Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Binafsi natamani nizae Mtoto mwenye uwezo zaid ya jpm!
Yule ni mtu aliewakilisha maskini ipasavyo!na maskini ni wengi hawezi kosa wa kumuunga mkono!
He came in a wrong time.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Binafsi natamani nizae Mtoto mwenye uwezo zaid ya jpm!
Yule ni mtu aliewakilisha maskini ipasavyo!na maskini ni wengi hawezi kosa wa kumuunga mkono!
Mnapambana na msichokijua! Mnaakili kweli hapo?
Unaweza kutuambia hela zile zilienda wapi ?Kitambulisho cha Mjasiriamali
Rwanda waliweka lock down wangapi walikufa ?Mfumuko wa bidhaa za vyakula,vitambulisho vya machinga 20000/= KWA mwaka ni bora kuliko sasa!!
Wanamgambo KWA mama ntilie hawakuwepo kuwasumbua!
Elimu bure pia iliwasaidia!
Ongezea na mengineyo!
Alikataa lockdown ambayo ingeua watu zaidi hasa maskini wangekufa njaa Baadae Dunia nzima ikaona lockdown ni uzembe tu wa kufikiria HADI leo haipo na coronavirus bado ipo na Maisha yanasonga!!
Ongezea nyama hapo!!!
Mimi sitaki laana ya MunguAlikuwa na karama tofauti na wewe ery au mbowe. Ndio maana tulikusanywa kumuabudu.
Na wewe ukifanya mambo makubwa tutakusanywa kukuabudu.
Kwani nimebisha basi ! Walaaa !!Haya alishakufa miaka 2 sasa ilitosha kusifiwa akiwa hai. Mtu akifa na bado akaishi mioyoni mwetu hakika hakulazimisha kupendwa ila alipendwa kwelikweli. Tanzania watu waliowahi kupendwa wa kwanza ni magufuli akifuatiwa na nyerere
Acha uongoMimi siyo mwanasiasa,Ila ukweli Ni kwamba hata mbowe ni mungu wenu pale chadema.
Na ameisimika vema ideology yake maarufu ya "Mimi ndiye chadema na chadema ndiyo mimi. Nitakufa nikiwa mwenyekiti,Mimi ndiyo mbowe".
Hiyo ni ibada kamili, vinginevyo neno ibada umelipa maana yako ya kujitungia,tofauti na uhalisia wake.
Toeni kwanza hilo boriti kabla hamjamtaja Magufuli kila saa.
Siasa zenu bongo mmeweka unafiki mbele.
Unazisikia tena hotuba zake TBC ? yaani kusema kwamba " nitapiga hadi shangazi zako" ndio hotuba za kugusa wananchi hizo ?Unasema hakuwa na ushawishi?!
Kwa taarifa tu hakuna kiongozi aliyekuwa anafutaliwa kama Magufuli akiwa anaongea
Mwenye radio alihakikisha mawimbi hayayumbi asikie kinachojiri
Naweza kusema ukimtoa nyerere ndiyo kiongozi pekee alieyekuwa na hotuba za kugusa wananchi
Kosa kubwa alilofanya ni kuwatetea ngozi nyeusi angejali masilahi yake na biashara zake hadi leo huenda anagekuwepo!
Afrika ukiwa rais ukasimamia haki ni ngumu kudumu!
haki ya kupoteza watu ni haki hiyo ?Unasema hakuwa na ushawishi?!
Kwa taarifa tu hakuna kiongozi aliyekuwa anafutaliwa kama Magufuli akiwa anaongea
Mwenye radio alihakikisha mawimbi hayayumbi asikie kinachojiri
Naweza kusema ukimtoa nyerere ndiyo kiongozi pekee alieyekuwa na hotuba za kugusa wananchi
Kosa kubwa alilofanya ni kuwatetea ngozi nyeusi angejali masilahi yake na biashara zake hadi leo huenda anagekuwepo!
Afrika ukiwa rais ukasimamia haki ni ngumu kudumu!
Weeee !!!Chadema ina baadhi ya vijana wajinga sana!
kama ni ME ?Hatukukusanywa,
Maana hata mtoa mada amekiri kwamba JPM hakuwa na ushawishi, Sasa kukusanywa hiyo ilitoka wapi?
Elewa tu ilitoka mioyoni.
Wengi wetu tunashawishiwa kwa matendo zaidi kuliko maneno.
Je, wewe washawishiwa kwa maneno?
Utaingia Chaka sana,
Kama ni ke utatiwa mimba Hadi tano pasipo kupata mme wa kukuoa..
Moja ya kampeni za wazi hadharani , nyingine ya kupanga mipango isiyojulikana gizani![]()
Kati ya hizi picha mbili ni ipi inayotoa taswira ya wafia dini? Nani anayefoka mithili ya Wainjilisti ?Muwe wakweli.....btw picha zote kwa hisani ya CHADEMA Ufipa Digital Propaganda studio
![]()
Miaka 30 umeitoa wapi ? liongo liikubwa weee !!Hata Mbowe licha ya kupata ziro form six , kuuwa chama kutoka wabunge 100 hadi 1, kushindwa kujenga ofisi ya chama lakini bado kuna kikundi kikiongozwa na Erythrocyte kina amini Mbowe ni bonge la kiongozi na ataivusha nchi kiuchumi wakati hata uchumi wa kujenga ofisi nzuri y chadema umemshinda kwa miaka 30 aliyoongoza chama.
Kwi Kwi KwiJamaa hawawezi kupitisha wiki bila kutaja Mwamba.
R. I. P my president.
Acha uongo, huoni hata aibu!Nchi ilizizima Kwa furaha alipokufa watu mabaa yalifunguliwa upyaaaaa na yaliyobakiza wanywaji wawili kufumba na kufumbua kukawa na wateja kama wote Arusha mbeya dar acha kabisa Arusha ngombe na mbuzi walichakaa!
Hakuna utawala ambao haujawahi kuua, kuteka wala kupoteza watu kwa africahaki ya kupoteza watu ni haki hiyo ?
Naona umepiga kwenye mshono akikujibu nitagKama mbowe alivyo kutengeneza Wewe
USSR
Kwani ninyi huwa inakuwaje mnapoongozwa na mwenyekiti huyo huyo miaka yote?Mkuu ilikuwaje watu wenye akili mkakusanywa na kuamua kuabudu binadamu ?