johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
KodiMasikini kwa miaka yake ya uongozi aliwapunguzia nini ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KodiMasikini kwa miaka yake ya uongozi aliwapunguzia nini ?
Kama wew jinsi Mbowe alivyogeuka kuwa Kibwetere kwako na mwenzi wako
Mkuu ilikuwaje watu wenye akili mkakusanywa na kuamua kuabudu binadamu ?1. Kwanza unatakiwa utambue Magu hakuwa mwanasiasa ndio maana hakufanya kwa propaganda. He walked the talk.
2. Magu alifanya vitu vilivyoonekana hata na mtoto mdogo. Hata bosi wako Mbowe alipata kusema alikuwa na uthubutu wa ajabu kuliko kawaida. Tafuta hiyo clip.
3. Mara nyingi mtu anayeleta mafanikio hujikuta na watu wanaomuamini na kupenda kufanya nae kazi. Sababu wanaopenda kweli bado wapo wengi tu.
4. Kupenda kusifiwa ni hulka ya mwanadamu. Hata Samia wanaomjua wameamua kumtengenezea verae ya mana anaupiga mwingi nae hudemka kutwa na hiyo verse.
Mbowe pia ukimueleza ukweli atakuambia sumu haijaribiwi kwa kuonja, anataka umsifie tu mwenyekiti tuvushee.
Kuna kitu yule mwamba alikuwa nacho, wengine wengi hawajawahi wala hawatakuwa nacho. Tena kadri tunavyozidi kusonga mbele, na watu kuona haya wanayoona, itatokea kabisa wakatumia maono na style ya mambo yake, kufikiria wanataka Tanzania yao iweje.View attachment 2574374
Huu ulikuwa uwezo wa kipekee sana Sijapata kuona ! Inafahamika kwamba Viongozi karibu wote wa ccm wanatengeneza Makundi , lakini Mara zote viongozi hao hutengeneza makundi ya kampeni , yaani wanatengeneza wapambe wa kufanya kampeni , kwamba angalau pamoja na kuiba kura , angalau viongozi wa ccm waliopita waliunda hata timu ya kushawishi wananchi ili wawachague .
Dr Magufuli aliunda kikundi cha hiyari cha "kumuabudu" nasema cha hiyari maana sikuwahi kuona watu wakilazimishwa kujiunga nacho , hiki kikundi hakikuwa cha Kampeni , maana Magufuli hakuwahi kuamini katika demokrasia , hili kundi lilikuwa kama zile Praise team za makanisa , ni kulinda imani kufa na kupona , kwamba chochote atakachokifanya hata kama kilikuwa hatari kwa nchi , kama kuvunja kienyeji mikataba na wawekezaji wa kimataifa , jambo ambalo ni hatari lakini kikundi hiki kilishangilia kufa na kupona .
kilikuwepo hata kikundi cha kutukana Wazee , wastaafu na Wanasiasa wa vyama vyote ikiwemo ccm , hakuna yoyote aliyepingana na Magufuli hata kwenye mambo ya msingi ambaye hakushambuliwa na kikundi hiki , mmemsahau Musiba na yale Magazeti yake yaliyodaiwa kuchapishwa na Usalama wa Taifa ?
Inasemekana Magufuli alipenda sana kusifiwa , kwahiyo jamii inatambua wako waliokuwa wanamsifia na kujikuta wakiingizwa kwenye praise team na kuteuliwa .
Sasa mshangao wangu ni huu , Mtu huyu ambaye hakuwa na ushawishi wowote Majukwaani aliwezaje kutengeneza kikundi cha kumuabudu na kumtii mithili ya Machifu wa enzi za Ujima ?
kodi ipi ?Kodi
Mchungaji Matsai: Namuombea Trump kwa Mungu ili awe tena Rais wa Marekani Katika Uchaguzi ujao, yule ndio Kiongozi japo hamumpendi!Magufuli alikuwa dikteta. Madikteta wote duniani sifa yao ni kuwa na watu wa kuwatukuza na kuwasifu. Ndiyo maana alifanikiwa. Namfananisha Magufuli na Chavez. Wote walikuwa populist waliodhani wanasaidia nchi zao kumbe wanaziletea majanga makubwa.
Kama Chavez alivyofia madarakani Magufuli naye alifia madarakani. Tofauti ndogo kati ya hawa wawili ni kuwa Chavez alikuwa na mrithi anaeendeleza ujinga wake. Magufuli alikuwa bado hajaanda mrithi wa kueendeleza udikteta wake
Kitambulisho cha Mjasiriamalikodi ipi ?
Mfumuko wa bidhaa za vyakula,vitambulisho vya machinga 20000/= KWA mwaka ni bora kuliko sasa!!Masikini kwa miaka yake ya uongozi aliwapunguzia nini ?
Trump ni mwerevu. Huwezi mfananisha na yule shujaa wenuMchungaji Matsai: Namuombea Trump kwa Mungu ili awe tena Rais wa Marekani Katika Uchaguzi ujao, yule ndio Kiongozi japo hamumpendi!
Gachagua: Ruto ni mpole ningekaa mimi pale juu ningetenda kama Shujaa wa nchi jirani!Trump ni mwerevu. Huwezi mfananisha na yule shujaa wenu
Alikuwa na karama tofauti na wewe ery au mbowe. Ndio maana tulikusanywa kumuabudu.Mkuu ilikuwaje watu wenye akili mkakusanywa na kuamua kuabudu binadamu ?
Umeshaolewa ?Binafsi natamani nizae Mtoto mwenye uwezo zaid ya jpm!
Yule ni mtu aliewakilisha maskini ipasavyo!na maskini ni wengi hawezi kosa wa kumuunga mkono!
KWA hiyo wanazaa wanawake tu sisie wanaume hatuzai!!?
View attachment 2574374
Huu ulikuwa uwezo wa kipekee sana Sijapata kuona ! Inafahamika kwamba Viongozi karibu wote wa ccm wanatengeneza Makundi , lakini Mara zote viongozi hao hutengeneza makundi ya kampeni , yaani wanatengeneza wapambe wa kufanya kampeni , kwamba angalau pamoja na kuiba kura , angalau viongozi wa ccm waliopita waliunda hata timu ya kushawishi wananchi ili wawachague .
Dr Magufuli aliunda kikundi cha hiyari cha "kumuabudu" nasema cha hiyari maana sikuwahi kuona watu wakilazimishwa kujiunga nacho , hiki kikundi hakikuwa cha Kampeni , maana Magufuli hakuwahi kuamini katika demokrasia , hili kundi lilikuwa kama zile Praise team za makanisa , ni kulinda imani kufa na kupona , kwamba chochote atakachokifanya hata kama kilikuwa hatari kwa nchi , kama kuvunja kienyeji mikataba na wawekezaji wa kimataifa , jambo ambalo ni hatari lakini kikundi hiki kilishangilia kufa na kupona .
kilikuwepo hata kikundi cha kutukana Wazee , wastaafu na Wanasiasa wa vyama vyote ikiwemo ccm , hakuna yoyote aliyepingana na Magufuli hata kwenye mambo ya msingi ambaye hakushambuliwa na kikundi hiki , mmemsahau Musiba na yale Magazeti yake yaliyodaiwa kuchapishwa na Usalama wa Taifa ?
Inasemekana Magufuli alipenda sana kusifiwa , kwahiyo jamii inatambua wako waliokuwa wanamsifia na kujikuta wakiingizwa kwenye praise team na kuteuliwa .
Sasa mshangao wangu ni huu , Mtu huyu ambaye hakuwa na ushawishi wowote Majukwaani aliwezaje kutengeneza kikundi cha kumuabudu na kumtii mithili ya Machifu wa enzi za Ujima
View attachment 2574374
Huu ulikuwa uwezo wa kipekee sana Sijapata kuona ! Inafahamika kwamba Viongozi karibu wote wa ccm wanatengeneza Makundi , lakini Mara zote viongozi hao hutengeneza makundi ya kampeni , yaani wanatengeneza wapambe wa kufanya kampeni , kwamba angalau pamoja na kuiba kura , angalau viongozi wa ccm waliopita waliunda hata timu ya kushawishi wananchi ili wawachague .
Dr Magufuli aliunda kikundi cha hiyari cha "kumuabudu" nasema cha hiyari maana sikuwahi kuona watu wakilazimishwa kujiunga nacho , hiki kikundi hakikuwa cha Kampeni , maana Magufuli hakuwahi kuamini katika demokrasia , hili kundi lilikuwa kama zile Praise team za makanisa , ni kulinda imani kufa na kupona , kwamba chochote atakachokifanya hata kama kilikuwa hatari kwa nchi , kama kuvunja kienyeji mikataba na wawekezaji wa kimataifa , jambo ambalo ni hatari lakini kikundi hiki kilishangilia kufa na kupona .
kilikuwepo hata kikundi cha kutukana Wazee , wastaafu na Wanasiasa wa vyama vyote ikiwemo ccm , hakuna yoyote aliyepingana na Magufuli hata kwenye mambo ya msingi ambaye hakushambuliwa na kikundi hiki , mmemsahau Musiba na yale Magazeti yake yaliyodaiwa kuchapishwa na Usalama wa Taifa ?
Inasemekana Magufuli alipenda sana kusifiwa , kwahiyo jamii inatambua wako waliokuwa wanamsifia na kujikuta wakiingizwa kwenye praise team na kuteuliwa .
Sasa mshangao wangu ni huu , Mtu huyu ambaye hakuwa na ushawishi wowote Majukwaani aliwezaje kutengeneza kikundi cha kumuabudu na kumtii mithili ya Machifu wa enzi za Ujima ?
Mbowe anaingiaje hapa,huyu mtu hakauki midomoni na akilini mwenu.Kama wew jinsi Mbowe alivyogeuka kuwa Kibwetere kwako na mwenzi wako
Mimi siyo mwanasiasa,Ila ukweli Ni kwamba hata mbowe ni mungu wenu pale chadema.Mkuu ilikuwaje watu wenye akili mkakusanywa na kuamua kuabudu binadamu ?
Misukule yake hiyoMkuu ilikuwaje watu wenye akili mkakusanywa na kuamua kuabudu binadamu ?