SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 8,189
- 7,853
Sisi tunarutubisha yai tu mbeba yai ndiye anazaa. Kama wewe unayo mayai basi jiandae warutubishaji tupoKWA hiyo wanazaa wanawake tu sisie wanaume hatuzai!!?
Haijalishi
Kuna kitu yule mwamba alikuwa nacho, wengine wengi hawajawahi wala hawatakuwa nacho. Tena kadri tunavyozidi kusonga mbele, na watu kuona haya wanayoona, itatokea kabisa wakatumia maono na style ya mambo yake, kufikiria wanataka Tanzania yao iweje.
Kama tukifanya vyema, JPM atasahaulika hilo halina mjadala
Acha uongo,,Nchi ilizizima Kwa furaha alipokufa watu mabaa yalifunguliwa upyaaaaa na yaliyobakiza wanywaji wawili kufumba na kufumbua kukawa na wateja kama wote Arusha mbeya dar acha kabisa Arusha ngombe na mbuzi walichakaa!
Wafuasi wengi wa Magufuli walikuwa wachumia tumbo kama wanasiasa wengi walivyo. Hufuata mkumbo, kujikomba, kujitoa ufahamu ili wapate vyeo, mkono uende kinywani na kujilinbikizia mali.View attachment 2574374
Huu ulikuwa uwezo wa kipekee sana Sijapata kuona ! Inafahamika kwamba Viongozi karibu wote wa ccm wanatengeneza Makundi , lakini Mara zote viongozi hao hutengeneza makundi ya kampeni , yaani wanatengeneza wapambe wa kufanya kampeni , kwamba angalau pamoja na kuiba kura , angalau viongozi wa ccm waliopita waliunda hata timu ya kushawishi wananchi ili wawachague .
Dr Magufuli aliunda kikundi cha hiyari cha "kumuabudu" nasema cha hiyari maana sikuwahi kuona watu wakilazimishwa kujiunga nacho , hiki kikundi hakikuwa cha Kampeni , maana Magufuli hakuwahi kuamini katika demokrasia , hili kundi lilikuwa kama zile Praise team za makanisa , ni kulinda imani kufa na kupona , kwamba chochote atakachokifanya hata kama kilikuwa hatari kwa nchi , kama kuvunja kienyeji mikataba na wawekezaji wa kimataifa , jambo ambalo ni hatari lakini kikundi hiki kilishangilia kufa na kupona .
kilikuwepo hata kikundi cha kutukana Wazee , wastaafu na Wanasiasa wa vyama vyote ikiwemo ccm , hakuna yoyote aliyepingana na Magufuli hata kwenye mambo ya msingi ambaye hakushambuliwa na kikundi hiki , mmemsahau Musiba na yale Magazeti yake yaliyodaiwa kuchapishwa na Usalama wa Taifa ?
Inasemekana Magufuli alipenda sana kusifiwa , kwahiyo jamii inatambua wako waliokuwa wanamsifia na kujikuta wakiingizwa kwenye praise team na kuteuliwa .
Sasa mshangao wangu ni huu , Mtu huyu ambaye hakuwa na ushawishi wowote Majukwaani aliwezaje kutengeneza kikundi cha kumuabudu na kumtii mithili ya Machifu wa enzi za Ujima ?
Hatukukusanywa,Mkuu ilikuwaje watu wenye akili mkakusanywa na kuamua kuabudu binadamu ?
Acha kufananisha M.Luther na vitu vya kijingaHiyo ndio Kiongozi
Kiongozi asipoyumba hata ajapo kufa atakuwa anaishi
Ndio hao akina Martin Luther
Alikua anaongoza nchi kijinga.dunia ya Leo inahitaji sayansi na diplomasia ya Hali ya juu.kuua na kuteka watu ilikua ni siasa za kishamba.kufuta chaguzi 2019 na ule wa 2020 alionyesha ni jinsi Gani alivyo zuzu.Mungu ni mwema,Yuko wapi Sasa??Kuna mambo yanafurahisha sana kwenye siasa!!
Hivi unaanzaje kumsema Mwamba yule kuwa hakuwa na ushawishi wowote majukwaani!?
Labda nikusaidie tu. Kuelekea uchaguzi wa 2025 tutajua kama Magufuli hakuwa na ushawishi wowote kwa Watanzania kama unavyotaka kutuaminisha hapa. labda ungesema Magufuli hakuwa mwanasiasa mzuri bali alikuwa Rais anayejituma, kufanya kazi kwa bidii na aliipenda nchi yake. Huenda alikuwa na madhaifu yake lakini yule mzee tuacheni unafiki alikuwa anapiga kazi. Na hadi vizazi na vizazi atabaki kwenye historia.
Sasa nyie mnaojiita wana demokrasia shangilieni sasa kwani sasahv hakuna rushwa, maisha ya wananchi yamekuwa mazuri, demokrasia imeleta watalii nchini, kodi na tozo hakuna tena, umeme na maji vinapatikana kwa wingi, deni la taifa limepungua na pia demokrasia imeimarisha uwajibikaji kwa mawaziri na watumishi wa serikali. Sasa hivi ukienda maofisini watu wanachapa kazi.
Ama kweli demokrasia imefungua nchi. Ripoti ya CAG inafanyiwa kazi kwani demokrasia imesababisha wala Rushwa wachukuliwe hatua za haraka. Machinga wanafanya biashara kwa uhuru. Nani kama Wapinzani walioleta maridhiano????
Magufuli kwakweli aende zake in Peace!
Hata Mbowe licha ya kupata ziro form six , kuuwa chama kutoka wabunge 100 hadi 1, kushindwa kujenga ofisi ya chama lakini bado kuna kikundi kikiongozwa na Erythrocyte kina amini Mbowe ni bonge la kiongozi na ataivusha nchi kiuchumi wakati hata uchumi wa kujenga ofisi nzuri y chadema umemshinda kwa miaka 30 aliyoongoza chama.View attachment 2574374
Huu ulikuwa uwezo wa kipekee sana Sijapata kuona ! Inafahamika kwamba Viongozi karibu wote wa ccm wanatengeneza Makundi , lakini Mara zote viongozi hao hutengeneza makundi ya kampeni , yaani wanatengeneza wapambe wa kufanya kampeni , kwamba angalau pamoja na kuiba kura , angalau viongozi wa ccm waliopita waliunda hata timu ya kushawishi wananchi ili wawachague .
Dr Magufuli aliunda kikundi cha hiyari cha "kumuabudu" nasema cha hiyari maana sikuwahi kuona watu wakilazimishwa kujiunga nacho , hiki kikundi hakikuwa cha Kampeni , maana Magufuli hakuwahi kuamini katika demokrasia , hili kundi lilikuwa kama zile Praise team za makanisa , ni kulinda imani kufa na kupona , kwamba chochote atakachokifanya hata kama kilikuwa hatari kwa nchi , kama kuvunja kienyeji mikataba na wawekezaji wa kimataifa , jambo ambalo ni hatari lakini kikundi hiki kilishangilia kufa na kupona .
kilikuwepo hata kikundi cha kutukana Wazee , wastaafu na Wanasiasa wa vyama vyote ikiwemo ccm , hakuna yoyote aliyepingana na Magufuli hata kwenye mambo ya msingi ambaye hakushambuliwa na kikundi hiki , mmemsahau Musiba na yale Magazeti yake yaliyodaiwa kuchapishwa na Usalama wa Taifa ?
Inasemekana Magufuli alipenda sana kusifiwa , kwahiyo jamii inatambua wako waliokuwa wanamsifia na kujikuta wakiingizwa kwenye praise team na kuteuliwa .
Sasa mshangao wangu ni huu , Mtu huyu ambaye hakuwa na ushawishi wowote Majukwaani aliwezaje kutengeneza kikundi cha kumuabudu na kumtii mithili ya Machifu wa enzi za Ujima ?
Sukuma Gang ni genge la wapumbavu sanaChadema ina baadhi ya vijana wajinga sana!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]maskini??Kwa Nini maskini??na utajiri wote huu tulionao????SEMA wajinga.wanaopewa t-shirt na kofia+pombe kipindi Cha kampeniBinafsi natamani nizae Mtoto mwenye uwezo zaid ya jpm!
Yule ni mtu aliewakilisha maskini ipasavyo!na maskini ni wengi hawezi kosa wa kumuunga mkono!
Kipindi cha utawala wake ilikuwa vigumu kutenganisha mzalendo na mjinga.