Hayati Lowassa alivyomponza Kikwete akatimuliwa Msasani kwa kufokewa na Mwalimu Nyerere



β€œβ€¦.tungekuwa mbali Kama wazungu!”

Hao unaotamani maendeleo yao ndio wadhamini wa hizi takataka za kisiasa hapo Tanzania.
 


Msimamo wake huu aliutumia kwa wale wasiokua watu wake tu. Kwanini?
 
Naona nyuzi zakumpa faraja JK zimekuwa nyingi.

Sent from my SM-A107M using JamiiForums mobile app
 
Kim...
Mimi sijapata katika maisha yangu kuandika kuhusu ufisadi.

Hilo la ubaguzi nimeandika sana.
 

[emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…