Hayati Magufuli alijenga vituo vya afya 44 kwa miaka mitatu, Rais Samia anajenga 220 kwa miezi mitatu

Mungu Ibariki Africa,
Mungu ibariki Tanzania
Mungu Mbariki Rais Samia,

πŸ™πŸΏπŸ™πŸΏπŸ™πŸΏπŸ™πŸΏ
 
Kuwa na amani ndg yangu, Nchi hii iko salama sana kwenye mikono ya Mama,

Fanya kazi kwa bidii tu utapata pesa,


____________________________________
 
Hizo ni tents?
 
Mwanamke wa kwanza kuhutubia baraza kuu la Umoja wa Mataifa la 76 tangu tupate uhuru ni Mama Samia Suluhu Hassan,

We Proud on you Mama
_________________________

 
Wanaohoji tozo taarifa wanayo?
 
Alama za Nyakati
 
Kwa Nini umemlinganisha na Magufuli?

Hujapata kiongozi mwingine wakumlinganisha naye ?

Bora ungemlinganisha na walio hai badala ya mfu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…