Hayati Magufuli alijenga vituo vya afya 44 kwa miaka mitatu, Rais Samia anajenga 220 kwa miezi mitatu

Hayati Magufuli alijenga vituo vya afya 44 kwa miaka mitatu, Rais Samia anajenga 220 kwa miezi mitatu

Kwa nini ukwepuaji wa mabilioni ya pesa za walipa-kodi unazidi kushamiri? Wahusika mbona wanatazamwa tu as though wanaogopwa? Au naye paleee juu anakula kipande chake?

Vitendo vya rushwa, ubadhirifu wa mali za umma, ^madili na upigaji^ zimegeukuwa kuwa utaratibu wa kila siku. What a shameless country that we live in!

Hivi huu si wakati wa kuhamia Rwanda ama Burundi kweli?
 
Yaani Kwa mtu asiyejua mchakato wa ujenzi ataingizwa mkenge!
 
Back
Top Bottom