Hayati Magufuli alikosea kwenye mambo mengi mno. Kubwa mojawapo ni kumchagua huyu mtu

Hayati Magufuli alikosea kwenye mambo mengi mno. Kubwa mojawapo ni kumchagua huyu mtu

Uchawa usikupofushe akili.
Lakini angalau sasa unajitambulisha pia kuwa chawa wa Samia na siyo genge tu lililomweka chini ya himaya yake.

Kuhusu nadharia yako, ni kama hujawahi kumsikia mtu aitwae Kikwete, hadi ukumbushwe, au ustuliwe tu kwa vile ulijisahaulisha kwa maksudi.
Uchawa ni dhana ya kufikirika tu, tena mwenye kuwa nayo ni yule anayeumizwa na hoja anazosoma.

Kikwete kafanya mengi pia, huwezi kuyaona kwa sababu akili yako imejiweka kuongelea mambo hasi tu.
 
Unachokisema nakubakiana nawe!
Ukikaa town (DSM) unaweza usione rais anafanya nini! Ila ukiwa unazunguka zunguka mikoa mingine huko njiani kuna mambo makubwa yanafanyika.
Hadi unajiuliza hizi pesa zinatoka wapi?
 
Mtu huyo ni Rais Samia!

Nashawishika kabisa kuamini kuwa huyu Samia alichaguliwa kutokana na jinsia yake tu [kama ilivyojuwa kwa Kamala Harris…the word salad queen…kule Marekani].

Kamala yeye alichaguliwa na Biden kuwa mgombea mwenza kwa sababu ni mwanamke mweusi [ingawa kiuhalisia ni chotara wa Kihindi na Kijamaica].

Kamala ni mweupe kabisa. Yaani hovyo to the nth degree. Anaongeaga mashudu tu [word salads].

Hana kabisa uwezo wa kuongoza. Yeye ni kucheka cheka tu na kuongea mambo yasiyoeleweka.

Ukimwangalia Biden, unaona kabisa jamaa anapaswa awe nyumbani. Kazi ya urais wa Marekani kwa sasa haiwezi.

He is a creepy old guy. Hebu angalia hapa



Hivi alikuwa anafanya nini hapo kwa hako katoto? Na hiyo ni wiki iliyopita alipokuwa Finland baada ya kutoka Lithuania kwenye mkutano wa NATO.

Biden muda wowote anaondoka. Iwe kwa kujiuzulu, kuamua kutogombea tena muhula wa pili, au hata kufa [ingawa kifo hakina mwenyewe].

Wazo la Kamala kuja kuwa Rais wa Marekani endapo Biden ataondoka, linatisha watu wengi sana.

Haya, tuje kwa huyu wa kwetu hapa.

Huyu naye alichaguliwa kwa sababu ya identity politics tu. Ni mwanamke na ni Mzanzibari.

Kwa ninayoyaona, ni mtu asiye na uwezo wa kiuongozi ngazi ya Rais wa nchi.

Hakuchaguliwa kutokana na sifa zake za kiuongozi.

Inavyoonekana Magufuli alikuwa anataka sifa ya kuwa na mgombea wa kwanza wa CCM kumchagua mwanamke kuwa mgombea mwenza wake.

Haiwezekani kabisa kuwa Samia alichaguliwa kutokana na sifa zake kiutendaji [kwa sababu hana].

Jahazi limeshamshinda hivi sasa. Kabaki kutoa vitisho na kutumia dola kukabiliana na wanaompinga.

Na ukiongeza na inferiority complex aliyonayo kutokana na jinsia yake, ndo kabisa anakuwa paranoid kwamba kila anayempinga, anafanya hivyo kwa kusukumwa na chuki dhidi yake kwa sababu yeye ni mwanamke!

Rais Magufuli hakuwa kiongozi mzuri. Nilishasema mara nyingi tu kuwa yeye alikuwa msimamizi/ mnyapara mzuri.

Yeye mpe kazi au mradi ausimamie, halafu umpe mamlaka ya kutosha kuweza kufanya maamuzi ndani ya ukomo fulani, utampenda maana hakuwa wa mchezo mchezo.

Sidhani kabisa kuwa Magufuli aliwaza kuhusu yeye kuishia njiani na kumwacha Samia ndo awe Rais.

Nadhani alidhani kuwa atamaliza vipindi vyote viwili na kustaafu kama walivyofanya waliomtangulia.

Lakini haikuwa hivyo. Tumeachiwa huyu Samia.

Makamu wa Rais, Dkt. Mpango, kwa mtazamo wangu, ni bora mara 100 kuliko Samia [I got bars too 😀].

Magufuli alikua kiongozi mzuri sana, shenzi wewe acha uongo. Kuhusu samia ni kweli alikosea kukubali shinikizo la jk kumuweka samia makamu. Kiitikadi sio mjamaa ni mtu mbinafsi wala haelewi mambo mengi jambo muhimu kwa cheo cha urais. Samia hakua chaguo lake ila jk alichomeka kamati kuu. Chaguo lake lilikua hassan mwinyi. Wala sio siri mwenyewe magu alisema hadharani wala sio mara moja.
 
Ilikuwa makosa kumweka Magufuli kwenye Urais, mama ndiyo anasafisha madudu ya Magufuli. Hii ni kama Mwinyi alivyosafisha madudu ya nyerere, na Kikwete akaja kusafisha ya Mkapa.

Watende wao ya wenzao huwa mwao.
Samia kasafisha hadi ya Kikwete kama kuwatoa masheikh wa uamsho.
 
Ilikuwa makosa kumweka Magufuli kwenye Urais, mama ndiyo anasafisha madudu ya Magufuli. Hii ni kama Mwinyi alivyosafisha madudu ya nyerere, na Kikwete akaja kusafisha ya Mkapa.

Watende wao ya wenzao huwa mwao.
Nonsense, Magufuli alikuwa rais mzuri lakini samia ni rais mmbovu.
 
Mtu huyo ni Rais Samia!

Nashawishika kabisa kuamini kuwa huyu Samia alichaguliwa kutokana na jinsia yake tu [kama ilivyojuwa kwa Kamala Harris…the word salad queen…kule Marekani].

Kamala yeye alichaguliwa na Biden kuwa mgombea mwenza kwa sababu ni mwanamke mweusi [ingawa kiuhalisia ni chotara wa Kihindi na Kijamaica].

Kamala ni mweupe kabisa. Yaani hovyo to the nth degree. Anaongeaga mashudu tu [word salads].

Hana kabisa uwezo wa kuongoza. Yeye ni kucheka cheka tu na kuongea mambo yasiyoeleweka.

Ukimwangalia Biden, unaona kabisa jamaa anapaswa awe nyumbani. Kazi ya urais wa Marekani kwa sasa haiwezi.

He is a creepy old guy. Hebu angalia hapa



Hivi alikuwa anafanya nini hapo kwa hako katoto? Na hiyo ni wiki iliyopita alipokuwa Finland baada ya kutoka Lithuania kwenye mkutano wa NATO.

Biden muda wowote anaondoka. Iwe kwa kujiuzulu, kuamua kutogombea tena muhula wa pili, au hata kufa [ingawa kifo hakina mwenyewe].

Wazo la Kamala kuja kuwa Rais wa Marekani endapo Biden ataondoka, linatisha watu wengi sana.

Haya, tuje kwa huyu wa kwetu hapa.

Huyu naye alichaguliwa kwa sababu ya identity politics tu. Ni mwanamke na ni Mzanzibari.

Kwa ninayoyaona, ni mtu asiye na uwezo wa kiuongozi ngazi ya Rais wa nchi.

Hakuchaguliwa kutokana na sifa zake za kiuongozi.

Inavyoonekana Magufuli alikuwa anataka sifa ya kuwa na mgombea wa kwanza wa CCM kumchagua mwanamke kuwa mgombea mwenza wake.

Haiwezekani kabisa kuwa Samia alichaguliwa kutokana na sifa zake kiutendaji [kwa sababu hana].

Jahazi limeshamshinda hivi sasa. Kabaki kutoa vitisho na kutumia dola kukabiliana na wanaompinga.

Na ukiongeza na inferiority complex aliyonayo kutokana na jinsia yake, ndo kabisa anakuwa paranoid kwamba kila anayempinga, anafanya hivyo kwa kusukumwa na chuki dhidi yake kwa sababu yeye ni mwanamke!

Rais Magufuli hakuwa kiongozi mzuri. Nilishasema mara nyingi tu kuwa yeye alikuwa msimamizi/ mnyapara mzuri.

Yeye mpe kazi au mradi ausimamie, halafu umpe mamlaka ya kutosha kuweza kufanya maamuzi ndani ya ukomo fulani, utampenda maana hakuwa wa mchezo mchezo.

Sidhani kabisa kuwa Magufuli aliwaza kuhusu yeye kuishia njiani na kumwacha Samia ndo awe Rais.

Nadhani alidhani kuwa atamaliza vipindi vyote viwili na kustaafu kama walivyofanya waliomtangulia.

Lakini haikuwa hivyo. Tumeachiwa huyu Samia.

Makamu wa Rais, Dkt. Mpango, kwa mtazamo wangu, ni bora mara 100 kuliko Samia [I got bars too 😀].

Hafai kabisa na maamuzi anoyofai yanadhihirisha hilo
 
Ndio bahati mbaya iyo clip sina ila alisema wakati akimsifu Hussein Mwinyi kuwa anafaa kuwa rais wa Zanzibar na hapo hapo akimteua Samia kuwa mgombea Mwenza kwa awamu ya pili. Mwisho alisema ukishindana na mwanamke lazima ushindwe ndio maana Samia alimshinda Hussein Mwinyi
Kila mtu anajua kuwa magufuli alisema hilo.wazi na anasema ilimpa wakati mgumu
 
Kwenye mkutano mkuu wa ccm 2020 Magufuli alisema wazi kabisa kwamba yeye chaguo lake namba moja la mgombea mwenza alikuwa Hussein Mwinyi ila wazee wakamchagua Samia yeye hakumpenda kabisa ila chama kiliamua
Ahsante kwa kuiweka historia sawa!
 
Ccm ndo wajue makamu wa raisi sio wa kuchagua tu ili mradi kama walivofanya during jiwe era

Hili limekuwa somo kubwa, Makamu wa Rais ilikuwa alichaguliwa mradi twende! Aliwekwa pale kwa sababu ya Muungano tu! Ili kuziweka karata za Zanzibari sawa! Ni hilo tu basi! Niliposikia tu Magufuli yuko kwenye vegetative state, ni vigumu ku recover, nikajua Huyu Mama anakwaa Urais....Imekuwa! Kila Mtanzania atampima kwa vigezo vyake! Kwangu mimi hili la DP hakulitafakari kwa kina.....Kwa nguvu ya CCM DP itapita, hakuna kurudi nyuma! Lakini itakuwa ni liability kwa CCM, baada ya Mama kumaliza muda wake itafurushwa tu! Maybe na CCM wenyewe.....Mzigo utaendelea kuwa mgongoni mwa Watanzania.....Labada hao wataobahatisha kupata mabinti wa kiarabu!
 
Baada ya Nyerere siku hizi inamuabudu nani?

MoseKing,

Hujui Katiba ya Tanzania? Hujui Katiba ya CCM? Rais ni mungu mtu! Hukuona Magufuli alivyoabudiwa, hadi kufananishwa na Yesu! Rais wa Tanzania ni mojawapo wa Marais wenye nguvu mno kikatiba kuliko Marais wengi ulimwenguni! Hata Biden/Waziri Mkuu wa Uingereza hafikii......Watendaji wote wa serikali wamo katika viganja vya mkono wake....wanafinyangwa na vidole vyake! Ole wako uwe na mawazo kinyume chake......!The end of your livehood!
 
UtampimJe si akina tundu watasema raisi anaendesha nchi kama mali yake
Kwa kutazama vipaumbele alivyoviweka juu ya hatma ya taifa lake na jinsi vitakavyofikiwa.
Makandokando madogo madogo ya udikteta wake unaoruhusu kufikia lengo watu watauvumilia tu na kuuelewa.

Magufuli alikuwa kichaa sana, lakini kundi kubwa la watu lilimuelewa. Nami pia ningemwelewa kusingekuwepo na ule ukichaa uliopitiliza.
Na sasa ni kama anakubalika tu, na ule uhayawani wake umesahaulika kutokana na uozo huu tunaoushuhudia sasa hivi.
 
Dear Kalamu, your opinion is guaranteed ...!

Unfortunately we don't have any option near this time soon, may be after 7 years or so,( well aware of 2025 election with the same constitution and instruments to make her stay)

The only thing we have now is "hope"
Absolutely wrong.

Samia will not make it beyond 2025, if she is lucky to go that far.
 
Back
Top Bottom