Hayati Magufuli alifanikiwa kutengeneza kundi lililomuamini na kumtii mithili ya wafia Dini

Hayati Magufuli alifanikiwa kutengeneza kundi lililomuamini na kumtii mithili ya wafia Dini

Hivi na Lissu ataitwaje?

Tunaweza pindisha yote yale lakiini tukaja kuafikiana

"Blessed are you when people hate you, when they exclude you and insult you and reject your name as evil..."

"Heri yeye wakati watu wanamkuchukia, na kumtenga na kumutukana na kukataa jina lake kama muovu, kwa sababu ni Mwana wa Adamu"
 
Unasema hakuwa na ushawishi?!

Kwa taarifa tu hakuna kiongozi aliyekuwa anafutaliwa kama Magufuli akiwa anaongea

Mwenye radio alihakikisha mawimbi hayayumbi asikie kinachojiri

Naweza kusema ukimtoa nyerere ndiyo kiongozi pekee alieyekuwa na hotuba za kugusa wananchi

Kosa kubwa alilofanya ni kuwatetea ngozi nyeusi angejali masilahi yake na biashara zake hadi leo huenda anagekuwepo!

Afrika ukiwa rais ukasimamia haki ni ngumu kudumu!
 
Maono yake yalikuwa ni yapi?

Style yake ilikuwa ipi?
Kuna kitu yule mwamba alikuwa nacho, wengine wengi hawajawahi wala hawatakuwa nacho. Tena kadri tunavyozidi kusonga mbele, na watu kuona haya wanayoona, itatokea kabisa wakatumia maono na style ya mambo yake, kufikiria wanataka Tanzania yao iweje.
Kama tukifanya vyema, JPM atasahaulika hilo halina mjadala
 
Sio kweli Magufuli alikuwa Mungu au Mungu mtu!
Linaeleweka wazi kabisa

Sio kweli Hayati Magufuli alikuwa akipigania haki za Kidini!

Sio kweli kuna watu walimtii na kumuamini kama mithili ya wafia dini.


Mtatunga weeee., Mwisho wa siku tunajua CHADEMA imeungana na mafisadi kutuwekea pazia la yale yanayoendela Nchini.

Ufisadi uliokithiri.....Ufisadi unaohitaji kukemewa na kuangamizwa na wafia dini! Kama Hayati
 
Nchi ilizizima Kwa furaha alipokufa watu mabaa yalifunguliwa upyaaaaa na yaliyobakiza wanywaji wawili kufumba na kufumbua kukawa na wateja kama wote Arusha mbeya dar acha kabisa Arusha ngombe na mbuzi walichakaa!
Acha uongo,,
Bar nyingi siku hizi ukipita au kwenda unakuta wateja meza moja au mbili, wahudumu wakipiga mihayo kwa kukosa kazi, na wacheza pool table wasio na vinywaji.
Nadhani hali ni mbaya zaidi kuliko kipindi Cha JPM.
 
Hamkutaka kabisa kuitwa Vilaza!

Mnahasira utadhani mmezuiliwa kufanya kitu nanyi mkapewa heshima!

Magufuli bado ni mwamba mpaka sasa!
 
View attachment 2574374

Huu ulikuwa uwezo wa kipekee sana Sijapata kuona ! Inafahamika kwamba Viongozi karibu wote wa ccm wanatengeneza Makundi , lakini Mara zote viongozi hao hutengeneza makundi ya kampeni , yaani wanatengeneza wapambe wa kufanya kampeni , kwamba angalau pamoja na kuiba kura , angalau viongozi wa ccm waliopita waliunda hata timu ya kushawishi wananchi ili wawachague .

Dr Magufuli aliunda kikundi cha hiyari cha "kumuabudu" nasema cha hiyari maana sikuwahi kuona watu wakilazimishwa kujiunga nacho , hiki kikundi hakikuwa cha Kampeni , maana Magufuli hakuwahi kuamini katika demokrasia , hili kundi lilikuwa kama zile Praise team za makanisa , ni kulinda imani kufa na kupona , kwamba chochote atakachokifanya hata kama kilikuwa hatari kwa nchi , kama kuvunja kienyeji mikataba na wawekezaji wa kimataifa , jambo ambalo ni hatari lakini kikundi hiki kilishangilia kufa na kupona .

kilikuwepo hata kikundi cha kutukana Wazee , wastaafu na Wanasiasa wa vyama vyote ikiwemo ccm , hakuna yoyote aliyepingana na Magufuli hata kwenye mambo ya msingi ambaye hakushambuliwa na kikundi hiki , mmemsahau Musiba na yale Magazeti yake yaliyodaiwa kuchapishwa na Usalama wa Taifa ?

Inasemekana Magufuli alipenda sana kusifiwa , kwahiyo jamii inatambua wako waliokuwa wanamsifia na kujikuta wakiingizwa kwenye praise team na kuteuliwa .

Sasa mshangao wangu ni huu , Mtu huyu ambaye hakuwa na ushawishi wowote Majukwaani aliwezaje kutengeneza kikundi cha kumuabudu na kumtii mithili ya Machifu wa enzi za Ujima ?
Wafuasi wengi wa Magufuli walikuwa wachumia tumbo kama wanasiasa wengi walivyo. Hufuata mkumbo, kujikomba, kujitoa ufahamu ili wapate vyeo, mkono uende kinywani na kujilinbikizia mali.
Hawana Imani yoyote inayowaunganisha na wanaweza kusaliti wakati wowote wakikosa madaraka au ulaji. Wanahamia dini nyingine wakati wowote kama kuna sadaka kutoka kwa waumini wajinga wanaonyonywa.
Hata hivyo, siyo kwa Magufuli tu, ndivyo wanasiasa wetu wengi walivyo.
 
Mkuu ilikuwaje watu wenye akili mkakusanywa na kuamua kuabudu binadamu ?
Hatukukusanywa,
Maana hata mtoa mada amekiri kwamba JPM hakuwa na ushawishi, Sasa kukusanywa hiyo ilitoka wapi?
Elewa tu ilitoka mioyoni.
Wengi wetu tunashawishiwa kwa matendo zaidi kuliko maneno.
Je, wewe washawishiwa kwa maneno?
Utaingia Chaka sana,
Kama ni ke utatiwa mimba Hadi tano pasipo kupata mme wa kukuoa..
 
fb_img_1652379712226-jpg.2574374

Kati ya hizi picha mbili ni ipi inayotoa taswira ya wafia dini? Nani anayefoka mithili ya Wainjilisti ?Muwe wakweli.....btw picha zote kwa hisani ya CHADEMA Ufipa Digital Propaganda studio
jamiiforums1267461471_387x387-jpg.2572374
 
Kuna mambo yanafurahisha sana kwenye siasa!!

Hivi unaanzaje kumsema Mwamba yule kuwa hakuwa na ushawishi wowote majukwaani!?

Labda nikusaidie tu. Kuelekea uchaguzi wa 2025 tutajua kama Magufuli hakuwa na ushawishi wowote kwa Watanzania kama unavyotaka kutuaminisha hapa. labda ungesema Magufuli hakuwa mwanasiasa mzuri bali alikuwa Rais anayejituma, kufanya kazi kwa bidii na aliipenda nchi yake. Huenda alikuwa na madhaifu yake lakini yule mzee tuacheni unafiki alikuwa anapiga kazi. Na hadi vizazi na vizazi atabaki kwenye historia.

Sasa nyie mnaojiita wana demokrasia shangilieni sasa kwani sasahv hakuna rushwa, maisha ya wananchi yamekuwa mazuri, demokrasia imeleta watalii nchini, kodi na tozo hakuna tena, umeme na maji vinapatikana kwa wingi, deni la taifa limepungua na pia demokrasia imeimarisha uwajibikaji kwa mawaziri na watumishi wa serikali. Sasa hivi ukienda maofisini watu wanachapa kazi.

Ama kweli demokrasia imefungua nchi. Ripoti ya CAG inafanyiwa kazi kwani demokrasia imesababisha wala Rushwa wachukuliwe hatua za haraka. Machinga wanafanya biashara kwa uhuru. Nani kama Wapinzani walioleta maridhiano????

Magufuli kwakweli aende zake in Peace!
Alikua anaongoza nchi kijinga.dunia ya Leo inahitaji sayansi na diplomasia ya Hali ya juu.kuua na kuteka watu ilikua ni siasa za kishamba.kufuta chaguzi 2019 na ule wa 2020 alionyesha ni jinsi Gani alivyo zuzu.Mungu ni mwema,Yuko wapi Sasa??
 
View attachment 2574374

Huu ulikuwa uwezo wa kipekee sana Sijapata kuona ! Inafahamika kwamba Viongozi karibu wote wa ccm wanatengeneza Makundi , lakini Mara zote viongozi hao hutengeneza makundi ya kampeni , yaani wanatengeneza wapambe wa kufanya kampeni , kwamba angalau pamoja na kuiba kura , angalau viongozi wa ccm waliopita waliunda hata timu ya kushawishi wananchi ili wawachague .

Dr Magufuli aliunda kikundi cha hiyari cha "kumuabudu" nasema cha hiyari maana sikuwahi kuona watu wakilazimishwa kujiunga nacho , hiki kikundi hakikuwa cha Kampeni , maana Magufuli hakuwahi kuamini katika demokrasia , hili kundi lilikuwa kama zile Praise team za makanisa , ni kulinda imani kufa na kupona , kwamba chochote atakachokifanya hata kama kilikuwa hatari kwa nchi , kama kuvunja kienyeji mikataba na wawekezaji wa kimataifa , jambo ambalo ni hatari lakini kikundi hiki kilishangilia kufa na kupona .

kilikuwepo hata kikundi cha kutukana Wazee , wastaafu na Wanasiasa wa vyama vyote ikiwemo ccm , hakuna yoyote aliyepingana na Magufuli hata kwenye mambo ya msingi ambaye hakushambuliwa na kikundi hiki , mmemsahau Musiba na yale Magazeti yake yaliyodaiwa kuchapishwa na Usalama wa Taifa ?

Inasemekana Magufuli alipenda sana kusifiwa , kwahiyo jamii inatambua wako waliokuwa wanamsifia na kujikuta wakiingizwa kwenye praise team na kuteuliwa .

Sasa mshangao wangu ni huu , Mtu huyu ambaye hakuwa na ushawishi wowote Majukwaani aliwezaje kutengeneza kikundi cha kumuabudu na kumtii mithili ya Machifu wa enzi za Ujima ?
Hata Mbowe licha ya kupata ziro form six , kuuwa chama kutoka wabunge 100 hadi 1, kushindwa kujenga ofisi ya chama lakini bado kuna kikundi kikiongozwa na Erythrocyte kina amini Mbowe ni bonge la kiongozi na ataivusha nchi kiuchumi wakati hata uchumi wa kujenga ofisi nzuri y chadema umemshinda kwa miaka 30 aliyoongoza chama.
 
Binafsi natamani nizae Mtoto mwenye uwezo zaid ya jpm!

Yule ni mtu aliewakilisha maskini ipasavyo!na maskini ni wengi hawezi kosa wa kumuunga mkono!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]maskini??Kwa Nini maskini??na utajiri wote huu tulionao????SEMA wajinga.wanaopewa t-shirt na kofia+pombe kipindi Cha kampeni
 
Back
Top Bottom