Sasa hiyo ni planning ya wapi? Yaani ujenge vituo 220 halafu popo hawamie mpaka utakapo pata pesa nyingine? Kwa nini usijenge vituo 100 full furnished with vifaa tiba na wataalamu?? Hapo ndiyo unaanza ku smell matango pori...Haviwezi kuanza kufanya Kazi mwaka huu labda hadi bajeti ijayo ndio watenge pesa ya Vifaa tiba,vitenganishi,madawa,ajira mpya nk ila kwa mwaka huu lazima wakamilishe majengo ya awali kuwezesha huduma kutolewa.
Hili shirika liuzwe tuu kama alivyofanya Dr Mwinyi kwa shirika la Meli huko Zanzibar...
Kiongozi ungetulia kidogo ukaweka taarifa kwa utulivu, umeharakisha sana na matokeo yake umechanganya changanya sana.RAIS MAGUFULI VITUO VYA AFYA 44 MIAKA 3 | RAIS SAMIA VITUO VYA AFYA 220 MIEZI 3
Ukisoma "Kitabu Cha Hali ya Uchumi Tanzania " cha mwaka 2018 ukurasa wa 60,utaona wakati Rais Kikwete anaondoka madarakani mwaka 2015 vituo vya afya vya serikali vilikuwa 507,Mpaka 2018|19 jumla ya Vituo vya afya vya serikali ilifikia 551 sawa na Ongezeko la Vituo vipya 44 ambazo ni 9% chini ya Hayati Rais Magufuli,
Kwakutumia tozo hizi za Kizalendo Rais Samia anajenga vituo vya afya vipya 220 kwa miezi mitatu ( 3 ) tu sawa na ongezeko la 43.4%,Nakwa lugha rahisi kabisa,Tunasema kasi ya Ujenzi wa vituo vya afya ya Rais Samia kwa miezi mitatu ni X5 zaidi ya kasi ya Ujenzi wa vituo vya afya ya Rais Magufuli kwa miaka mitatu mfululizo,
Jumla ya vituo vyote vya Serikali vipya na alivyokarabati Hayati Rais Magufuli kwa miaka mitano vilifikia 487 ( soma Hotuba yake ya mwisho bungeni ukurasa wa 24 ),Hii inamaana gani, Rais Samia kwa muda wa miezi hii michache atajenga karibu nusu ya vituo vyote vilivyojengwa|kukarabatiwa na Hyt Rais Magufuli kwa miaka mitano aliyokaa madarakani,Mama anastahili pongezi kama kweli tunamwogopa Mungu,
Na kwa andiko hili,Itusaidie kutambua faida ya tozo kwenye kuwahudumia na kuwafikia kwa haraka watoto wa masikini wa nchi hii wanaokufa kila dakika kwa kukosa huduma za afya hasa hasa akina Mama na Watoto huko vijijini,
Att |Isionekane napinga kazi nzuri ya Hyt Rais Magufuli hapana, ni katika kuangazia Mwanzo wao wote kwenye hili la vituo vya afya na Samia hakamatiki kwani namba hazidanganyi,
|[ Hili ndio Jibu la kwanini leo tozo na Sio zamani ]|
|WANAOULIZA RAIS SAMIA SULUHU ANATUPELEKA WAPI | HERE IS WHERE WE GO BRO'S & SISTERS KUWENI NA AMANI NCHI YENU IKO MIKONO SALAMA & SHUPAVU YA MAMA|
...Kazi iendelee ...
View attachment 1922453
Hizi story kutoka chama Cha magaidi(ccm),usiziamini sana,
Kipindi Cha mwendazake tuliambiwa shirika la Ndege linapata faida,leo tunajua kuwa ilikuwa uhongo shirika lina madeni kibao,
Sasa story za huyu mama,tutajua Zina ukweli ama la,siku akitoka madarakani
Zenji wameuza meli za kizamano wanataka kununua meli kama za AzamHili shirika liuzwe tuu kama alivyofanya Dr Mwinyi kwa shirika la Meli huko Zanzibar...
Ndio plan ya Serikali kwani wewe uliona wapi vyote vinafanyika kwa pamoja?Sasa hiyo ni planning ya wapi? Yaani ujenge vituo 220 halafu popo hawamie mpaka utakapo pata pesa nyingine? Kwa nini usijenge vituo 100 full furnished with vifaa tiba na wataalamu?? Hapo ndiyo unaanza ku smell matango pori...
Hahahahah Wadanganyika at their best 😅 wanashabikia vituo hewa! Hio billion 60 kama itafanya mambo ni billion 20 tu hio 40 tusubirie story za sandarusi kwa CAGHivyo vituo 220 ambavyo hata misingi haijachimbwa viko wapi?,tuletee picha ya vituo 5 tu kati ya hivyo 220 unavyosema vimejengwa
Unaishi kwa mawazo finyu na hasi,orodha ya mahali vituo vitajengwa imewekwa sasa wewe shida yako ni nini?Hahahahah Wadanganyika at their best 😅 wanashabikia vituo hewa! Hio billion 60 kama itafanya mambo ni billion 20 tu hio 40 tusubirie story za sandarusi kwa CAG
Imewekwa wapi, fanya attachment hapa niioneUnaishi kwa mawazo finyu na hasi,orodha ya mahali vituo vitajengwa imewekwa sasa wewe shida yako ni nini?
Watu wa Dar mna shida sana
Uwe unatembelea Tamisemi na unafuatilia taarifa za Waziri Ummy,sio kila kitu utaambiwa.Baadhi ya vituo hivyo Vya mwanzo kupokea fedha hivi hapa chini 👇..Imewekwa wapi, fanya attachment hapa niione
Jamaaa waongo sanaJafo hapa anasema Magufuli alijenga vituo vya afya 320
Uongo ulikuwa hadi ya Serikali ya wapenda sifa ya Mwendazake, serikali ya Sasa imetoa orodha ya wapi linajengwa na muwe mnaangalia TV sehemu zingine ujenzi unaendelea.Hawa jamaa waonho sana
Tujiulize hivi vituo,zahanati na hospitali zilizopo je zina madawa,vifaa na wataalamu vinatosheleza au ndio kujenga mabanda mengi ili ionekane tuna kuku wengi