Hayati Lowassa alivyomponza Kikwete akatimuliwa Msasani kwa kufokewa na Mwalimu Nyerere

Hayati Lowassa alivyomponza Kikwete akatimuliwa Msasani kwa kufokewa na Mwalimu Nyerere

Tumeshazika sasa tunajibu hoja kwa hoja

Walioshadadia Kashfa ya Monduli

1) Freeman Mbowe
2) Godbless Lema
3) Chrstopher Ole sendeka
4) Anne Kilango Malecela

wote hawa wanatokea unapotokea Wewe mbaguzi

au wakati wa Kashfa ya Richmond mlikuwa bado wadogo

Waliotupiwa zigo la Monduli walifanyie kazi walikuwa Home boy ambao leo ndio hao hao wanalalamikia wakwere walivyokuwa akili nusu Mlingoti

hao hao ndio walikuwa wanamtukana Mkwere kuwalinda wana mtandao!
Mwanasiasa Mahiri na madhubuti lazima uwe mtulivu, akili nyingi sana na mvumilivu na sifa zote hizo Adui yenu mkuu anazo

Sifa kubwa sana ambayo Mkwere na Mzee wa Monduli pamoja na kutofautiana walikuwa nayo ni kutopenda kulalamika lalamika

ukim snitch anaku snitch na wakikutana kila mmoja anajibu am fine

Walimzunguka Bosi kwny Richmond nae akawapelekea moto kwa kutumia hiyo hiyo Richmond

walipotolewa nje ya Game wakaunda magenge mengi sana ya hujuma hadi migomo mikubwa mikubwa akapiga kimya akawasubiri 2015 akala kichwa

Wakahamia upande wa pili wamuoneshe show kwa kuwa wana watu na pesa nae akawaonesha ana akili na dola wakamalizana kibingwa

na wote hawakuwahi kulalamika hadharan

Kitu cha kujivunia Jk alisikiliza kilio cha Wengi cha kulipasua Kundi lake la Wanamtandao

2017 alimtumia Mzee wa Kundi Samwel Sitta kumpumzisha Ngoyai na 2010 akatumia nguvu na ushawishi wa Ngoyai kupitia NEC kuweka vipengele cha Jinsia kumpumzisha Uspika Mzee Sitta

2011 akamtumia aliekuwa Mwanamtandao wa Mzee Sumaye Ndugu Nape akampa Ukatibu wa Itikadi akaanza ku deal na mapacha watatu na Tajiri wa Igunga akavua jezi

na 2015 akakamilisha madaraka yake kwa kuhakikisha Wanamtandao hawapo tena kama kundi


Pamoja na tofauti zote na rafu zote za Siasa hakuwa na muda kuhujumu uchumi au biashara ya Mtu japo alikuwa na uwezo wa kufanya hivyo

alijua Michezo ya Siasa itaishia kwny Siasa sio kutafutana kwenye Bank Accounts na Assets za mtu


Hii imeandikwa kishabiki sana.
 
Kushadadia ni kuwa Wabunge ?

au wakati unasoma tayari ulikuwa na mawazo yako kichwani ?

Wakati Lowassa na Rostam wanatangazwa rasmi viwanja vya Mwembe Yanga kama mafisadi Papa, Chairman wa Chadema alikuwa Kikwete?

Kamati kuu ya Chadema iliyoridhia ku upload orodha ya Mafisadi Papa na Jina la Lowassa likiwemo iliongozwa na Salma Kikwete ?

Tanzania Daima gazeti binafsi la Freeman lilipokuwa linashadadia ufisadi wa Rostam na Lowassa ulikuwa bado akili hazijakomaa ?
2008 pia Lema alikuwa TLP hakuwa Chadema. Sasa sijui unataka kusemaje hapo!

Hizo kelele nyingine zote umeongea ni baada ya aftermath ya EL kuenguliwa kwenye Uwaziri Mkuu. Aliyemuengua na kumdondoshea zigo la lawama anajulikana, hiyo haikuwa shida. Jamaa alivyo snitch akaenda mpaka kusitisha ndoto zake za kuwa Rais, tena alizisitisha kwa nyodo ya kusema wacha amwage tu pesa kichinjio ninacho mimi. Na baada ya kumchinja mwenzio according to Bashe anasema wana CCM walimwomba JK angalau akae chini na EL wayamalize ila JK akafunga milango. Sasa sijui msibani alienda kufanya nini mnafki mkubwa huyo
 
Ulikuwa bado kwenye kende za baba malafyake soma ujifunze kwa wakubwa zako
Kwa hii statement yako inaonekana kabisa ni kinda la juzi unakaa vijiwe vya kahawa unasikiliza umbea unauleta kwa great thinkers😂😂😂
Usipokee kila kitu jaribu kuchambua japo kidogo unaambiwa ukweli unapanic unakimbilia kutukana hahaha pole sana
vipi unapendelea sana hizo kende? Wapo vijana umu wanaweza wanapenda mashoga kama wewe kama unahitaji ushughulikiwe
Kwa bahati mbaya mm sina interest na mashoga pole sana
 
Jakaya Kikwete alikuwa pale CCM Singida na baadaye huko Mtwara ndipo alipofanyiwa lobbying kwa Mzee Mwinyi na swahiba wake hayati Ukiwaona Ditopile Mzuzuri ndipo alipoteuliwa na Mzee Mwinyi kuwa Naibu Waziri !!

Hii maneno ya kuwa alikuwa karibu sana na Mwalimu sijawahi kusikia hii kitu kabisaaa !! [emoji28][emoji120][emoji120]


Huu uzi Una kwamba za kutosha!
 
kumzuia Dr Ibrahim Msabah aliekuwa Waziri wa Nishati na Mbunge wa Kibaha ku approve advance payment ya 10 Billion kwa Kampuni feki ya Richmond ambayo ilikuwa ya mwisho kwenye Procurement process lakini Management ya Tanesco ikalazimishwa kwa Vimemo iwape Tender

baada ya kupewa Tender wakataka walipwe advance payment hiyo wakati haikuwemo kwny terms of contract

ndipo Mh.Rais akastukia kitu akatumia weledi wake wa kimedani akajua Watu aliowaamini wameanza kumzunguka.

Media zikaanza ku report hiyo kashfa nae akaridhia uchunguzi huru kwa Bunge kuchunguza

Report kabambe ya Uchunguzi ya Dr Harrison Mwakyembe, akisaidiwa na Eng. Stella Manyanya kama Makamu Mwenyekiti pamoja na Wajumbe kina Lucas Selelii Mbunge wa Nzega wa wakati huo wakafanya kazi kubwa na ya kizalendo

matokeo kuletwa Bungeni ikabidi ijadiliwe then watuhumiwa ambao ni Wabunge wajibu hoja

Hoja za Utetezi zilipoanza alisimama Peter Serukamba Mbunge wa Kigoma Mjini kumtetea Lowassa

lowassa akamuomba Spila Sitta amzuie Serukamba na badala yake akatangaza kujiuzulu akafuatia Karamagi then Msabaha

Rostam akiwa Katibu wa Uchumi wakati huo akabadilishwa baada ya muda mfupi

JK hakuwafanyia figisu lolote zaid ya kuwatoa kwny Serikali yake na nongwa ikaanzia hapo
Alivyokuwa anajitapa kichinjio cha 2015 anacho yeye alikuwa anamaanisha nini??

Baada ya kuwaondoa hao kwenye serikali yake, Rushwa na ufisadi wa kutisha uliisha??
 
Kuweka rekodi sawa hata Mama Samia akipofuatwa na Kikwete kuwa awe mgombea mwenza wa Raisi Magufuli alikataa hakuwa na mpango Kabisa Hadi alilia kukataa
Akaambiwa tunakupa taarifa tu safari mgombea mwenza CCM tunataka wanawake mumeshakomaa kiongozi Wewe umeshakuwa Hadi Spika bunge la katiba tunakutaarifu tu Wewe ndie utakuwa mgombea mwenza ukikwama utasaidiwa Chama, Serikali wasaidizi wako wa kutosha akajaribu kusema aka sitaki akasikia tu mgombea mwenza safari hii Mwanamke Kwa mara ya kwanza Toka Tanzania ipate uhuru makofi yakarindima kuwa tunakubali mengine Historia mama Samia huyo anachapa kazi halali


[emoji1787][emoji1787] Wallaih nyie!

Kwahiyo Rais Samia akalia machozi kabisa?
 
Sho...
Nimesoma hayo hapo juu kuhusu Prof. Malima na ningependa na mimi niseme machache niyajuayo kuhusu Prof. Malima.

Katika Bunge mwezi June 1994 Prof. Malima akiwa Waziri wa Fedha alileta mswada kuwa misamaha yote ya kodi iwe chini ya Waziri wa Fedha badala ya kuiachia iwe katika mamlaka nyingi tofauti.

Maadui zake ndani ya Bunge wakalalamika kuwa Prof. Malima alikuwa anataka kujijengea himaya.

(Kwa nini Prof. Malima alikuwa na maadui ni mada ya kujitegemea).

Hata hivyo fikra zilitulia na mantiki ikatawala kuwa hilo ni jambo jema na mswada ule ukapita.

Baada ya mwezi mmoja kupita wakati Prof. Malima yuko nje ya nchi Baraza la Mawaziri likaitishwa kwa shinikizo la Waziri Mkuu John Malecela akiungwa mkono na mawaziri wanne wakongwe nia ikiwa kugeuza suala la misamaha ya kodi uliopitishwa mwezi mmoja tu uliopita.

Prof. Malima aliporejea nchini na kukuta kuwa uamuzi wa Bunge kuhusu misamaha ya kodi umepinduliwa na Bunge, Prof. Malima alimtahadharisha Rais Ali Hassan Mwinyi kuhusu matokeo ya kwenda kinyume na maamuzi ya Bunge na matakwa ya wahisani.

Rais akaitisha Baraza la Mawaziri lililokaa kwa siku nne.

Prof. Malima alihimili hoja zote kutoka kwa maadui zake katika serikali akitetea uamuzi wa Bunge.

Baada ya siku nne Baraza la Mawaziri lilirejea nyuma katika uamuzi wa Bunge.

Maadui zake waliumia sana na chuki yao dhidi yake ikazidi.

Hayo yote ya kuwa Prof. Malima alikuwa fisadi si kweli.

Prof. Malima hakuwa na mali nimemuona kwa karibu sana nyumbani kwake jirani na Victoria na nimeiona nyumba yake Kisarawe siku ya mazishi yake.

Prof. Malima hakuwa na mali na kama alivyokuwa akipenda kusema katika uhai wake, ‘’Hakula cha mtu.’’

Ametajwa hapa Kikwete kuwa alipewa nafasi ya Waziri wa Fedha badala ya Prof. Malima lakini mwandishi kaishia hapo tu.

Inataka ushughulishe bongo lako ujiulize kwa nini Kikwete?

Yapo mengi.

Kwa nini hakuyasema mengine na ni muhimu katika historia ya Prof. Malima?

Hakuyasema inawezekana kwa kuwa hayajui.

Nimefuatilia maandishi mengi ya mwanahistoria huyo na kugundua kuwa mengi ni upotoshaji mkubwa.Hata andishi hili siyo ukweli kwamba Kighoma Malima hakuwa fisadi.

Kwa mwandishi huyo,hakuna Muislamu kiongozi aliyewahi kuwa fisadi.Bali huwa wanaomewa na kubagazwa bila sababu.
 
Stori zimeanza mpk tutafika kenye
kumzuia Dr Ibrahim Msabah aliekuwa Waziri wa Nishati na Mbunge wa Kibaha ku approve advance payment ya 10 Billion kwa Kampuni feki ya Richmond ambayo ilikuwa ya mwisho kwenye Procurement process lakini Management ya Tanesco ikalazimishwa kwa Vimemo iwape Tender

baada ya kupewa Tender wakataka walipwe advance payment hiyo wakati haikuwemo kwny terms of contract

ndipo Mh.Rais akastukia kitu akatumia weledi wake wa kimedani akajua Watu aliowaamini wameanza kumzunguka.

Media zikaanza ku report hiyo kashfa nae akaridhia uchunguzi huru kwa Bunge kuchunguza

Report kabambe ya Uchunguzi ya Dr Harrison Mwakyembe, akisaidiwa na Eng. Stella Manyanya kama Makamu Mwenyekiti pamoja na Wajumbe kina Lucas Selelii Mbunge wa Nzega wa wakati huo wakafanya kazi kubwa na ya kizalendo

matokeo kuletwa Bungeni ikabidi ijadiliwe then watuhumiwa ambao ni Wabunge wajibu hoja

Hoja za Utetezi zilipoanza alisimama Peter Serukamba Mbunge wa Kigoma Mjini kumtetea Lowassa

lowassa akamuomba Spila Sitta amzuie Serukamba na badala yake akatangaza kujiuzulu akafuatia Karamagi then Msabaha

Rostam akiwa Katibu wa Uchumi wakati huo akabadilishwa baada ya muda mfupi
B
JK hakuwafanyia figisu lolote zaid ya kuwatoa kwny Serikali yake na nongwa ikaanzia hapo
Nikweli usemacho nilisoma vizuri sana ile kashfa.
 
Yaan unaamua kutunga hadithi ndefu Sana ili tu kupotosha ukweli halisi. Mwalimu, Nyerere hajawahi kumfikiria kabisa, Kikwete kama MTU wake muhimu katika, nafasi ya urais. Happy mzee umetudanganya. Nakumbuka MTU wa, kwanza kufikiriwa kwenye hiyo nafasi ya, urais na mwalimu alikuwa Dr Salim Ahmed Salim. Lakin Salim alikuwa, bado ni katibu mkuu wa OAU.Term yake ilikuwa haijaisha. Mwalimu alisema wazi kabisa kuwa, kijana, safi kabisa, nitakaye mpendekeza na nitampigia, kampeni nchi nzima ni Benjamin Mkapa. Na wote tuliona na kushuhudia. Leo tunatungiwa uongo kuwa JK wa msoga alikuwa pendezo la JK wa, Butiama.sio kweli.
Mkapa aliokota dodo kwenye mnazi,siku anachukua fomu gazeti la mfanyakazi liliandika,mkapa naye achukua fomu kwa maandishimadogo sana,habari ya mjini ikuwa kikwete tu,na alimzidi kura BWM ila sijui mwalimu alimtulizaje,ni kweli mwalimu aliamua kuwa upande wa mkapabaada ya kuona kikwete atamteua Lowassa kuwa PM
 
Nilicho gundua kuna kitu kimemkwaza jk , kwenye msiba wa El, jk anaona kuna watu wanamchafua Huku wakimsifu El , bila kujua El ni jambazi Tu [emoji23].

Jk kwangu ni kiongozi Bora kabisa, alijali wananchi, shida ni mtandao ndio ulikuwa ukimtia aibu


Ukikata kiumbe chochote kichwa, kiwiliwili hakifanyi kazi.


Unamtenganisha vipi JK na huo “Mtandao?
 
Back
Top Bottom