Mnachihanguuu
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 4,385
- 6,443
Upo sahihi kabisa ni mkapa ndie alimuweka magufuli pale kwa kinywa chake alimshukuru mzee mkapa kwa kumfanya awe raisiWakati Edo na JK wanaangaika kutafuta wazamini huko,kumbe Mwalimu alisha make up his mind kwa Ben, ni kama uchaguzi wa 2015 Ben nae alifanya kama Mwalimu alivyo fanya 95!!
Kweli urafiki wa wanga haudumu, nani angeamini wanamtandao wangepishana pakubwa mwaka 2015?.....yote yamebaki historia Sasa.Tuliokuwa ndani ya UV CCM wakati huo tunafahamu mengi sana
kama Mama Anna Makinda angeamua kuandika kitabu au kuandika ya nyuma ya pazia angeliandika vyema sana hili
Mwalimu alimwita Anna Makinda na kuna ujumbe aliotumwa binafsi kwa Jakaya na JK kabaki na siri hiyo nadhan hajawahi kuiweka hadharan aliambiwa nini na Anna Makinda
ni kama vile Mama Getrude Mongela alipopewa ujumbe rasmi na Mwalimu ampelekee Ndugu Ally Hassan Mwinyi 1985 muda mchache kabla ya uchukuaji fomu
Siasa ina mengi sana
Hatujui kwanini Jakaya baada ya kushinda kwny CCM 1995 iliamriwa kura zipigwe tena na baada ya hapo akaomba fursa azungumze japo vijana wenzie tulitamani agome
JK alikuwa Makonda wa Mwl Nyerere kwa mliokuwa hamjui
ndie alikuwa Katibu wa vikao vyote vya vita ya Kagera
ndie alietumwa kumshawishi Salim agombee Urais
ndie alie deal na Kighoma Malima n.k
pengine alipewa maelekezo maalum kuhusu Monduli maana hata Edward Moringe alitajwa sana kuwa Mrithi wa Mwalimu na ikashindikana
Hayati Jaka Mwambi aliekuwa Balozi wetu Russia na Msiri wa JK angeweza kuandika kitabu kizuri kuhusu Siasa za Wanamtandao
Huwezi kuzungumza rafu na makando kando ya Wanamtandao bila ya kuwataja Viongozi wa Wanamtandao
JK angelegea na kuruhusu kuachia Nchi wana Mtandao angelaaniwa na kila kiumbe kinachopata sunlight
Alafu wwe chunga kauli yako, Magufuli ndiyo aliletwa kama game changer kati ya edo na jk!! Ndiyo maana unaona Tanzania iko na utulivu hadi sasa, la sivyo mgesaga meno baada ya edo kuukwa unyerere!!Wakati huo magufuli anachunga ng' ombe chato
Wewe umejuaje haya ya chumbani ? Acha kuandika uongoMkapa was a bit clean sema yule mama wa kichaga alikuwa anamwambia acha ufala wewe piga dili mzee
Interesting. Ukisoma mada kama hii unaona kuwa CCM kweli ni chanzo cha matatizo ya nchi hii. Nyerere baada ya kuacha katiba mbovu na mfumo m’bovu wa uongozi bado aliweka mkono kuchagua na kuendorse mafisadi kuwa viongozi.Ongezea na mkapa akaja kuwa fisadi papa
Kwa hiyo Nyerere Hana haki ya kutambua nani malaika na Nani shetani
Mzee Mohamed Said unazo hizi taarifa ?Ni kweli alimshughulikia Kighoma Malima barabara
Ufisadi fisadi wa kwanza mkubwa alikuwa waziri alikuwa Kighoma Malima mtu wa swala Tano ila fisadi hatari na sigda yake usoni na swala Tano akiwa waziri wa Fedha mikashfa kibao ya kifisadi
Raisi Mwinyi akaona atafute mtu serious kweli akampa Kikwete uwaziri wa fedha na akamtoa Kighoma Malima na akampa Kikwete , Kikwete alimshughulikia barabara bila kujali ni mtu wa Pwani mwenzie au Muislamu mwenzie account zake nje alikoficha pesa Kighoma Malima alisafiri hija kumbe anaenda kutaka kukimbia nchi akatoe pesa kule kaweka nje akaenda hija na nyumba ndogo bi mdogo kisha akaenda huko ulaya atoe pesa wale maisha ulaya huko akakuta Kikwete waziri wa fedha kazipiga pin Akaunti Zote hakuna pesa ya kutoa
Akapata presha akafa wakarudisha kuzika Tanzania Kwa hasira familia yake waliogoma hawakutaka Serikali ihusike Hadi Mwanawe mkuu wa mkoa Sasa hivi alitorokea upinzani
Kikwete ndio alikuwa waziri wa kwanza Enzi hizo kupambana na fisadi mkubwa Malima aliyekuwa waziri wa fedha Kabla yake
Kwa Hilo apewe hongera na maua yake
Hawapatini kwa kua wote asili ya kiuuchumi ni ufugaji!!Watu wa kanda ya ziwa huwa hawapatani na kanda ya kaskazini antagonistic for real
AiseeTuliokuwa ndani ya UV CCM wakati huo tunafahamu mengi sana
kama Mama Anna Makinda angeamua kuandika kitabu au kuandika ya nyuma ya pazia angeliandika vyema sana hili
Mwalimu alimwita Anna Makinda na kuna ujumbe aliotumwa binafsi kwa Jakaya na JK kabaki na siri hiyo nadhan hajawahi kuiweka hadharan aliambiwa nini na Anna Makinda
ni kama vile Mama Getrude Mongela alipopewa ujumbe rasmi na Mwalimu ampelekee Ndugu Ally Hassan Mwinyi 1985 muda mchache kabla ya uchukuaji fomu
Siasa ina mengi sana
Hatujui kwanini Jakaya baada ya kushinda kwny CCM 1995 iliamriwa kura zipigwe tena na baada ya hapo akaomba fursa azungumze japo vijana wenzie tulitamani agome
JK alikuwa Makonda wa Mwl Nyerere kwa mliokuwa hamjui
ndie alikuwa Katibu wa vikao vyote vya vita ya Kagera
ndie alietumwa kumshawishi Salim agombee Urais
ndie alie deal na Kighoma Malima n.k
pengine alipewa maelekezo maalum kuhusu Monduli maana hata Edward Moringe alitajwa sana kuwa Mrithi wa Mwalimu na ikashindikana
Hayati Jaka Mwambi aliekuwa Balozi wetu Russia na Msiri wa JK angeweza kuandika kitabu kizuri kuhusu Siasa za Wanamtandao
Huwezi kuzungumza rafu na makando kando ya Wanamtandao bila ya kuwataja Viongozi wa Wanamtandao
JK angelegea na kuruhusu kuachia Nchi wana Mtandao angelaaniwa na kila kiumbe kinachopata sunlight
Hahah, maninaKikwete ni chawa alietumia uchawa wake vizuri mpaka kumpita tajiri yake.
Kina Mwijaku wana la kujifunza.
Tuulize wote hili swala, mimi pia nimekua najiuliza tupate kujifunzaChanzo cha pesa za Lowassa zilikuwa ni nini?
AsanteNi vema kuweka records Sawa.
1995 majina matatu yalipelekwa mkutano mkuu.
Wagombea walikuwa
Cleopa Msuya (Waziri Mkuu na Makamu wa kwanza wa Rais)
Benjamin Mkapa (Waziri wa Elimu ya Juu, Sayansi na Teknolojia)
Jakarta Kikwete (Waziri wa Fedha)
JK aliongoza kwa kura akifuatiwa na BWM na Msuya akawa wa 3.
Katiba ya CCM ilitaka mshindi awe na zaidi ya 51%, kitu ambacho JK hakufikisha.
Ni uongo kuonesha JK alionewa.
Ndio maana aliposhinda kwa wingi wa kura 2005 kwa kuwabwaga SAS na Mark Mwandosya, alikuja na kauli..."safari hii, kura zimetosha".
Hoja za wazi ni vema zikajengewa hoja kwa uwezi maana kumbukumbu za 1995 tunazo.
Wasalaam!
Hahaha asante kwa hii kumbukizi mkuuNiliona Ile hotuba kupitia TBC baada ya Mkapa kutangazwa mshindi 1995 Kikwete aliongea hotuba Moja mzuri sana. Kiasi Cha kufanya Mwalimu Nyerere asimame kupiga makofi na ukumbi mzima ukamfuta Nyerere kusimama na kupiga makofi. Marehemu Mkapa akakimbia kwenda kumkumbatia Jakaya kwa hisia kali kama mtoto anayenyonya aliyekosa kumuona mama yake siku mbili. Jakaya was matured but at that time Nyerere alikuwa sahihi juu ya kumpa Marehemu Mkapa. Jakaya alihitaji kukua zaidi.
Hivi na hii report ya Mwakyembe ndio ilipelekea kupewa sumu sioNahisi japo sina uhakika kuwa Wewe ni kijana na pengine 2007 wakati wa kashfa ya Richmond ulikuwa mdogo
kasome report ya Richmond na uhusika wa kila mmoja ndio utajua kwanini hadi leo hakuna hata mmoja aliweza kumjibu kwa hoja kuanzia ndani ya Bunge hadi nje ya Bunge Dr Harrison Mwakyembe
Mwakyembe alitendea haki sana taaluma yake ya Uandishi wa uchunguzi na Sheria
oamoja na wingi wa wapambe hadi leo…kuhusu ile report wote walikuwa wanasema No comment na wote waliohusika waliishia kujiuzulu badala ya kujibu hoja
SaluteTumeshazika sasa tunajibu hoja kwa hoja
Walioshadadia Kashfa ya Monduli
1) Freeman Mbowe
2) Godbless Lema
3) Chrstopher Ole sendeka
4) Anne Kilango Malecela
wote hawa wanatokea unapotokea Wewe mbaguzi
au wakati wa Kashfa ya Richmond mlikuwa bado wadogo
Waliotupiwa zigo la Monduli walifanyie kazi walikuwa Home boy ambao leo ndio hao hao wanalalamikia wakwere walivyokuwa akili nusu Mlingoti
hao hao ndio walikuwa wanamtukana Mkwere kuwalinda wana mtandao!
Mwanasiasa Mahiri na madhubuti lazima uwe mtulivu, akili nyingi sana na mvumilivu na sifa zote hizo Adui yenu mkuu anazo
Sifa kubwa sana ambayo Mkwere na Mzee wa Monduli pamoja na kutofautiana walikuwa nayo ni kutopenda kulalamika lalamika
ukim snitch anaku snitch na wakikutana kila mmoja anajibu am fine
Walimzunguka Bosi kwny Richmond nae akawapelekea moto kwa kutumia hiyo hiyo Richmond
walipotolewa nje ya Game wakaunda magenge mengi sana ya hujuma hadi migomo mikubwa mikubwa akapiga kimya akawasubiri 2015 akala kichwa
Wakahamia upande wa pili wamuoneshe show kwa kuwa wana watu na pesa nae akawaonesha ana akili na dola wakamalizana kibingwa
na wote hawakuwahi kulalamika hadharan
Kitu cha kujivunia Jk alisikiliza kilio cha Wengi cha kulipasua Kundi lake la Wanamtandao
2017 alimtumia Mzee wa Kundi Samwel Sitta kumpumzisha Ngoyai na 2010 akatumia nguvu na ushawishi wa Ngoyai kupitia NEC kuweka vipengele cha Jinsia kumpumzisha Uspika Mzee Sitta
2011 akamtumia aliekuwa Mwanamtandao wa Mzee Sumaye Ndugu Nape akampa Ukatibu wa Itikadi akaanza ku deal na mapacha watatu na Tajiri wa Igunga akavua jezi
na 2015 akakamilisha madaraka yake kwa kuhakikisha Wanamtandao hawapo tena kama kundi
Pamoja na tofauti zote na rafu zote za Siasa hakuwa na muda kuhujumu uchumi au biashara ya Mtu japo alikuwa na uwezo wa kufanya hivyo
alijua Michezo ya Siasa itaishia kwny Siasa sio kutafutana kwenye Bank Accounts na Assets za mtu
Sho...Ni kweli alimshughulikia Kighoma Malima barabara
Ufisadi fisadi wa kwanza mkubwa alikuwa waziri alikuwa Kighoma Malima mtu wa swala Tano ila fisadi hatari na sigda yake usoni na swala Tano akiwa waziri wa Fedha mikashfa kibao ya kifisadi
Raisi Mwinyi akaona atafute mtu serious kweli akampa Kikwete uwaziri wa fedha na akamtoa Kighoma Malima na akampa Kikwete , Kikwete alimshughulikia barabara bila kujali ni mtu wa Pwani mwenzie au Muislamu mwenzie account zake nje alikoficha pesa Kighoma Malima alisafiri hija kumbe anaenda kutaka kukimbia nchi akatoe pesa kule kaweka nje akaenda hija na nyumba ndogo bi mdogo kisha akaenda huko ulaya atoe pesa wale maisha ulaya huko akakuta Kikwete waziri wa fedha kazipiga pin Akaunti Zote hakuna pesa ya kutoa
Akapata presha akafa wakarudisha kuzika Tanzania Kwa hasira familia yake waliogoma hawakutaka Serikali ihusike Hadi Mwanawe mkuu wa mkoa Sasa hivi alitorokea upinzani
Kikwete ndio alikuwa waziri wa kwanza Enzi hizo kupambana na fisadi mkubwa Malima aliyekuwa waziri wa fedha Kabla yake
Kwa Hilo apewe hongera na maua yake
Proved,Mzee Mohamed Said unazo hizi taarifa ?
Pamoja na hiyo janja janja yote inayosemwa lakini yule Mzee hakuwa Fisadi !Mbele za watu alijiweka na kuaminisha watz muadilifu sana,kumbe janja janja tu