Hayati Lowassa alivyomponza Kikwete akatimuliwa Msasani kwa kufokewa na Mwalimu Nyerere

Mgufuli ameambiwa suala la kugombea urais kwa mala ya kwanza kikwete akiwa kalazwa nje kwa shida ya tezi dume.
 
Kikwete mambo yalimshinda ni ubabe wa mkapa tu ndio ulifanya magufuli achukue uraisi
Baada ya chadema kuwa moto,kikwete Allendale kuomba ushauri kwa mkapa afanyaje kwenye kinyang'anyiro cha urais?! Mkapa akamwambia,jibu la chadema si lowassa,ni magufuli.
 
Wewe mzee wewee,wakati mwingine jitahidi kuwa mkweli.kighoma maxima alikuwa bonge la fisadi.
 
Pesa muhimu. Wapambe wenye njaa watakufanyiaje kazi? Mwalimu alikuwa na fikra za kimaskini sana. Mtu kuwa tajiri haimaanishi mwingine atakuwa maskini.
Hata wewe una onyesha ni maskini wa fikra na ukweli.fikra zako zimejaa ubinafsi na tamaa.
 
Huyo mzee ni takataka tu,hana lolote kbs,yeye kila kitu ni udini tu.
 
Mkwere hana nguvu mbele ya wazee wa ccm
 
Uje uweke na stori ya namna Mrisho na Kambarage walivyoingia makubaliano ya kwamba lazima mtoto wa Mrisho aitwaye Jakaya aje kupewa nchi...
Kwani huyo mzee Mrisho alimfanyia nini Nyerere mpaka kukawa na makubaliano hayo?
 
Chai
 
Yani huu uzi unatuchanganya sana sisi watoto wa 2000 kuna mauongo mengi humu na maukweli pia yani hatuelewi tushike lipi tuache lipi
 
Kuna kipindi nilikuwa nina penda sana kusoma makala zako,lkn nilikuja kugundua wewe mi mtu uliyejaa chuki za udini. Nikaacha kbs.
Yve...
Kuwa mimi nina chuki za udini si kweli.
Ningekuwa hivyo nisingealikwa vyuoni kuzumguza.

Ningekuwa nina chuki za udini nisingealikwa na vyombo maarufu vya habari ulimwenguni kuzungumza.

Nk. nk.

Wewe unaumizwa na kusoma historia ya Waislam Tanzania, historia ambayo ilifutwa isiwepo.

Hili ndilo linalokuumiza.

Sasa kama umeacha kabisa kusoma makala zangu sasa imekuwaje umenisoma?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…