Hayati Magufuli alikosea kwenye mambo mengi mno. Kubwa mojawapo ni kumchagua huyu mtu

Hayati Magufuli alikosea kwenye mambo mengi mno. Kubwa mojawapo ni kumchagua huyu mtu

Mkuu kwani hujamsikia borntown akitamba kuwa yeye ndie alimuibua huko chini kabisa na kumpa uwaziri na baadae akamshauri mwendazake amchague kama msaidizi wake mkuu,ndivyo alivosema hivi majuzi kwenye mkutano mmoja wa kikanda, na akaenda mbali kuwa kasoro ni kuwa ana hasira sana, pumbafu stupid.
Si mlidai CCM sijui unaandaa viongozi mara sijui Marais huandaliwa tokea mapema, vipi Leo mnakiri kuwa hamkumuandaa Samia?

CCM Is overrated
 
Sio kweli, hakuna aliposema wazee walichagua Samia. Yeye alisema "ukishindanishwa na mwanamke huwezi kushinda". But it's obvious Mwinyi alikua reserved amrithi Shein that's all ila hakuna popote alisema hayo maneno unayomlisha.
 
Si mlidai CCM sijui unaandaa viongozi mara sijui Marais huandaliwa tokea mapema, vipi Leo mnakiri kuwa hamkumuandaa Samia?

CCM Is overrated
Ukiiangalia video utaelewa kabisa Mwinyi ndo alikuwa namba moja ila chama "wazee" wakamchukua Samia kwa kigezo cha jinsia na sio uwezo
 
Dah!

Sasa nijieleze vipi kwako ndipo upate kunielewa vizuri wewe mtu, hivi akili zenu huwa zinawekwa sumu ya namna gani hiyo inayoondoa kujiona mtu mwenye uwezo wa kuona jambo na kulielewa lilivyo, bila ya kuegemea upande ulioteka akili hiyo?

Samia hajawa na uungwana wowote, kama anadiriki kuingiza taifa kwenye janga kama hili analotafuta kutuingiza
Ungekuwa ni mtu mwenye akili huru, wala usingethubutu hata mara moja kuutumia huo mfano wa TICTS. Hakuna mfanano wa aina yoyote kati ya "Makubaliano/Mkataba" alioingia nao TICTS na huu mnaolazimisha nyinyi, na kwa bahati mbaya kabisa mnaingiza na udini humo humo.
Hivi taifa kuwa la kiarab, ni lazima litangulizwe na Uislam (dini) kabla ya uarab wao?
Mwarab hawezi kufanya mambo kinyume na dini ya kiislam?
Huyu Mungu unayemlilia hapa, siyo mali ya mtu yeyote, wala wa dini maalum.
Mungu aliyeiweka hii nchi hapa ilipo, anaipenda sana, bila kujali hizo dini mbalimbali zilizopo hapa. Hilo kwangu linatosha, na ninaamini ni Mungu huyo ndiye atakayetuondolea ujambazi huu mliotaka kuuleta hapa.
Mwanzoni nilidhani ni upinzani tu wa uwekezaji bandarini kwa kigezo cha mkataba.

Lakini Hamza Johari na Dr Possi waliuelezea kifungu kwa kifungu na nilimsikiliza na nikamuoja live kwenye TV wasiwasi wote ukanitoka.

Kila nikisikia hoja mpya zinazozaliwa naona kinachopingwa ni asili ya mwekezaji mwenyewe na sio mkataba, Mwabukusi na hao wachungaji wote wamefikia hatua ya kujiita watanganyika kisa ni mkataba.

Hii haihitaji akili ya mwanasayansi mvumbua roketi kuweza kuzisoma hizi akili ambazo kwanza kwa muda mrefu zilikuwa zinamchukia Rais Samia na muda huu ndio zimeupata wa kuonyesha zinavyomchukia na pili zinautumia uwekezaji wake kama nafasi ya kuweka chuki hadharani!.

Tuwe makini sana Tanzania ni moja tu, na awe ni mtu mwenye ushujaa ulioshiba upumbavu atakayependa kwa dhati kabisa kutoka moyoni mwake kuiona nchi hii inavunjika vipande vipande.

Kule Kenya kuna wasomi na wastaarabu kuliko Tanzania, tuwe makini sana mwelekeo wetu wa kitaifa usifikie hatua ya kufanana na wao.

Tulitakiwa tujikite katika kuifikiria geographical advantage tuliyonayo kwa sasa na sio sisi kuwa kama wapumbavu na kuanza kubaguana kwa kuitana yule mtanganyika na yule mbara, pathetic mindset.

Mkataba wa DPW hauna matatizo yoyote kwani umeshafafanuliwa kwa kina. Faida za uwekezaji ni nyingi kwa wafanya biashara sio kwa hawa wachungaji wanaoshinda makanisani na kondoo zao pamoja na masheikh wanaoshinda misikitini na waumini.

Faida ni kuwezesha usimamizi mzima wa TPA, kuondoa foleni na urasimu unaotengeneza kila aina ya rushwa.

Faida nyinfgine ni usomeshaji wa wataalam wetu wa masuala ya bandari, na hapo sijaongelea ongezeko la makusanyo ya TRA.

Mwendeshaji bandari akiwa na uzoefu wa kazi hata vifaa kama cranes vinapoharibika anaweza kuwasiliana na makampuni ya watengenezaji kwa haraka zaidi kuliko namna TPA wenyewe wanavyoweza kusogezewa miezi ya mbali zile order zao.

Pia ni faida kwa nchi kwani DPW ana mali huku Congo na Rwanda ambazo zinahitaji pia kutumia SGR yetu. End to end logistic chain ndio maana ya bandari kisasa.

Hakutakuwa na masuala ya upitishaji wa madawa ya kulevya unaowezeshwa na mifumo kutokuwa ya kisasa zaidi.

Ni suala jema, na litapiganiwa mpaka litimie bila ya kusikiliza hizi kelele za mawakala wa wapigaji na mafisadi.
 
Mwanzoni nilidhani ni upinzani tu wa uwekezaji bandarini kwa kigezo cha mkataba.

Lakini Hamza Johari na Dr Possi waliuelezea kifungu kwa kifungu na nilimsikiliza na nikamuoja live kwenye TV wasiwasi wote ukanitoka.

Kila nikisikia hoja mpya zinazozaliwa naona kinachopingwa ni asili ya mwekezaji mwenyewe na sio mkataba, Mwabukusi na hao wachungaji wote wamefikia hatua ya kujiita watanganyika kisa ni mkataba.

Hii haihitaji akili ya mwanasayansi mvumbua roketi kuweza kuzisoma hizi akili ambazo kwanza kwa muda mrefu zilikuwa zinamchukia Rais Samia na muda huu ndio zimeupata wa kuonyesha zinavyomchukia na pili zinautumia uwekezaji wake kama nafasi ya kuweka chuki hadharani!.

Tuwe makini sana Tanzania ni moja tu, na awe ni mtu mwenye ushujaa ulioshiba upumbavu atakayependa kwa dhati kabisa kutoka moyoni mwake kuiona nchi hii inavunjika vipande vipande.

Kule Kenya kuna wasomi na wastaarabu kuliko Tanzania, tuwe makini sana mwelekeo wetu wa kitaifa usifikie hatua ya kufanana na wao.

Tulitakiwa tujikite katika kuifikiria geographical advantage tuliyonayo kwa sasa na sio sisi kuwa kama wapumbavu na kuanza kubaguana kwa kuitana yule mtanganyika na yule mbara, pathetic mindset.

Mkataba wa DPW hauna matatizo yoyote kwani umeshafafanuliwa kwa kina. Faida za uwekezaji ni nyingi kwa wafanya biashara sio kwa hawa wachungaji wanaoshinda makanisani na kondoo zao pamoja na masheikh wanaoshinda misikitini na waumini.

Faida ni kuwezesha usimamizi mzima wa TPA, kuondoa foleni na urasimu unaotengeneza kila aina ya rushwa.

Faida nyinfgine ni usomeshaji wa wataalam wetu wa masuala ya bandari, na hapo sijaongelea ongezeko la makusanyo ya TRA.

Mwendeshaji bandari akiwa na uzoefu wa kazi hata vifaa kama cranes vinapoharibika anaweza kuwasiliana na makampuni ya watengenezaji kwa haraka zaidi kuliko namna TPA wenyewe wanavyoweza kusogezewa miezi ya mbali zile order zao.

Pia ni faida kwa nchi kwani DPW ana mali huku Congo na Rwanda ambazo zinahitaji pia kutumia SGR yetu. End to end logistic chain ndio maana ya bandari kisasa.

Hakutakuwa na masuala ya upitishaji wa madawa ya kulevya unaowezeshwa na mifumo kutokuwa ya kisasa zaidi.

Ni suala jema, na litapiganiwa mpaka litimie bila ya kusikiliza hizi kelele za mawakala wa wapigaji na mafisadi.
Na ww pia ni mtanzania? Umesoma ule mkataba au na wewe umeishia kusikia wakiufafanua kimagumashi.
 
Hebu taja mmiliki wa TICTS, We kweli una matatizo au mnadhani mkipitia kwenye dini ndio mtashinda hii vita.
Hunchingson ya Korea ambao ni wakristo wenzangu. DPW mvaa kanzu Tanzania ndio hatumtaki.

Mwarabu wa kisasa hana muda wa kuwa karibu na biashara zake, anaajiri wazungu kumuendeshea kila kitu.

Ni sawa na Man City ameajiriwa Pep Guardiola na wataalam wengi ambao ni wazungu.

Tuna akili za kitumwa sana za kudhani mwarabu anarudi kutufunga minyororo shingoni na kutuchapa bakora, hii ni dunia ya kidigitali hutamuona mwarabu hata siku moja pale bandarini.

Utakutana na wazungu wachache wenye utaalam wa fani mbalimbali, huyo mchungaji anasambaza chuki na ubaguzi sababu kubwa ni kukosa exposure, kukosa elimu kunamtesa akili.
 
Siku hizi ikulu watu wanaenda tu muda wowote ni wewe tu, ili mradi usiandamane tu
 
Mtu huyo ni Rais Samia!

Nashawishika kabisa kuamini kuwa huyu Samia alichaguliwa kutokana na jinsia yake tu [kama ilivyojuwa kwa Kamala Harris…the word salad queen…kule Marekani].

Kamala yeye alichaguliwa na Biden kuwa mgombea mwenza kwa sababu ni mwanamke mweusi [ingawa kiuhalisia ni chotara wa Kihindi na Kijamaica].

Kamala ni mweupe kabisa. Yaani hovyo to the nth degree. Anaongeaga mashudu tu [word salads].

Hana kabisa uwezo wa kuongoza. Yeye ni kucheka cheka tu na kuongea mambo yasiyoeleweka.

Ukimwangalia Biden, unaona kabisa jamaa anapaswa awe nyumbani. Kazi ya urais wa Marekani kwa sasa haiwezi.

He is a creepy old guy. Hebu angalia hapa



Hivi alikuwa anafanya nini hapo kwa hako katoto? Na hiyo ni wiki iliyopita alipokuwa Finland baada ya kutoka Lithuania kwenye mkutano wa NATO.

Biden muda wowote anaondoka. Iwe kwa kujiuzulu, kuamua kutogombea tena muhula wa pili, au hata kufa [ingawa kifo hakina mwenyewe].

Wazo la Kamala kuja kuwa Rais wa Marekani endapo Biden ataondoka, linatisha watu wengi sana.

Haya, tuje kwa huyu wa kwetu hapa.

Huyu naye alichaguliwa kwa sababu ya identity politics tu. Ni mwanamke na ni Mzanzibari.

Kwa ninayoyaona, ni mtu asiye na uwezo wa kiuongozi ngazi ya Rais wa nchi.

Hakuchaguliwa kutokana na sifa zake za kiuongozi.

Inavyoonekana Magufuli alikuwa anataka sifa ya kuwa na mgombea wa kwanza wa CCM kumchagua mwanamke kuwa mgombea mwenza wake.

Haiwezekani kabisa kuwa Samia alichaguliwa kutokana na sifa zake kiutendaji [kwa sababu hana].

Jahazi limeshamshinda hivi sasa. Kabaki kutoa vitisho na kutumia dola kukabiliana na wanaompinga.

Na ukiongeza na inferiority complex aliyonayo kutokana na jinsia yake, ndo kabisa anakuwa paranoid kwamba kila anayempinga, anafanya hivyo kwa kusukumwa na chuki dhidi yake kwa sababu yeye ni mwanamke!

Rais Magufuli hakuwa kiongozi mzuri. Nilishasema mara nyingi tu kuwa yeye alikuwa msimamizi/ mnyapara mzuri.

Yeye mpe kazi au mradi ausimamie, halafu umpe mamlaka ya kutosha kuweza kufanya maamuzi ndani ya ukomo fulani, utampenda maana hakuwa wa mchezo mchezo.

Sidhani kabisa kuwa Magufuli aliwaza kuhusu yeye kuishia njiani na kumwacha Samia ndo awe Rais.

Nadhani alidhani kuwa atamaliza vipindi vyote viwili na kustaafu kama walivyofanya waliomtangulia.

Lakini haikuwa hivyo. Tumeachiwa huyu Samia.

Makamu wa Rais, Dkt. Mpango, kwa mtazamo wangu, ni bora mara 100 kuliko Samia [I got bars too 😀].

Mamako ndio hana uwezo, ameshindwa kukulea wewe ndio angeweza nini. Samia ni zaidi ya mwanaume, she is very smart, amefanya mambo makubwa sana ndani ya miaka 2 tu. Ni wivu na fitna zinawasumbua,
 
Na waliotaka kujitenga na Tanganyika na waliokuwa na chuki dhidi ya Tanganyika yupo huyo huyo, kama alivyokuwa bosi wake na Mentor wake mkuu Amana Karume.
Yaani huyooooooo, ndio huyo uliemfikiri na wewe!. Sema hamumjui tu
Mmeingia cha kike Tanganyika
 
Mtu huyo ni Rais Samia!

Nashawishika kabisa kuamini kuwa huyu Samia alichaguliwa kutokana na jinsia yake tu [kama ilivyojuwa kwa Kamala Harris…the word salad queen…kule Marekani].

Kamala yeye alichaguliwa na Biden kuwa mgombea mwenza kwa sababu ni mwanamke mweusi [ingawa kiuhalisia ni chotara wa Kihindi na Kijamaica].

Kamala ni mweupe kabisa. Yaani hovyo to the nth degree. Anaongeaga mashudu tu [word salads].

Hana kabisa uwezo wa kuongoza. Yeye ni kucheka cheka tu na kuongea mambo yasiyoeleweka.

Ukimwangalia Biden, unaona kabisa jamaa anapaswa awe nyumbani. Kazi ya urais wa Marekani kwa sasa haiwezi.

He is a creepy old guy. Hebu angalia hapa



Hivi alikuwa anafanya nini hapo kwa hako katoto? Na hiyo ni wiki iliyopita alipokuwa Finland baada ya kutoka Lithuania kwenye mkutano wa NATO.

Biden muda wowote anaondoka. Iwe kwa kujiuzulu, kuamua kutogombea tena muhula wa pili, au hata kufa [ingawa kifo hakina mwenyewe].

Wazo la Kamala kuja kuwa Rais wa Marekani endapo Biden ataondoka, linatisha watu wengi sana.

Haya, tuje kwa huyu wa kwetu hapa.

Huyu naye alichaguliwa kwa sababu ya identity politics tu. Ni mwanamke na ni Mzanzibari.

Kwa ninayoyaona, ni mtu asiye na uwezo wa kiuongozi ngazi ya Rais wa nchi.

Hakuchaguliwa kutokana na sifa zake za kiuongozi.

Inavyoonekana Magufuli alikuwa anataka sifa ya kuwa na mgombea wa kwanza wa CCM kumchagua mwanamke kuwa mgombea mwenza wake.

Haiwezekani kabisa kuwa Samia alichaguliwa kutokana na sifa zake kiutendaji [kwa sababu hana].

Jahazi limeshamshinda hivi sasa. Kabaki kutoa vitisho na kutumia dola kukabiliana na wanaompinga.

Na ukiongeza na inferiority complex aliyonayo kutokana na jinsia yake, ndo kabisa anakuwa paranoid kwamba kila anayempinga, anafanya hivyo kwa kusukumwa na chuki dhidi yake kwa sababu yeye ni mwanamke!

Rais Magufuli hakuwa kiongozi mzuri. Nilishasema mara nyingi tu kuwa yeye alikuwa msimamizi/ mnyapara mzuri.

Yeye mpe kazi au mradi ausimamie, halafu umpe mamlaka ya kutosha kuweza kufanya maamuzi ndani ya ukomo fulani, utampenda maana hakuwa wa mchezo mchezo.

Sidhani kabisa kuwa Magufuli aliwaza kuhusu yeye kuishia njiani na kumwacha Samia ndo awe Rais.

Nadhani alidhani kuwa atamaliza vipindi vyote viwili na kustaafu kama walivyofanya waliomtangulia.

Lakini haikuwa hivyo. Tumeachiwa huyu Samia.

Makamu wa Rais, Dkt. Mpango, kwa mtazamo wangu, ni bora mara 100 kuliko Samia [I got bars too 😀].



President John Magufuli once admitted that he wanted Dr. Hussein Mwinyi to be his Vice President but CCM ' the system' wanted Samia Hassan.
 
Nimeona mashambulizi ya kihisia na kimhemko tu, sijaona hoja hasa ni zipi. Na kwakuwa mibonto iko mingi humu basi kama kawa, likes kama zote.

Huyo 'Mungu' wenu, kama 15 alishauriwa na watu aaambatane na samia, mbona 20 akamtafuta tena yeye mwenyewe? Alishauriwa tena amteue yeye?!!! Nani alikuwa na uwezo kumpangia wa kufanya nae kazi yule mheshimiwa?!!!!!!

Kumuelewa mama yakupasa uwe na akili nawe......ukiwa bonto unaweza kutoka patupu.

Kutumia hoja za marekani naona kama ndo tunaharibu kabisaaaa, hao ni level zingine na hatutendewi haki sisi tulioganda hapa bongo (hv kinyume cha diaspora ni nini?!!) kulishwa hivi. Hao, kwa namna yoyote, haifai kuchambua wanachofanya kwa mchambuo wetu wa kimipasho na kimihemko.....wanajua wanachofanya.

Mama Samia kwenye dp world umeupiga mwingi, huo mhaho ni uthibitisho tosha......watz wa kweli tupo pamoja nawe saaaaaaaana! 100%!
Hata hueleweki inaonyesha umeishia form 2
 
Ni hivi,Magufuli hakuwahi kuwa na nia ya kuwasaidia watz kwa ujumla.Mfano ni KIWANDA CHA SARUJI CHA DANGOTE.Kikwete aliwaangalia raia na kuwatafutia njia za kuwafanyia wepesi katika kupiga hatua kimaendeleo.Ujio wa Dangote ulilenga kuwasaidia raia katika kuleta makazi bora kwa kila raia,alikiruhusu kiwanda kizalishe Saruji ya viwango vyote ili kuwawezesha raia wa vipato vya kawaida pia kumudu gharama ya kununua Saruji kwa ujenzi wa makazi.
Kiwanda cha Dangote kilifanya Saruji huku mikoani kuuzwa kwa Tsh12000 kwa mfuko.
Magufuli alipoingia madarakani alimzuia Dangote kuzalisha Saruji ya viwango vyote na kumtaka abaki akizalisha Saruji ya viwango vya kimataifa tu ambayo mfuko mmoja ni kati ya Tsh 25000 hadi 35000.
Leo hii hakuna tena Saruji ya Dangote madukani huku mikoani,bei ya Saruji kwa sasa ni kati ya Tsh 18000 hadi 22000.

Sasa kwa mfano huu unaweza kusema Magufuli alikuwa akiwajali raia na maisha yao?.
Huo uzalendo mnaouimba toka kwake ni upi hasa?.
Kwa hiki alichokifanya kwa Saruji ya Dangote,alikifanya kwa manufaa ya nani?.
Tunawezaje muamini mtu wa aina yake katika maamuzi aliyofanya tukiangalia mfano wa kiwanda cha Dangote?.
Mfano wako ni wa kuunga unga unachuki tu hapa haona fact zozote
 
Chuki ni ugonjwa mkubwa nchi hii.

Nimekuwepo tangu Nyerere lakini sijaona Rais mwenye ubunifu kwenye maendeleo kama Samia. Nchi kubwa tu duniani kwa Sasa Zina struggle uchumi wao ila huyu mama mambo yanakwenda.

Miradi ya maji huko vijijini haijawahi kutekelezwa tangu Tanzania iumbwe.

Ward za ICU zilikuwa kwenye hospital za Muhimbili, KCMC, Bugando, Mkapa, na ile ya Moyo. Miaka miwili ya huyu usiyompenda ward za ICU ziko katika hospital zote za rufaa tena zikiwa na vifaa full.

Hakuwahi kutokea Rais yeyote kubuni mradi wa kujenga shule za kisasa zaidi ya Samia ambaye kila Wilaya anajenga shule ya standard kuanzia form 1 -6.

Ni huyuhuyu Samia ndiye Rais wa Kwanza kuja na mpango bora kabisa wa kulima kisasa.

Ni huyuhuyu unayemuona wewe kilaza, ndiye Rais aliyemaliza chaguo la pili la watoto kujiunga form one.

Ni huyuhuyu Samia ndiye Rais wa Kwanza kupeleka vitabu kwa kila mwanafunzi, kila somo tena kwa wakati kiasi kila shule sasa zimeanza kuwa na chumba maalum cha maktaba.

Tunakujuza tu huku Lindi tayari ujenzi wa vyuo vikuu viwili umeanza. Chuo Kikuu cha DSM na Chuo Kikuu cha Teknolojia Lindi.

Mwezi wa 9, anaanza kujenga Bandari ya Bagamoyo.

Scheme ya umwagiliaji Mbarali ilianzishwa na wakoloni around 1910s, hakuna Rais aliyewaza kujenga scheme mbadala wa hiyo. Kwa ubunifu wa huyu unayemuona kilaza, kwa kujua eneo lile tayari limezidiwa na pia kuna uharibufu wa mazingira anaipunguzia mzigo hiyo scheme na kujenga scheme kubwa kabisa ya umwagiliaji Rufiji ili kutopoteza maji ya Mto Rufiji kuingia baharini. Nakushauri tu, wahi Rufiji wenzenu wanachukua maeneo huko. Uzalishaji ushaanza na soon tutakuwa na "mchele wa Rufiji".

Hakuna Rais aliyeanzisha program ya kujenga kilomita zaidi ya 2000 za lami kwa wakati mmoja. Nenda vijijini tukaangalie wakandarasi wanafanya nini.

Yote haya yanafanyika bila kusimamisha miradi ya mtangulizi wake.

In short, nenda vijijini uzungumze mabaya ya Samia kama watakuelewa.
Hili la Bandari hakuna kurudi nyuma. Tutaliondoa chaka lenu la kutolipa kodi. DPW is here for port improvement. Mtake msitake.
Ubunifu ndo kwenda kusaini mkataba wa hovyo bila hata kushirikisha mwanasheria mkuu na serikali ,na ndo maana wwnahaha kila kona kumuabisha na aibu huku wakijichanganya wenyewe
 
Onesha huko kukosa uwezo kwa mtu ambaye ndani ya miezi sita iliyopita kavutia 5tr kwenye FDI,kaajiri wengi tangu aingie,miaka miwili kaongeza zaidi ya tr 20 kwenye uchumi,Jenga vyumba vingi vya madarasa kuliko Nyerere,mwinyi na mkapa kwa pamoja nk
Kukosa uwezo ni pamoja na kusiani mkataba kama balazo wa nyumba kumi , bila kushirikisha mwanasheria mkuu ,na baraza la mawaziri ,.na baadae wanataka hao watu wamsaidie ,na ndio maana kila mtu anamtetea hovyo hovyo
 
Kukosa uwezo ni pamoja na kusiani mkataba kama balazo wa nyumba kumi , bila kushirikisha mwanasheria mkuu ,na baraza la mawaziri ,.na baadae wanataka hao watu wamsaidie ,na ndio maana kila mtu anamtetea hovyo hovyo
Mkataba gani uliosainiwa bila mwanasheria mkuu?..ambao pia ni WA hovyohovyo
 
Hata huyu JPM kupata huo uraisi ilikua bahati nasibu tu using kua ugomvi kati ya Lowassa na marehemu Membe JPM angekufa kama Msukuma wa kawaida.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom