Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,034
- 6,913
Huwezi weka tozo huku unaharibu uchumi,mama kaweka tozo kwa sababu uchumi unaenda juu,Mazao yanatoka kuanzia mbaazi hadi pamba ,vyote hivyo vilianguka kipindi cha Magu.Magufuli aliweka tozo na kutumia tozo, tumia parameters sahihi kufananisha watu. Hivi Magufuli angetumia huu mfumo tozo mtozoe SGR na Bwawa ingekuwa mukidemukide. Hao wamechota hazina sasa namna bora ya kujiendesha ni utopolo wa kitozo tozo
Watengeneza video na tv ya wizara tuoneshwe kama ReliTv ya mwanantala, isiwe manenoKwa taarifa yako vinavyotoa huduma ni vile ambavyo alivyokarabati,vipya vyote hadi anakufa alikuwa ndio kwanza yuko kwenye mchakato wa kuajiri watumishi wa Afya,kiufupi wameajiriwa juzi na akini Ummy.
So kwa wastani by 2025 mama anaweza Jenga vituo vya afya 800-1000 sio mchezo.
Kwani TRC si huwa wanatoa video zao kila mda fulani au? Ni wajibu wako kutafuta.Watengeneza video na tv ya wizara tuoneshwe kama ReliTv ya mwanantala, isiwe maneno
Hawa watu wapuuzi sana, wakati wana introduces VAT wakasema inaendaa kujenga shule hospital, wakalet Road tall wakasema wanaenda kujenga shule hospital, wakaleta Road licence maneno yaleyale. Leo wameleta tozo za miamala wanaenda kujenga yaleyaΔΊe, wameshatuona watanzania hamnazobila ya tozo amejenga vingapi
Sijui vyote mkuu,nasomewa na kuandikiwaUnajua kusoma na kuandika?
Hizi story kutoka chama Cha magaidi(ccm),usiziamini sana,
Kipindi Cha mwendazake tuliambiwa shirika la Ndege linapata faida,leo tunajua kuwa ilikuwa uhongo shirika lina madeni kibao,
Sasa story za huyu mama,tutajua Zina ukweli ama la,siku akitoka madarakani
Haviwezi kuanza kufanya Kazi mwaka huu labda hadi bajeti ijayo ndio watenge pesa ya Vifaa tiba,vitenganishi,madawa,ajira mpya nk ila kwa mwaka huu lazima wakamilishe majengo ya awali kuwezesha huduma kutolewa.Huwa najiuliza hivi Kituo cha Afya ni nini?? Majengo? Majengo + vifaa tiba + madawa + watumishi??? Je vituo 220 kama viko tayari vitaanza kufanya kazi lini hasa?? Yaani vinapokamika huwa ni pamoja na vifaa vyote + allocation ya madawa yote + allocation ya watumishi wote??? Naomba kuelimishwa hapa...
Kwa taarifa yako vinavyotoa huduma ni vile ambavyo alivyokarabati,vipya vyote hadi anakufa alikuwa ndio kwanza yuko kwenye mchakato wa kuajiri watumishi wa Afya,kiufupi wameajiriwa juzi na akini Ummy.
So kwa wastani by 2025 mama anaweza Jenga vituo vya afya 800-1000 sio mchezo.
Kuwa na madeni hakuhusiani na kupata faida au hasara kama unalipa kwa utaratibu uliopangwa. Hata m,ashirika mengi yanayopata faida, yana madeni mengi tu, lakini yanayalipa kama ilivyopangwa katika kila mwaka.Hizi story kutoka chama Cha magaidi(ccm),usiziamini sana,
Kipindi Cha mwendazake tuliambiwa shirika la Ndege linapata faida,leo tunajua kuwa ilikuwa uhongo shirika lina madeni kibao,
Sasa story za huyu mama,tutajua Zina ukweli ama la,siku akitoka madarakani
Kishindo Cha Samia chapeleka kilio kwa Wakulima wa Kenya ππMungu tunajua Upo,Msimamie mama huyu kila maadui watafunane wenyewe
Stage by stageHivi mnajenga maboma au mnakamilisha hadi vifaa tiba na kuweka watumishi?