Aliwaepusha vipi?, Hukuona kina kibonde walivyoondoka, TBC walipukutika, mamilionea wanaosafiri safiri nje , viongozi, mawaziri, wabunge etcNa ilisaidia kutuepusha na hayo magonjwa.alitupa ujasiri na kutokuwapa ugonjwa.yeye ni shujaa
Kuficha takwimu haina maana watu hawakufa,, kuna kijiji kimoja nilienda,, kila siku ilukua msiba, nilikaa wiki na nusu ikabidi nikimbie, [emoji16]watu waluondoka kwelikweli tena kimya kumya yaaniSisi tulipunguza vifo vinavyo sababishwa na ile taharuki ya corona, hao majirani zetu maigizo waliyokuwa wanafanya yaliwasaidia nini?
[emoji16][emoji16][emoji848][emoji848]unajua kila siku watu wangapi wanakufa kwa malaria,tb n.k hapa Tanzania?
Kwanini takwimu ziwe za korona peke yake?
Kweli, italy, US, UK, watu wamekufa sana licha ya tahadhari zote,, chuma yeye alitaka kuondoa taharuki tu maana alijua vyovyote vile watu watakufa sana,, ndo maana mwisho mwisho wa uhai wake jumapili moja ya mwisho akihutubu kanisani,, alisema, " kama kufa tutakufa wote, kama umepangiwa kufa kwa covid utakufa tu, wala barakoa haitakusaidia"Bila kujali walifanya upuuzi au la lakini kila sehemu watu walikufa kwa COVID-19[emoji3083][emoji40] tena pengine zaidi ya Tanzania
Kwani issue ni kuzuia watu wasife? mbona watu hawajawahi kukoma kufa, sasa wewe mkuu umeona watu wanakufa we umehitimisha tu kuwa ni corona sababu ya vifo vyao.Kuficha takwimu haina maana watu hawakufa,, kuna kijiji kimoja nilienda,, kila siku ilukua msiba, nilikaa wiki na nusu ikabidi nikimbie, [emoji16]watu waluondoka kwelikweli tena kimya kumya yaani
Shujaa wangu amekufa kishujaa haswa, hakutetereka, amekufa na misimamo yake.
Na amezikwa kishujaa pia, na ataenziwa mpaka mwisho wa dunia hii.
Sasa wewe Kidampa hata maiti yako haitapatikana ili nduguzo wakufukie kwa mila na desturi zenu za kishenzi.
Siwezi chanjwa mie mpaka ije corona phase 20.Vipi ushachanjwa? Au ni mwendo peku peku kama wa shujaa wako?
Hiiiiii bagosha!