Wehu kama nyie hamuwezi elewa TRANSFORMER linahusikaje kwenye umeme mnahisi ni banda la NJIWA. Wenye taaluma zao na akili nzuri wamenielewa ukibaki kichwa kizito mmoja kama wewe haina shida maana hata class Jitu la mwisho huwaga halikosiMwenzio anauliza hali ya hewa we unasema transfoma. Watoto wa bao la masturbation mna shida sana.
Mzee hujalala mpaka saa hizi? Nilishasahau kama unapenda sana kuangalia Tamthilia ya Ottoman!!Mtanikumbuka
Tatizo umesoma HKL ndo nyie mlikuwa mnajiita Pure arts kama mademuKwani ukikaa kimya ili kuficha ujinga wako utapungukiwa nini,Yaani uharibu transfomer kwa kuzalisha umeme ambao vyanzo vya uzalishaji huo hakuna unazalishaje wakati maji hakuna/mvua hazinyeshi?.
Kuna mahali nimesema yamekauka? Mtera si iko moja tu unapouliza ni Mtera gani unamaanisha nini!!? Mtera maji yamepungua sana na huo ndiyo ukweli.Mkuu mtera gani unaizungumzia mi nafanya biashara kufuata mabwawa na sasa navotype nipo mtera migori maji hayajakauka kama unavodanganya maji yalikauka 2006 na 2013 ila kwa sasa yapo kwenye levo ya kawaida
Acha ushamba aseee, unajua kazi ya transformer?TANESCO walikuwa wanajilazimisha ila waliua ma transformer mengi mno kwa kulazimisha kumfurahisha mwamba ili asitumbue mtu.
Tatizo umesoma HKL ndo nyie mlikuwa mnajiita Pure arts kama mademu
Na you can't change yule jamaa amelala yooohh 😁Yaani wanakulala unatotoa.
Hiyo ndio kazi yako...
Eti bodabodaWewe ulie soma PCM mbona wote tunafanya kazi ya Laana(Boda boda).
Uwe na akiliTANESCO walikuwa wanajilazimisha ila waliua ma transformer mengi mno kwa kulazimisha kumfurahisha mwamba ili asitumbue mtu.
Sasa unafanya kazi gani,au ushaenda zanzbar kuziba pengo la Askari kwa yule jamaa?Eti bodaboda
Usilazimishe niwe kwenye mateso ya maisha kama unayopitia kama wewe bodaboda jitahidi kuishi vizuri na boss wako sio ulazimishe na mimi niwe bodaboda kwa maandishi yako.Sasa unafanya kazi gani,au ushaenda zanzbar kuziba pengo la Askari kwa yule jamaa?
Nataka wanaosema sasa hivi kuna kuzembea na ndiyo maana kuna mgao wa umeme waje na ulinganishi wa nyakati hizi na zile!!Kama kwa upande wako umeona source ni ukame,,unataka tuseme nini kingine...?? [emoji16][emoji16]
Mimi kweli nnamaisha magumu ila sio mm ni karibia 90%ya wa tanzania wote Maisha Magumu na chanzo ni watu wajinga kama wewe,unajifanya kusoma kumbe kichwani kamasi tu zimekuja.Usilazimishe niwe kwenye mateso ya maisha kama unayopitia kama wewe bodaboda jitahidi kuishi vizuri na boss wako sio ulazimishe na mimi niwe bodaboda kwa maandishi yako.
Asilimia 28 (28%) ya umeme huvuja njiani wakati wa usambazaji kutokana na kuchakaa kwa mifumo ya usambazaji. Kwa ivo 28% inategemeana na wingi wa umeme unaozalishwa, ukizalishwa mwingi hali inakuwa nafuu ila ukizalishwa umeme kidogo kutokana na ukame hali inakuwa mbaya zaidi.Kama shida ya sasa ni ukame,hizo trillion 11 alizoomba Makamba kuisuka gridi ndiyo suluhisho la mgao?
Ukiisuka gridi ukame unaisha?
Duh!...tuvute subira Nyerere dam itakuwa suluhishoHapa nipo mkoa x ndani ya nususaa umeme umeshakatika mara 17