Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Umeonaeeeeeee?Bora kukaa gizani asee ilimradi hayupo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeonaeeeeeee?Bora kukaa gizani asee ilimradi hayupo
TANESCO walikuwa wanajilazimisha ila waliua ma transformer mengi mno kwa kulazimisha kumfurahisha mwamba ili asitumbue mtu.
Kukubali kuitwa mnyonge ni kuidhalilisha nafsi yako. Mungu aliumba binadamu mkamilifu mwenye nguvu za mwili na ubongo. Yeyote akizitumia akili zake na nguvu zake vizuri ana uwezo wa kupiga hatua kiuchumi na kijamii. Usikubali kuitwa Mnyonge, utapata LAANA kama aliyoondoka nayo MwendazakeSawa ila mimi nazungumzia kuhusu watu kumuona kuwa ni mtetezi wa wanyonge.
Jiwe was devil 😈Uwe na akili
Alinitesa mimi, miaka 6 kazuia haki zangu za msingi kabisa kama mtumishi.....ni haki zangu ila alizigeuza ni huruma zake atakapoamua ndio nipate asipoamua sipatiAmemtesa nani bibie?
Naunga mkono kwa 100%Kukubali kuitwa mnyonge ni kuidhalilisha nafsi yako. Mungu aliumba binadamu mkamilifu mwenye nguvu za mwili na ubongo. Yeyote akizitumia akili zake na nguvu zake vizuri ana uwezo wa kupiga hatua kiuchumi na kijamii. Usikubali kuitwa Mnyonge, utapata LAANA kama aliyoondoka nayo Mwendazake
RIH Jambazi MagufuliR.I.P JOHN JOSEPH POMBE MAGUFURI MWAMBA
Kile kilikuwa Chuma!!Vyanzo vya maji kwa ajili ya Mabwawa makubwa matatu ya kuzalishia umeme, yaani Bwawa la Mtera, Kidatu, na Kihanzi, vyote kwa asilimia tisini (90%) vinategemena na sehemu kubwa vinatokana na vyanzo vile vile. Kwa mfano sehemu kubwa ya maji yanayojaza bwawa la Mtera na Kidatu chanzo chake ni kile kile.
Kwa miaka miwili mfululizo kumekuwa na ukame mkubwa sana kwenye maeneo yanayotoa maji kwa ajili ya mabwawa ya Mtera na Kidatu. Wiki hii nilikuwa Mtera na kwa kweli hali ni mbaya sana kiasi kwamba inawezekana upungufu wa maji mtera umeweka historia kwa miaka ya hivi karibuni.
Sasa kama sehemu kubwa ya umeme wetu tunategemea umeme unaozalishwa kwa maji, na ukame ndiyo huu umeshika kasi, tunategemea muujuzi gani utakaotuzalishia umeme?
Enzi za Magufuli kulikuwa hakuna mgao mkubwa wa umeme, lakini jee pia kulikuwa kuna ukame kama ulioko sasa? Mara hii tumeshasahau ni kwa nini Enzi za Kikwete wafugaji walihamishwa toka hifadhi ya bonde oevu Ihefu?
Ila mliambiwa akimaliza projects zake mishahara itakuwa mikubwa Sana maana uchumi utakuwa umeimarikaAlinitesa mimi, miaka 6 kazuia haki zangu za msingi kabisa kama mtumishi.....ni haki zangu ila alizigeuza ni huruma zake atakapoamua ndio nipate asipoamua sipati
Bora amekufa?Bora kukaa gizani asee ilimradi hayupo
Ndio hapo alipokosea kugeuza haki za watu kuwa huruma zake..... Ujenzi ni kitu endelevu hakiishagi wala, mama wa watu kakamata usukani mimi kama mimi nimelipwa haki zangu zoote....yule jamaa yule alale tu kwakweliIla mliambiwa akimaliza projects zake mishahara itakuwa mikubwa Sana maana uchumi utakuwa umeimarika
We waonaje dearBora amekufa?
Chukua tanoWe waonaje dear
Halafu hivi wengine hawakuwahi kujenga sio???Ila mliambiwa akimaliza projects zake mishahara itakuwa mikubwa Sana maana uchumi utakuwa umeimarika
Unakosea mamii kuongea kwa lugha Kali kwasababu hakuna binadamu asiokufa wote sisi tutakufa jaribu kunenea watu maneno mazuri kila raisi anaupande mzuri na mbaya ipo hivyo huyo Mama samia japo kakurudishia haki zako zote kama ulivyosema lakini kwa upande mwingine kafanya nchi iwe ya kujuana usipo kuwa na connection kazi ngumu kupata, maisha yamezidi kupanda elfu 10 sasa hivi imekuwa sio hela Tena, huduma za umma zimekuwa mbovu na ufisadi umekuwa mkubwa mnoHalafu hivi wengine hawakuwahi kujenga sio???
Ila yeye
Ukiwa na cheti feki lazima uwe mjinga na umchukie magufuli.unapoteza muda wako kumchukia Magufuli.Alipendwa na Watanzania wajinga tu kama wewe
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Wakati mwingine hawa watu nikuwasamehe tu ndio akili iliyojaa humu siku hizi.Elezea kitaalamu, hizo Transformers zinakufaje?
Humu ndani kuna electrical engineers, wanakuchora tu...
Hata Magufuli alikuwa na PhD FEKI lakini aliendelea kuwa Rais wetu. Kuwa na cheti FEKI japo mimi cheti changu ni halalai hakuninyimi haki ya kukosoa mapungufu kwa viongozi wetu.Ukiwa na cheti feki lazima uwe mjinga na umchukie magufuli.unapoteza muda wako kumchukia Magufuli.
Tofauti na Watawala wengi yeye alikuwa mfuatiliaji, mtoa maamuzi bila kigugumizi na akayaishiVyanzo vya maji kwa ajili ya Mabwawa makubwa matatu ya kuzalishia umeme, yaani Bwawa la Mtera, Kidatu, na Kihanzi, vyote kwa asilimia tisini (90%) vinategemena na sehemu kubwa vinatokana na vyanzo vile vile. Kwa mfano sehemu kubwa ya maji yanayojaza bwawa la Mtera na Kidatu chanzo chake ni kile kile.
Kwa miaka miwili mfululizo kumekuwa na ukame mkubwa sana kwenye maeneo yanayotoa maji kwa ajili ya mabwawa ya Mtera na Kidatu. Wiki hii nilikuwa Mtera na kwa kweli hali ni mbaya sana kiasi kwamba inawezekana upungufu wa maji mtera umeweka historia kwa miaka ya hivi karibuni.
Sasa kama sehemu kubwa ya umeme wetu tunategemea umeme unaozalishwa kwa maji, na ukame ndiyo huu umeshika kasi, tunategemea muujuzi gani utakaotuzalishia umeme?
Enzi za Magufuli kulikuwa hakuna mgao mkubwa wa umeme, lakini jee pia kulikuwa kuna ukame kama ulioko sasa? Mara hii tumeshasahau ni kwa nini Enzi za Kikwete wafugaji walihamishwa toka hifadhi ya bonde oevu Ihefu?
Vyanzo vya maji kwa ajili ya Mabwawa makubwa matatu ya kuzalishia umeme, yaani Bwawa la Mtera, Kidatu, na Kihanzi, vyote kwa asilimia tisini (90%) vinategemena na sehemu kubwa vinatokana na vyanzo vile vile. Kwa mfano sehemu kubwa ya maji yanayojaza bwawa la Mtera na Kidatu chanzo chake ni kile kile.
Kwa miaka miwili mfululizo kumekuwa na ukame mkubwa sana kwenye maeneo yanayotoa maji kwa ajili ya mabwawa ya Mtera na Kidatu. Wiki hii nilikuwa Mtera na kwa kweli hali ni mbaya sana kiasi kwamba inawezekana upungufu wa maji mtera umeweka historia kwa miaka ya hivi karibuni.
Sasa kama sehemu kubwa ya umeme wetu tunategemea umeme unaozalishwa kwa maji, na ukame ndiyo huu umeshika kasi, tunategemea muujuzi gani utakaotuzalishia umeme?
Enzi za Magufuli kulikuwa hakuna mgao mkubwa wa umeme, lakini jee pia kulikuwa kuna ukame kama ulioko sasa? Mara hii tumeshasahau ni kwa nini Enzi za Kikwete wafugaji walihamishwa toka hifadhi ya bonde oevu Ihefu?