Hayati Lowassa alivyomponza Kikwete akatimuliwa Msasani kwa kufokewa na Mwalimu Nyerere

Kyai kya rangi hiki
 
Sasa kama ni hivyo mbona walikuja kuhitilafiana kiasi kile, mbaya, kwa nini yule hakuonyesha shukurani aliye kutangulia kwa vile alipita kwa nasibu kiasi hiko.
Kimsingi Mwendazake na jeuri yake yote hajawahi tamka hadharani kutofautiana hata matendo japo nahisi alikuwa na wasiwasi wa kwamba yeye ni Rais lakini ni kama system inampa Baadhi ya taarifa Msoga.

Ndio hapo Mwendazake akaanza Kuunda system yake ambayo imeishia njiani 🤣🤣

Refer Kabila vs Thisekedi Huwa napenda kutumia hii mifano
 

System ilisema tunamtaka huyu, zike ziara na waziri wa ujenzi na coverage + ulinzia haikuwa kawaida, ziliashiria jambo.

Hata UPM, toka mwanzo ulikuwa na jina kutoka kwa system na sio EL, Mkwere akashupaza shingo akaenda na swaiba wake baadaye ikawa historia nyingine.
 
Tabia za watu wa system hizo,humuoni Mkaonda anavyoigiza huko makanisani analia sijui Machozi na blaa blaa kama hizo za kumanipulate wenye akili ndogo.
 
Mengi sana...na yapo yaliyomuumiza sana lakini akavumilia na hakuwa na kisasi. Jakaya ni mstahimilivu sana. Amepitia mengi na ameyatatua kwa busara.
Na ndio maana Huwa anamsifi Samia kwa kifua.Kimsingi Urais unahitaji mtu mwenye akili ya mbali na stable wa hisia sio unapayuka kienyeji enyeji kama yule Jamaa mwingine 😆😆
 
Yes hii kauli Magufuli alishaisema sana.
Huyo ni mfuasi wa kikwete huwa anamfanya kikwete kama dude fulani la kutisha wakati ukweli ni kwamba hakuna raisi wa ovyo kumzidi kikwete na huyu wa leo...magufuli alishawahi kuongea kuwa anamshukuru kikwete kwa kumwachia uraisi na anamshukuru mno mkapa kwa kumfanya kuwa raisi
 
Tusichosane, system zipo duniani SI Nchi maskini Kama Tanzania.... Hapa ni wizi wa kura tu...... Ujinga tu
 
Hizo ni kauli tu unadhani mwanasiasa atakosa cha kuongea kwa kinywa chake magufuli alimshukuru mzee mkapa kwa kumfanya kuwa raisi unadhani kauli hiyo inamaana gani?
 
Acha uongo, Freeman Mbowe na Lema hawakuwa wabunge 2005-2010..

Sasa huko walikoshadadia ni wapi??
Kushadadia ni kuwa Wabunge ?

au wakati unasoma tayari ulikuwa na mawazo yako kichwani ?

Wakati Lowassa na Rostam wanatangazwa rasmi viwanja vya Mwembe Yanga kama mafisadi Papa, Chairman wa Chadema alikuwa Kikwete?

Kamati kuu ya Chadema iliyoridhia ku upload orodha ya Mafisadi Papa na Jina la Lowassa likiwemo iliongozwa na Salma Kikwete ?

Tanzania Daima gazeti binafsi la Freeman lilipokuwa linashadadia ufisadi wa Rostam na Lowassa ulikuwa bado akili hazijakomaa ?
 
Hizo ni kauli tu unadhani mwanasiasa atakosa cha kuongea kwa kinywa chake magufuli alimshukuru mzee mkapa kwa kumfanya kuwa raisi unadhani kauli hiyo inamaana gani?
Lazima amshukuru Kwa ndio alimuibua na kimfanya aonekane ila JK ndio alimpa Urais kama super sub in case of anything na ikawa
 
Mbona unajibu kwa jazba?
 
We mwongo, JK aliingia mpk 3 bora
 
Mwambieni JK atuandikie Kitabu kabla ya Kufa tujifunze mbinu za medani za Vitengo.

Pili asije kukosea kutuondolea Samia [emoji16][emoji16]
Kitabu kimeshaandikwa muds mrefu huko Jijini New York ila mara kwa mara anaahirisha kukizindua kwa sababu kadhaa wa kadhaa na hasa sababu za kisiasa

Uongozi Institute walihusika kwa namna fulani kufanya review
 
Huu uongo wa kitoto sana.BMW alikuwa ni kipenzi cha mwalimu kwa urais wa JMT baada ya Dr Salim,hiyo sababu dhahania haiwezi kutosha kumuondoa BMW moyoni mwa mchonga
Wakati Edo na JK wanaangaika kutafuta wazamini huko,kumbe Mwalimu alisha make up his mind kwa Ben, ni kama uchaguzi wa 2015 Ben nae alifanya kama Mwalimu alivyo fanya 95!!
 
Uhusika wa kikwete kwenye Richmond ni upi?
kumzuia Dr Ibrahim Msabah aliekuwa Waziri wa Nishati na Mbunge wa Kibaha ku approve advance payment ya 10 Billion kwa Kampuni feki ya Richmond ambayo ilikuwa ya mwisho kwenye Procurement process lakini Management ya Tanesco ikalazimishwa kwa Vimemo iwape Tender

baada ya kupewa Tender wakataka walipwe advance payment hiyo wakati haikuwemo kwny terms of contract

ndipo Mh.Rais akastukia kitu akatumia weledi wake wa kimedani akajua Watu aliowaamini wameanza kumzunguka.

Media zikaanza ku report hiyo kashfa nae akaridhia uchunguzi huru kwa Bunge kuchunguza

Report kabambe ya Uchunguzi ya Dr Harrison Mwakyembe, akisaidiwa na Eng. Stella Manyanya kama Makamu Mwenyekiti pamoja na Wajumbe kina Lucas Selelii Mbunge wa Nzega wa wakati huo wakafanya kazi kubwa na ya kizalendo

matokeo kuletwa Bungeni ikabidi ijadiliwe then watuhumiwa ambao ni Wabunge wajibu hoja

Hoja za Utetezi zilipoanza alisimama Peter Serukamba Mbunge wa Kigoma Mjini kumtetea Lowassa

lowassa akamuomba Spila Sitta amzuie Serukamba na badala yake akatangaza kujiuzulu akafuatia Karamagi then Msabaha

Rostam akiwa Katibu wa Uchumi wakati huo akabadilishwa baada ya muda mfupi

JK hakuwafanyia figisu lolote zaid ya kuwatoa kwny Serikali yake na nongwa ikaanzia hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…