Hayati Magufuli alidhibiti ukatwaji wa umeme au mazingira yalimbeba?

Hayati Magufuli alidhibiti ukatwaji wa umeme au mazingira yalimbeba?

Mwenzio anauliza hali ya hewa we unasema transfoma. Watoto wa bao la masturbation mna shida sana.
Wehu kama nyie hamuwezi elewa TRANSFORMER linahusikaje kwenye umeme mnahisi ni banda la NJIWA. Wenye taaluma zao na akili nzuri wamenielewa ukibaki kichwa kizito mmoja kama wewe haina shida maana hata class Jitu la mwisho huwaga halikosi
 
Kuna mtu mmoja kasema waliua matransfoma mengi mno.

Mkuu uliyesema hivo usidhani hapa fscebook.

Transfoma likifa na umeme lazima ukatike. Transfoma hufa inapotokea low voltage and hiki kitu hakikuwahi kutokea enzi za mwamba, low voltage ilikuwepi enzi za msoga kwangu nina lab ya pc60 zilikufa ups zote.

nzi za mwamba maisha yalikuwa mserereko tu
 
Mkuu mtera gani unaizungumzia mi nafanya biashara kufuata mabwawa na sasa navotype nipo mtera migori maji hayajakauka kama unavodanganya maji yalikauka 2006 na 2013 ila kwa sasa yapo kwenye levo ya kawaida
Kuna mahali nimesema yamekauka? Mtera si iko moja tu unapouliza ni Mtera gani unamaanisha nini!!? Mtera maji yamepungua sana na huo ndiyo ukweli.
 
Kipindi cha Magufuli mitambo yote ilimuogopa hata mvua ilishindwa kugoma...kipindi cha kiangazi ilnyesha mvua tukajiuliza mvua ya aina gani hii kipindi cha kiangazi ndio maana mgao haukuwepo.

Ila sasa mitambo na mvua vinalamba asali
 
Waziri Makamba alidai mgao wa umeme unatokana na service wanayoifanya kwa sasa ambayo haikuwahi kufanyika kwa miaka mitano.

Hiyo hoja ya ukame imeibuka baada ya propaganda ya awali kugonga mwamba.

Kama shida ya sasa ni ukame,hizo trillion 11 alizoomba Makamba kuisuka gridi ndiyo suluhisho la mgao?

Ukiisuka gridi ukame unaisha?

Mtarusharusha matako around ila ukweli utaki vilevile tu.
 
Sasa unafanya kazi gani,au ushaenda zanzbar kuziba pengo la Askari kwa yule jamaa?
Usilazimishe niwe kwenye mateso ya maisha kama unayopitia kama wewe bodaboda jitahidi kuishi vizuri na boss wako sio ulazimishe na mimi niwe bodaboda kwa maandishi yako.
 
Usilazimishe niwe kwenye mateso ya maisha kama unayopitia kama wewe bodaboda jitahidi kuishi vizuri na boss wako sio ulazimishe na mimi niwe bodaboda kwa maandishi yako.
Mimi kweli nnamaisha magumu ila sio mm ni karibia 90%ya wa tanzania wote Maisha Magumu na chanzo ni watu wajinga kama wewe,unajifanya kusoma kumbe kichwani kamasi tu zimekuja.

Upo humu kushindana na mtu aliyekwisha kutangulia mbele za haki,Mimi stojali Wewe ni boda boda mwenzangu nakupiga nao.Vinginevyo Nyamaza tu na huachane na mimi.
 
Kama shida ya sasa ni ukame,hizo trillion 11 alizoomba Makamba kuisuka gridi ndiyo suluhisho la mgao?

Ukiisuka gridi ukame unaisha?
Asilimia 28 (28%) ya umeme huvuja njiani wakati wa usambazaji kutokana na kuchakaa kwa mifumo ya usambazaji. Kwa ivo 28% inategemeana na wingi wa umeme unaozalishwa, ukizalishwa mwingi hali inakuwa nafuu ila ukizalishwa umeme kidogo kutokana na ukame hali inakuwa mbaya zaidi.

HIzi ni sababu za kisayansi na siyo Blah! Blah! zinazotokana na mahaba kwa mtu fulani
 
Back
Top Bottom