende? Wapo vijana umu wanaweza wanapenda mashoga kama wewe kama unahitaji ushughulikiwe
Kwa bahati mbaya mm sina interest na mashoga pole sana
 


Huu uzi Una kwamba za kutosha!
 
Alivyokuwa anajitapa kichinjio cha 2015 anacho yeye alikuwa anamaanisha nini??

Baada ya kuwaondoa hao kwenye serikali yake, Rushwa na ufisadi wa kutisha uliisha??
 


[emoji1787][emoji1787] Wallaih nyie!

Kwahiyo Rais Samia akalia machozi kabisa?
 
Nimefuatilia maandishi mengi ya mwanahistoria huyo na kugundua kuwa mengi ni upotoshaji mkubwa.Hata andishi hili siyo ukweli kwamba Kighoma Malima hakuwa fisadi.

Kwa mwandishi huyo,hakuna Muislamu kiongozi aliyewahi kuwa fisadi.Bali huwa wanaomewa na kubagazwa bila sababu.
 
Stori zimeanza mpk tutafika kenye Nikweli usemacho nilisoma vizuri sana ile kashfa.
 
Mkapa aliokota dodo kwenye mnazi,siku anachukua fomu gazeti la mfanyakazi liliandika,mkapa naye achukua fomu kwa maandishimadogo sana,habari ya mjini ikuwa kikwete tu,na alimzidi kura BWM ila sijui mwalimu alimtulizaje,ni kweli mwalimu aliamua kuwa upande wa mkapabaada ya kuona kikwete atamteua Lowassa kuwa PM
 
Nilicho gundua kuna kitu kimemkwaza jk , kwenye msiba wa El, jk anaona kuna watu wanamchafua Huku wakimsifu El , bila kujua El ni jambazi Tu [emoji23].

Jk kwangu ni kiongozi Bora kabisa, alijali wananchi, shida ni mtandao ndio ulikuwa ukimtia aibu


Ukikata kiumbe chochote kichwa, kiwiliwili hakifanyi kazi.


Unamtenganisha vipi JK na huo “Mtandao?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…