Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni rahisi sana kurekebisha uchumi ulioharI bika lakini kurekebisha akili ni shida sana.Wakuu Habari
Baada ya zaiaa ya Samia ya kwen Kenya na kuondoa mtanziko wa kibiashara na kidiplomasia kati ya nchi hizi mbili na malori ya Tanzania kuruhusiwa kupeleka bidhaa zetu huko nilisoma maoni ya baadhi ya Watanzania ndipo nikajua Magufuli aliharibu hii nchi kiasi gani....
Chai...Huko kwa wenzetu ambako tunakopi na kupaste, wameambiwa kuvua barakoa kwa wale waliochanjwa chanjo zote mbili....na kuwaomba ambao walikataa kuchanjwa waendelee kuvaa barakoa!
Habari ya kuhuzunisha ni kuwa hata waliochanjwa chanjo zote wamebainika kupatwa na maambukizi ya covid 19....ngoma bado mbichi ati!
Bill Maher has tested positive for COVID-19, forcing the cancellation of the Friday taping of his HBO show "Real Time with Bill Maher," the show announced Thursday. The comedian is fully vaccinated, asymptomatic and "feels fine," the show said.![]()
Bill Maher tests positive for COVID-19
No other staff or crew members have tested positive, the show said.www.cbsnews.com
No other staff or crew members have tested positive, the show said. Neil deGrasse Tyson, Max Brooks and Dan Carlin were the guests scheduled for the canceled show on Friday.
Wewe ni mjina na ndio tatizo lingine Tanzania. Mtu anajifanya kujua na kulieleza jambo asilolijua vizuri!!Huko kwa wenzetu ambako tunakopi na kupaste, wameambiwa kuvua barakoa kwa wale waliochanjwa chanjo zote mbili....na kuwaomba ambao walikataa kuchanjwa waendelee kuvaa barakoa!...
CBC News , unasema chai! Google kwanza kuhusu hii habari!Chai...
Oil chafu ndio ile iliyopo futi sita chini ya ardhi?Huwez ichafua oil chafu kaka kajambe mbele huko.
Ndugu yangu,Wewe ni mjina na ndio tatizo lingine Tanzania. Mtu anajifanya kujua na kulieleza jambo asilolijua vizuri!!
Kwani enzi za jk watu walikua hawatekwi?kaharibu sana akili za watu kwa propaganda za hovyo. Imagine mtu anatetea kabisa kiongozi anayeteka na kuuwa watu ndio kiongozi anayefaa kwa sababu ni imara
Ha ha ha!!!!Kwa kweli Mungu kampendelea sana Magufuli, maana angeendelea kuwa hai sijui angeuweka wapi uso wake pale kila jambo lake lingefikia DEAD END!!!!?
Huna akili wew ni mbwigaWakuu Habari
Baada ya zaiaa ya Samia ya kwen Kenya na kuondoa mtanziko wa kibiashara na kidiplomasia kati ya nchi hizi mbili na malori ya Tanzania kuruhusiwa kupeleka bidhaa zetu huko nilisoma maoni ya baadhi ya Watanzania ndipo nikajua Magufuli aliharibu hii nchi kiasi gani...
yalikuwepo na yalikemewa, hayakuonekana sifa nzuri. Sasa hivi yanaonekana ndio sifa ya kiongozi mzuriKwani enzi za jk watu walikua hawatekwi?
Watu walitolewa meno,waandishi kapigwa risasi kafa.awamu zote hayo hua yapo
Corona ndio imemuua Magufuli, kijazi, Maalim Seif, Balozi Mahiga na watanzania wengine wengi. Lile zee la propaganda lilikuwa likiwadanganya eti maombi yameodoa Corona, tangia lini maombi yakatibu janga? bahati nzuri amekufaTangu kuzuka kwa Corona nchini China mwaka 2019, mataifa mengi duniani yaliamua kuja na mbinu za kupambana na Corona kwa kufungia watu ndani(lockdown) kuvaa barakoa, social distance na mengine mengi ikiwemo Chanjo.
Tanzania tuliamua kuishi na Corona kwa kukataa kujifungia (lockdown) na shughuli ziliendelea kama kawaida na watu wakisafiri huku na huko, hata watalii kipindi cha Corona walikuwa wengi sana Tanzania.
Baada ya miaka miwili kupita tangu Corona izuke mataifa yaliyoongoza kwa vifo ni Marekani, China, India Brazil etc hayo mataifa ni tajiri yana mitungi ya oxygen mingi ,wana barakoa, na walijifungia.
Tanzania chini ya hayati rais Magufuli tuliamua kutumia njia za asili kama kunywa juice ya Tangawizi na malimao, kupiga nyungu na kumtanguliza Mungu mbele etc na matokeo yake impact ya Corona ni ndogo sana na tuliweza kuingia uchumi wa kati.
Cha kusikitisha baada ya miaka 2 ya Corona kupita ,tume iloyoundwa na rais Samia Suluhu licha ya hiyo kamati kujaa maprofesa wa afya inataka kutuaminisha kwamba watanzania si lolote si chochote na tunatakiwa tujifunze kwa waliofanya lockdown huko nchi za nje.!!!
Lakini ukweli ni kwamba ukipima impact ya Corona Tanzania inaonyesha tumefanikiwa sana na tulitakiwa tujivunie haya mafanikio hadharani na kuitaka dunia ije ijifunze Tanzania mbinu tulizotumia.
Hivi sisi watanzania nani aliyeturoga? Pamoja na ushahidi wote uliotuzunguka ukionyesha tumefaulu vita ya Corona bado maprofesa wetu wanataka tufanye kama walivyofanya India, Marekani, Rwanda?
Na Chadema nao wanashqngilia?