Billie
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 13,588
- 22,752
Mbona unaleta ubishi wa kimtaa kama mgonjwa wa fistura ya kichwa andika hoja PUNGUZA mahaba ya huyo mwehu wenu aliyefariki andika hoja mbwa weeUlinunua wewe matransformer mapya..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona unaleta ubishi wa kimtaa kama mgonjwa wa fistura ya kichwa andika hoja PUNGUZA mahaba ya huyo mwehu wenu aliyefariki andika hoja mbwa weeUlinunua wewe matransformer mapya..
Bahati mbaya sana Bwawa la Nyerere nalo chanzo chake cha maji bado ni kile kile ambacho kinatumika kwa bwawa la Kidatu, Mtera na Kihansi. Kwa ujumla maji ya mabwawa yetu kwa zaidi ya asilimia tisini yanatoka kwenye vyanzo vile vile!!Duh!...tuvute subira Nyerere dam itakuwa suluhisho
Unanitaka nitukane kazi ya bodaboda na nimestuka. Kama ulimpenda sana MFALME JUHA kufa ili mkutane nae huko nasikia amekuwa kiongozi wa Malaika kama alivyokuwa anaropoka mbele yenu. Mzalendo ambae ametorosha mahela huko China na chatoMimi kweli nnamaisha magumu ila sio mm ni karibia 90%ya wa tanzania wote Maisha Magumu na chanzo ni watu wajinga kama wewe,unajifanya kusoma kumbe kichwani kamasi tu zimekuja...
Alipoingia Makamba tu, ukaanza kuvuja, siyo?Asilimia 28 (28%) ya umeme huvuja njiani wakati wa usambazaji kutokana na kuchakaa kwa mifumo ya usambazaji. Kwa ivo 28% inategemeana na wingi wa umeme unaozalishwa...
Mchele ni shs 4000 kwa kiloMbona unaleta ubishi wa kimtaa kama mgonjwa wa fistura ya kichwa andika hoja PUNGUZA mahaba ya huyo mwehu wenu alifariki andika hoja mbwa wee
Lima au kula mihogo unajua mambo ya GROBAL ECONOMIC CRISIS au mnahisi rais ndo anaenda kusema mchele kilo na uuzwe 4000 Tsh per kilo? Unajua mambo ya force of demand and supply au nabishana na dishMchele ni shs 4000 kwa kilo
Hapana hii ni taarifa ya kitambo sana na iko kisayansi zaidi hata kama anayeitoa humpendi. Miundo mbinu ya kusambaza umeme kwa nchi yetu imechakaa na inahitaji ukarabati.Alipoingia Makamba tu,ukaanza kuvuja, siyo?
Ndo amana umeambiwa ww ni uzao wa bao la masturbation.Unanitaka nitukane kazi ya bodaboda na nimestuka. Kama ulimpenda sana MFALME JUHA kufa ili mkutane nae huko nasikia amekuwa kiongozi wa Malaika kama alivyokuwa anaropoka mbele yenu. Mzalendo ambae ametorosha mahela huko China na chato
Huko kulala yoooh, nawewe utalalatu it's just matter of time, you can't change it.Na you can't change yule jamaa amelala yooohh [emoji16]
Lima au kula mihogo unajua mambo ya GROBAL ECONOMIC CRISIS au mnahisi rais ndo anaenda kusema mchele kilo na uuzwe 4000 Tsh per kilo? Unajua mambo ya force of demand and supply au nabishana na dish
TANESCO walikuwa wanajilazimisha ila waliua ma transformer mengi mno kwa kulazimisha kumfurahisha mwamba ili asitumbue mtu.
Kazi kuwahudumia wananchi!TANESCO walikuwa wanajilazimisha ila waliua ma transformer mengi mno kwa kulazimisha kumfurahisha mwamba ili asitumbue mtu.
Elezea kitaalamu, hizo Transformers zinakufaje?TANESCO walikuwa wanajilazimisha ila waliua ma transformer mengi mno kwa kulazimisha kumfurahisha mwamba ili asitumbue mtu.
Mkuu physics ya wapi hii?Kwani ukikaa kimya ili kuficha ujinga wako utapungukiwa nini,Yaani uharibu transfomer kwa kuzalisha umeme ambao vyanzo vya uzalishaji huo hakuna unazalishaje wakati maji hakuna/mvua hazinyeshi?.
Hacha kukurupuka basi, kuna kiazi mmoja kama ww ndo kasema hivyo nilikuwa napambana nae....Jitahidin basi muwe mnasoma comments ata kama sio zote na muelewe ndo mjibu....Sawa chawa wa mama yupo kazini?Mkuu physics ya wapi hii?
Maji yakiwa machache yanaua Transformer?
Kwanini usijikite na kina kinjekitile Ngwale uliowasomea?
Ntakujibu nn mzee wakati nilichokiandika haujasoma na kukielewa ,anzia uzi ulipoanzia alafu soma walau ata comments 6 za wengine utajua mm namanisha nini?Lengo langu nimquote aliyesema....
Sorry mkuu.
Amani Amani Jamaa yangu....tupambane kwa hoja na baadhi ya wajinga wajinga vyeti fake enzi za Magu siku hizi wanajiita chawa wa Mama!!!Lengo langu nimquote aliyesema....
Sorry mkuu.
Vyanzo vya maji kwa ajili ya Mabwawa makubwa matatu ya kuzalishia umeme, yaani Bwawa la Mtera, Kidatu, na Kihanzi, vyote kwa asilimia tisini (90%) vinategemena na sehemu kubwa vinatokana na vyanzo vile vile. Kwa mfano sehemu kubwa ya maji yanayojaza bwawa la Mtera na Kidatu chanzo chake ni kile kile.
Kwa miaka miwili mfululizo kumekuwa na ukame mkubwa sana kwenye maeneo yanayotoa maji kwa ajili ya mabwawa ya Mtera na Kidatu. Wiki hii nilikuwa Mtera na kwa kweli hali ni mbaya sana kiasi kwamba inawezekana upungufu wa maji mtera umeweka historia kwa miaka ya hivi karibuni.
Sasa kama sehemu kubwa ya umeme wetu tunategemea umeme unaozalishwa kwa maji, na ukame ndiyo huu umeshika kasi, tunategemea muujuzi gani utakaotuzalishia umeme!!??
Enzi za Magufuli kulikuwa hakuna mgao mkubwa wa umeme, lakini jee pia kulikuwa kuna ukame kama ulioko sasa? Mara hii tumeshasahau ni kwa nini Enzi za Kikwete wafugaji walihamishwa toka hifadhi ya bonde oevu Ihefu?
Na ukijua hivo ni vema kwamba kila mtu atalala yooohh sasa yeye aliishi utadhani ana ahadi ya kuishi milele kutesa watu kuuwa pambafff sana alale tenaHuko kulala yoooh, nawewe utalalatu it's just matter of time, you can't change it.
Kila kilicho hai kita lala.