Hayati Magufuli alikosea kwenye mambo mengi mno. Kubwa mojawapo ni kumchagua huyu mtu

Hayati Magufuli alikosea kwenye mambo mengi mno. Kubwa mojawapo ni kumchagua huyu mtu

Mtu huyo ni Rais Samia!

Nashawishika kabisa kuamini kuwa huyu Samia alichaguliwa kutokana na jinsia yake tu [kama ilivyojuwa kwa Kamala Harris…the word salad queen…kule Marekani].

Kamala yeye alichaguliwa na Biden kuwa mgombea mwenza kwa sababu ni mwanamke mweusi [ingawa kiuhalisia ni chotara wa Kihindi na Kijamaica].

Kamala ni mweupe kabisa. Yaani hovyo to the nth degree. Anaongeaga mashudu tu [word salads].

Hana kabisa uwezo wa kuongoza. Yeye ni kucheka cheka tu na kuongea mambo yasiyoeleweka.

Ukimwangalia Biden, unaona kabisa jamaa anapaswa awe nyumbani. Kazi ya urais wa Marekani kwa sasa haiwezi.

He is a creepy old guy. Hebu angalia hapa



Hivi alikuwa anafanya nini hapo kwa hako katoto? Na hiyo ni wiki iliyopita alipokuwa Finland baada ya kutoka Lithuania kwenye mkutano wa NATO.

Biden muda wowote anaondoka. Iwe kwa kujiuzulu, kuamua kutogombea tena muhula wa pili, au hata kufa [ingawa kifo hakina mwenyewe].

Wazo la Kamala kuja kuwa Rais wa Marekani endapo Biden ataondoka, linatisha watu wengi sana.

Haya, tuje kwa huyu wa kwetu hapa.

Huyu naye alichaguliwa kwa sababu ya identity politics tu. Ni mwanamke na ni Mzanzibari.

Kwa ninayoyaona, ni mtu asiye na uwezo wa kiuongozi ngazi ya Rais wa nchi.

Hakuchaguliwa kutokana na sifa zake za kiuongozi.

Inavyoonekana Magufuli alikuwa anataka sifa ya kuwa na mgombea wa kwanza wa CCM kumchagua mwanamke kuwa mgombea mwenza wake.

Haiwezekani kabisa kuwa Samia alichaguliwa kutokana na sifa zake kiutendaji [kwa sababu hana].

Jahazi limeshamshinda hivi sasa. Kabaki kutoa vitisho na kutumia dola kukabiliana na wanaompinga.

Na ukiongeza na inferiority complex aliyonayo kutokana na jinsia yake, ndo kabisa anakuwa paranoid kwamba kila anayempinga, anafanya hivyo kwa kusukumwa na chuki dhidi yake kwa sababu yeye ni mwanamke!

Rais Magufuli hakuwa kiongozi mzuri. Nilishasema mara nyingi tu kuwa yeye alikuwa msimamizi/ mnyapara mzuri.

Yeye mpe kazi au mradi ausimamie, halafu umpe mamlaka ya kutosha kuweza kufanya maamuzi ndani ya ukomo fulani, utampenda maana hakuwa wa mchezo mchezo.

Sidhani kabisa kuwa Magufuli aliwaza kuhusu yeye kuishia njiani na kumwacha Samia ndo awe Rais.

Nadhani alidhani kuwa atamaliza vipindi vyote viwili na kustaafu kama walivyofanya waliomtangulia.

Lakini haikuwa hivyo. Tumeachiwa huyu Samia.

Makamu wa Rais, Dkt. Mpango, kwa mtazamo wangu, ni bora mara 100 kuliko Samia [I got bars too 😀].

Huu uzi ni mzito sana inatakiwa uwekwe kila mahali nchi nzima na kufundishwa mashuleni na vyuoni. Samia hamna kitu pale. Ni huu ujinga wa ccm kubebana kwa kujuana, mitala nk ila huyu hata uwaziri hatoshi achilia mbali makamu wa Rais na sasa hivi Rais. Mgufuli hakumchagua maana mpaka anateuliwa kugombea Urais alikuwa hana nguvu au ndani ya chama. Bahati nzuri juzi wakati Kikwete anahojiwa akiwa Arusha kuhusu uongozi wa Samia aliongea mengi na mojawapo ni kuwa yeye ndie alimfuata Magufuli na jina la Samia ili amteue kuwa mgombea wake mwenza naye Magu akakubali
 
Mtu huyo ni Rais Samia!

Nashawishika kabisa kuamini kuwa huyu Samia alichaguliwa kutokana na jinsia yake tu [kama ilivyojuwa kwa Kamala Harris…the word salad queen…kule Marekani].

Kamala yeye alichaguliwa na Biden kuwa mgombea mwenza kwa sababu ni mwanamke mweusi [ingawa kiuhalisia ni chotara wa Kihindi na Kijamaica].

Kamala ni mweupe kabisa. Yaani hovyo to the nth degree. Anaongeaga mashudu tu [word salads].

Hana kabisa uwezo wa kuongoza. Yeye ni kucheka cheka tu na kuongea mambo yasiyoeleweka.

Ukimwangalia Biden, unaona kabisa jamaa anapaswa awe nyumbani. Kazi ya urais wa Marekani kwa sasa haiwezi.

He is a creepy old guy. Hebu angalia hapa



Hivi alikuwa anafanya nini hapo kwa hako katoto? Na hiyo ni wiki iliyopita alipokuwa Finland baada ya kutoka Lithuania kwenye mkutano wa NATO.

Biden muda wowote anaondoka. Iwe kwa kujiuzulu, kuamua kutogombea tena muhula wa pili, au hata kufa [ingawa kifo hakina mwenyewe].

Wazo la Kamala kuja kuwa Rais wa Marekani endapo Biden ataondoka, linatisha watu wengi sana.

Haya, tuje kwa huyu wa kwetu hapa.

Huyu naye alichaguliwa kwa sababu ya identity politics tu. Ni mwanamke na ni Mzanzibari.

Kwa ninayoyaona, ni mtu asiye na uwezo wa kiuongozi ngazi ya Rais wa nchi.

Hakuchaguliwa kutokana na sifa zake za kiuongozi.

Inavyoonekana Magufuli alikuwa anataka sifa ya kuwa na mgombea wa kwanza wa CCM kumchagua mwanamke kuwa mgombea mwenza wake.

Haiwezekani kabisa kuwa Samia alichaguliwa kutokana na sifa zake kiutendaji [kwa sababu hana].

Jahazi limeshamshinda hivi sasa. Kabaki kutoa vitisho na kutumia dola kukabiliana na wanaompinga.

Na ukiongeza na inferiority complex aliyonayo kutokana na jinsia yake, ndo kabisa anakuwa paranoid kwamba kila anayempinga, anafanya hivyo kwa kusukumwa na chuki dhidi yake kwa sababu yeye ni mwanamke!

Rais Magufuli hakuwa kiongozi mzuri. Nilishasema mara nyingi tu kuwa yeye alikuwa msimamizi/ mnyapara mzuri.

Yeye mpe kazi au mradi ausimamie, halafu umpe mamlaka ya kutosha kuweza kufanya maamuzi ndani ya ukomo fulani, utampenda maana hakuwa wa mchezo mchezo.

Sidhani kabisa kuwa Magufuli aliwaza kuhusu yeye kuishia njiani na kumwacha Samia ndo awe Rais.

Nadhani alidhani kuwa atamaliza vipindi vyote viwili na kustaafu kama walivyofanya waliomtangulia.

Lakini haikuwa hivyo. Tumeachiwa huyu Samia.

Makamu wa Rais, Dkt. Mpango, kwa mtazamo wangu, ni bora mara 100 kuliko Samia [I got bars too [emoji3]].
Magufuli hakuwai kumchagua, juzi tu hapa kiwete amesema ni yy ndo alimshawishi John kumchagua huyo kitu bora na kiumbe dhaifu. Hivyo John ni kama alishurutishwa.
 
Mkuu, utaandika gazeti zima hapa, lakini maandishi yako toka uingie hapa yanakueleza historia yako vizuri kabisa.

Ulianza na kuwa 'steve joel ntamsana', ukiwa na lengo maalum la kufanya.
Hadi hapa tulipofikia, lengo hujalifikia, lakini nia thabiti ya uwepo wako hapa ukawa umethibitika.

Kwa hiyo huko kote unakozunguka nako kwenye andishi lako hapo juu, ni kupoteza tu muda; kwa sababu unajua "Mkataba/Makubaliano" unaopigiwa kelele upo vile vile, hakuna kilichobadilika licha ya juhudi kubwa zinazofanyika za upotoshaji na hadaa nyingi.

Ni hivi: Ungekuwa ni mtu wa kuaminika, ungezungumzia mapungufu yanayoonekana kuwemo kwenye mkataba, na siyo kujitumbukiza kwenye udini.
Nenda kamwambie Samia, "Mkataba/Makubaliano" yalekebishwe, na hao hao DP World waendelee na kazi. Ukiona bado kuna kelele za mapingamizi baada ya kufanya hayo, njoo hapa tena, nami nitakuunga mkono kuhusu kelele za hao wanaoendelea kupinga.

Lakini, kama nilivyokwisha sema toka mwanzo baada ya kukujua unakoegemea, haya ninayokushauti hapa hayakuingii kabisa akilini mwako.

Sasa tufanyeje? Tusubiri tu kugongana vichwa vya waTanzania.
Kusema mkataba urekebishwe ni siasa nyepesi sana, hauna tatizo huo mkataba, na uusome kwa ujumla wake sio kushika kifungu kimoja na kuacha na kuhamia mahali pengine.

Usome wote kwa ujumla ili uweze kuuelewa. Usidhani kwamba waliouandika huu mkataba ni wajinga, ni wasomi wabobezi wa sheria. Na wameshautetea mkataba huu hadharani.

Huu ujanja ujanja wa kutaka kuikwamisha serikali kwa vitu vya kitaalam ni upotezaji tu wa muda. Serikali inajiandaa kuingia hatua inayofuata ya kusaini mikataba ya kibiashara.

Kuzeni uelewa wenu kwanza.
 
Mtu huyo ni Rais Samia!

Nashawishika kabisa kuamini kuwa huyu Samia alichaguliwa kutokana na jinsia yake tu [kama ilivyojuwa kwa Kamala Harris…the word salad queen…kule Marekani].

Kamala yeye alichaguliwa na Biden kuwa mgombea mwenza kwa sababu ni mwanamke mweusi [ingawa kiuhalisia ni chotara wa Kihindi na Kijamaica].

Kamala ni mweupe kabisa. Yaani hovyo to the nth degree. Anaongeaga mashudu tu [word salads].

Hana kabisa uwezo wa kuongoza. Yeye ni kucheka cheka tu na kuongea mambo yasiyoeleweka.

Ukimwangalia Biden, unaona kabisa jamaa anapaswa awe nyumbani. Kazi ya urais wa Marekani kwa sasa haiwezi.

He is a creepy old guy. Hebu angalia hapa



Hivi alikuwa anafanya nini hapo kwa hako katoto? Na hiyo ni wiki iliyopita alipokuwa Finland baada ya kutoka Lithuania kwenye mkutano wa NATO.

Biden muda wowote anaondoka. Iwe kwa kujiuzulu, kuamua kutogombea tena muhula wa pili, au hata kufa [ingawa kifo hakina mwenyewe].

Wazo la Kamala kuja kuwa Rais wa Marekani endapo Biden ataondoka, linatisha watu wengi sana.

Haya, tuje kwa huyu wa kwetu hapa.

Huyu naye alichaguliwa kwa sababu ya identity politics tu. Ni mwanamke na ni Mzanzibari.

Kwa ninayoyaona, ni mtu asiye na uwezo wa kiuongozi ngazi ya Rais wa nchi.

Hakuchaguliwa kutokana na sifa zake za kiuongozi.

Inavyoonekana Magufuli alikuwa anataka sifa ya kuwa na mgombea wa kwanza wa CCM kumchagua mwanamke kuwa mgombea mwenza wake.

Haiwezekani kabisa kuwa Samia alichaguliwa kutokana na sifa zake kiutendaji [kwa sababu hana].

Jahazi limeshamshinda hivi sasa. Kabaki kutoa vitisho na kutumia dola kukabiliana na wanaompinga.

Na ukiongeza na inferiority complex aliyonayo kutokana na jinsia yake, ndo kabisa anakuwa paranoid kwamba kila anayempinga, anafanya hivyo kwa kusukumwa na chuki dhidi yake kwa sababu yeye ni mwanamke!

Rais Magufuli hakuwa kiongozi mzuri. Nilishasema mara nyingi tu kuwa yeye alikuwa msimamizi/ mnyapara mzuri.

Yeye mpe kazi au mradi ausimamie, halafu umpe mamlaka ya kutosha kuweza kufanya maamuzi ndani ya ukomo fulani, utampenda maana hakuwa wa mchezo mchezo.

Sidhani kabisa kuwa Magufuli aliwaza kuhusu yeye kuishia njiani na kumwacha Samia ndo awe Rais.

Nadhani alidhani kuwa atamaliza vipindi vyote viwili na kustaafu kama walivyofanya waliomtangulia.

Lakini haikuwa hivyo. Tumeachiwa huyu Samia.

Makamu wa Rais, Dkt. Mpango, kwa mtazamo wangu, ni bora mara 100 kuliko Samia [I got bars too 😀].

Kwanza siamini kua hii ni account rasmi ya kwako....sikuwai kuona unatuma andiko la hivi kabisa.Yaani umeshindwa ata kutueleza Mh.Rais ilibidi afanye nini na akaahindwa.Hao wasiopenda kufuata sheria unataka wabembelezwe kama watoto?
 
Kwa hili la kumchagua huyu Mama,Magufuli atanisamehe sana huko aliko aisee..ametuachia jitu la hovyo hakuna mfano.
 
Mtu huyo ni Rais Samia!

Nashawishika kabisa kuamini kuwa huyu Samia alichaguliwa kutokana na jinsia yake tu [kama ilivyojuwa kwa Kamala Harris…the word salad queen…kule Marekani].
La jinsia ni kweli, CCM walitaka kura za wanawake. Lilianza na Spika mwanamke Makinda.
Rais Samia alieleza mwenyewe kwenye mkutano mmoja jinsi alivyochaguliwa.
Samia alisema katika kikao cha kamati kuu baadhi walikaa nje vingunge wakaingia ndani.

Walipotoka Rais Kikwete akamweleza kwamba amechagulia. Samia anasema alilia kwanza akifokewa na Kikwete kwamba 'nenda ndani unalia lia nini'' haya yapo kwenye video Samia akieleza kwa uvccm.
Ukweli kwamba makamu lazima atoke Zanzibar, hilo likampa fursa moja kwa moja.
Kamala yeye alichaguliwa na Biden kuwa mgombea mwenza kwa sababu ni mwanamke mweusi [ingawa kiuhalisia ni chotara wa Kihindi na Kijamaica].
Kamala ni mweupe kabisa. Yaani hovyo to the nth degree. Anaongeaga mashudu tu [word salads].
Hana kabisa uwezo wa kuongoza. Yeye ni kucheka cheka tu na kuongea mambo yasiyoeleweka.
Wazo la Kamala kuja kuwa Rais wa Marekani endapo Biden ataondoka, linatisha watu wengi sana.
Wamarekani wana mambo ya ajabu kidogo, maana sioni kama Kamala ni tishio kuliko Trump
Kamala hana uwezo kama wa Senator Amy Klobuchar lakini mjinga anayesikiliza akiaambiwa ni bora kuliko mpumbavu asiyesikia au kuelewa na hapa Trump. Tuachie hapo
Huyu naye alichaguliwa kwa sababu ya identity politics tu. Ni mwanamke na ni Mzanzibari.
Hili la identity politics ni baya . Baadhi tulishahisi ipo siku tutakuwa na Rais kwa identity tu lakini si uwezo.
Inavyoonekana Magufuli alikuwa anataka sifa ya kuwa na mgombea wa kwanza wa CCM kumchagua mwanamke kuwa mgombea mwenza wake.JPM alikuwa mgombea na hakuwahi kuwa katika nafasi yoyote ya uongozi wa chama hapo awali.
JPM hakuwa na ushawishi wa aina yoyote ile kuwa VP, sijui kama alijua VP anatakiwa atoke Zanzibar achilia mbali mwanamke. Kwa hili namtetea sana JPM

Kwa utaratibu wa CCM M/kiti ana ushawishi mkubwa sana akiwa na kamati kuu 'aliyoitengeneza' na wajumbe wa NEC na wakati huo alikuwa JM Kikwete. Hivyo chaguo lilitoka kwa Kikwete na si JPM kwa kila sababu.
Na ukiongeza na inferiority complex aliyonayo kutokana na jinsia yake, ndo kabisa anakuwa paranoid kwamba kila anayempinga, anafanya hivyo kwa kusukumwa na chuki dhidi yake kwa sababu yeye ni mwanamke!
Hii ngao ya kwamba ni Mwanamke tuli ionya mapema kwamba yeye ni Rais aliyetokea kuwa mwanamke. Washauri, Machawa na wapiga debe walikomalia jinsia kwasababu tu lilionekana kama 'ni taboo' kumsema mwanamke.

Lakini pia Rais SSH akachukulia hiyo kama fursa ya kutekeleza mambo ya jinsia, akawa ni advocate wa gender na kusahau kuwa ni kiongozi wa nchi. Tuliona '' gender balance'' badala ya uwezo katika nafasi
Kwasasa suala la jinsi limepoteza nguvu na yanayoendelea ni kuangalia madhaifu ambayo yanajitokeza wazi.
Sidhani kabisa kuwa Magufuli aliwaza kuhusu yeye kuishia njiani na kumwacha Samia ndo awe Rais.
JPM hakuwaza kuwa Rais hata siku moja, ilipotokea ikamfanya ajisahau kuwa ni mwanadamu.

Hakuwa na maono kama ya Nyerere ya kuandaa timu ya viongozi wajao au ikitokea lisilotarajiwa.
Kosa la JPM, aliogopa wakosaji wake ana alikuwa tayari kufanya kazi na vilaza akijua yupo tu.

Lakini pia kuna tamaduni za kipuuzi sana hasa kwa CCM , kwamba kiongozi amalize muda wake, na ilikuwa ngumu kwa JPM kumchagua VP mwingine kabla ya 10 years aliyodhani angeimaliza.
Nadhani alidhani kuwa atamaliza vipindi vyote viwili na kustaafu kama walivyofanya waliomtangulia.
Kujisahau kuwa ni mwanadamu. Madaraka yalimlevia sana
Makamu wa Rais, Dkt. Mpango, kwa mtazamo wangu, ni bora mara 100 kuliko Samia [I got bars too 😀].
Mpango ni tatizo . Fuatlia viongozi wa zama hizo kama akina Mzee Warioba, Mzee Msuya, Sokoine, Mkapa , Salim Ahmed n.k. Hao walikuwa na uwezo wa kumkabili Mwl Nyerere licha ya kwamba mzee yule altisha sana.

Ukifuatilia habari za vikao , 'vijana' wa Mwalimu Nyerere walikuwa na uwezo wa kumwambia hapana au ndiyo.
Unakumbuka Mzee Warioba alipoacha kikao cha Urais wa bahari za dunia akakimbia Msasani kumwabia Nyerere akitekeleza suala fulani anajiuzulu u-AG!

Mpango si kiongozi wa kaliba ya 'vijana' wa Mwalimu. Ni mtu anayeona mambo hayaendi vizuri anakaa kimya.

Ni mtu asiyeweza kusimamia jambo pengine akivizia ''Zamu' yake.
Matatizo mengi anayokutana nayo SSH hasa muungano chini ya ofisi ya VP ni kutokana na udhaifu wa Mpango

Hawezi kumweleza boss wake ukweli akivizia tu wakati ufike ili naye awe Rais.
Mpango si kiongozi katika 'A' list. Lini umemsikia akizungumza jambo la nchi ukasema VP kaongea! Hafai
 
Ubunifu ndo kwenda kusaini mkataba wa hovyo bila hata kushirikisha mwanasheria mkuu na serikali ,na ndo maana wwnahaha kila kona kumuabisha na aibu huku wakijichanganya wenyewe
Mkataba hauna shida yoyote zaidi ya ujinga wenu na maslahi binafsi waliyonayo kundi flani la watu ambao wanajua lakini wanapotosha makusudi
 
Honestly to my opinion comparatively , Samia isn't that bad.... kinacho m cost yupo surrounded na money mongers...

Kwa wanawake waliopo madarakani kwa sasa hakuna wa ku match her intellect, sorry to say.

anapenda sana kuamini system kwenye utendaji.. like most world leaders do... but surbofinates keep failing her.

Kama jana nimeona clip ya nguzo za zege zinaangukia piki pik mchana kweupe.

Wapo wanaomwambia aachane na mfumo wa ega kwa excuse ya kuongeza ufanisi... but intention ni kupiga pesa.

Same kwenye issue ya bandari, na mengine mengi, ikiwemo na hili la kuchelewesha Katiaba mpya, na sababu ni kwamba wengi hawakuchaguliwa, so to maintain the position lazima watengeneze mazingira mapema.

Angalia kama Spika Tulia kwenye muhimil wa maana sana, ana PhD na ni mtu mwenye " akili" but she was literally dying for that position just to take a picture....

Hao wengine hata huwezi sema, mawaziri wengi nao ni kuendekeza uchawa ili wapate chakula ... it's sad but we have them in the system.

Magufuli alikuwa ana shine bila hata PhD.... toka akiwa naibu waziri had waziri wa SAmaki, very good at Micro management.

Ni bahati mbaya sana Samia anaamini system kwenye nchi ya watu wanaotaka kuwa micro managed and she ain't good at that.
Uzuri bado ana muda... anaweza jifunza na akarekebisha mengi kabla mambo hayaja haribika sana.

Kama wanaomzunguka ndo wanasababisha hali hii mbaya, basi kuna shida mahali. Kiongozi anaongoza!!!
 
Mtu huyo ni Rais Samia!

Nashawishika kabisa kuamini kuwa huyu Samia alichaguliwa kutokana na jinsia yake tu [kama ilivyojuwa kwa Kamala Harris…the word salad queen…kule Marekani].

Kamala yeye alichaguliwa na Biden kuwa mgombea mwenza kwa sababu ni mwanamke mweusi [ingawa kiuhalisia ni chotara wa Kihindi na Kijamaica].

Kamala ni mweupe kabisa. Yaani hovyo to the nth degree. Anaongeaga mashudu tu [word salads].

Hana kabisa uwezo wa kuongoza. Yeye ni kucheka cheka tu na kuongea mambo yasiyoeleweka.

Ukimwangalia Biden, unaona kabisa jamaa anapaswa awe nyumbani. Kazi ya urais wa Marekani kwa sasa haiwezi.

He is a creepy old guy. Hebu angalia hapa



Hivi alikuwa anafanya nini hapo kwa hako katoto? Na hiyo ni wiki iliyopita alipokuwa Finland baada ya kutoka Lithuania kwenye mkutano wa NATO.

Biden muda wowote anaondoka. Iwe kwa kujiuzulu, kuamua kutogombea tena muhula wa pili, au hata kufa [ingawa kifo hakina mwenyewe].

Wazo la Kamala kuja kuwa Rais wa Marekani endapo Biden ataondoka, linatisha watu wengi sana.

Haya, tuje kwa huyu wa kwetu hapa.

Huyu naye alichaguliwa kwa sababu ya identity politics tu. Ni mwanamke na ni Mzanzibari.

Kwa ninayoyaona, ni mtu asiye na uwezo wa kiuongozi ngazi ya Rais wa nchi.

Hakuchaguliwa kutokana na sifa zake za kiuongozi.

Inavyoonekana Magufuli alikuwa anataka sifa ya kuwa na mgombea wa kwanza wa CCM kumchagua mwanamke kuwa mgombea mwenza wake.

Haiwezekani kabisa kuwa Samia alichaguliwa kutokana na sifa zake kiutendaji [kwa sababu hana].

Jahazi limeshamshinda hivi sasa. Kabaki kutoa vitisho na kutumia dola kukabiliana na wanaompinga.

Na ukiongeza na inferiority complex aliyonayo kutokana na jinsia yake, ndo kabisa anakuwa paranoid kwamba kila anayempinga, anafanya hivyo kwa kusukumwa na chuki dhidi yake kwa sababu yeye ni mwanamke!

Rais Magufuli hakuwa kiongozi mzuri. Nilishasema mara nyingi tu kuwa yeye alikuwa msimamizi/ mnyapara mzuri.

Yeye mpe kazi au mradi ausimamie, halafu umpe mamlaka ya kutosha kuweza kufanya maamuzi ndani ya ukomo fulani, utampenda maana hakuwa wa mchezo mchezo.

Sidhani kabisa kuwa Magufuli aliwaza kuhusu yeye kuishia njiani na kumwacha Samia ndo awe Rais.

Nadhani alidhani kuwa atamaliza vipindi vyote viwili na kustaafu kama walivyofanya waliomtangulia.

Lakini haikuwa hivyo. Tumeachiwa huyu Samia.

Makamu wa Rais, Dkt. Mpango, kwa mtazamo wangu, ni bora mara 100 kuliko Samia [I got bars too [emoji3]].
samia she's missfit to the position.
 
Hapa ni CCM 100% unataka nikupe namba yangu ya Kadi?

Unajifanya unanijua, hunijui.

Anayesema wewe mfia dini? Anayesema wewe mwongo aliyejipenyeza hapa jamiiforums.? Huna lolote.
Bandari kapewa Dp world,mtake au msitake ishakuwa hivyo na hakibadiliki kitu.
 
Ukiiangalia video utaelewa kabisa Mwinyi ndo alikuwa namba moja ila chama "wazee" wakamchukua Samia kwa kigezo cha jinsia na sio uwezo
Wapi chama kilimpangia? Then mnadhani huyo Mwinyi ndio angekua better than Samia? Ukimtoa Maalim na kidogo OMO huko Zanzibar ni rare sana kupata watu strong and serious wengi ni "waungwana"
 
Mtu huyo ni Rais Samia!

Nashawishika kabisa kuamini kuwa huyu Samia alichaguliwa kutokana na jinsia yake tu [kama ilivyojuwa kwa Kamala Harris…the word salad queen…kule Marekani]. Ref: Uchaguzi 2020 - Mkutano Mkuu wa CCM 2020 wamchagua John Magufuli kuwa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Amteua Samia Suluhu kuwa Mgombea Mwenza ambapo Marehemu Magufuli alisema "Nawaambia hii siri, Hussein Mwinyi nilimteua kuwa mgombea mwenza pamoja na Mama Samia (2015), lakini kwakuwa Mama Samia ni mwanamke akashinda kuwa makamu wa rais, maana huwezi kushindana na Wanawake ukashinda, wanawake wanatuzidi kwa mambo mengi, wanawake oyee."

Kamala yeye alichaguliwa na Biden kuwa mgombea mwenza kwa sababu ni mwanamke mweusi [ingawa kiuhalisia ni chotara wa Kihindi na Kijamaica].

Kamala ni mweupe kabisa. Yaani hovyo to the nth degree. Anaongeaga mashudu tu [word salads].

Hana kabisa uwezo wa kuongoza. Yeye ni kucheka cheka tu na kuongea mambo yasiyoeleweka.

Ukimwangalia Biden, unaona kabisa jamaa anapaswa awe nyumbani. Kazi ya urais wa Marekani kwa sasa haiwezi.

He is a creepy old guy. Hebu angalia hapa



Hivi alikuwa anafanya nini hapo kwa hako katoto? Na hiyo ni wiki iliyopita alipokuwa Finland baada ya kutoka Lithuania kwenye mkutano wa NATO.

Biden muda wowote anaondoka. Iwe kwa kujiuzulu, kuamua kutogombea tena muhula wa pili, au hata kufa [ingawa kifo hakina mwenyewe].

Wazo la Kamala kuja kuwa Rais wa Marekani endapo Biden ataondoka, linatisha watu wengi sana.

Haya, tuje kwa huyu wa kwetu hapa.

Huyu naye alichaguliwa kwa sababu ya identity politics tu. Ni mwanamke na ni Mzanzibari.

Kwa ninayoyaona, ni mtu asiye na uwezo wa kiuongozi ngazi ya Rais wa nchi.

Hakuchaguliwa kutokana na sifa zake za kiuongozi.

Inavyoonekana Magufuli alikuwa anataka sifa ya kuwa na mgombea wa kwanza wa CCM kumchagua mwanamke kuwa mgombea mwenza wake.

Haiwezekani kabisa kuwa Samia alichaguliwa kutokana na sifa zake kiutendaji [kwa sababu hana].

Jahazi limeshamshinda hivi sasa. Kabaki kutoa vitisho na kutumia dola kukabiliana na wanaompinga.

Na ukiongeza na inferiority complex aliyonayo kutokana na jinsia yake, ndo kabisa anakuwa paranoid kwamba kila anayempinga, anafanya hivyo kwa kusukumwa na chuki dhidi yake kwa sababu yeye ni mwanamke!

Rais Magufuli hakuwa kiongozi mzuri. Nilishasema mara nyingi tu kuwa yeye alikuwa msimamizi/ mnyapara mzuri.

Yeye mpe kazi au mradi ausimamie, halafu umpe mamlaka ya kutosha kuweza kufanya maamuzi ndani ya ukomo fulani, utampenda maana hakuwa wa mchezo mchezo.

Sidhani kabisa kuwa Magufuli aliwaza kuhusu yeye kuishia njiani na kumwacha Samia ndo awe Rais.

Nadhani alidhani kuwa atamaliza vipindi vyote viwili na kustaafu kama walivyofanya waliomtangulia.

Lakini haikuwa hivyo. Tumeachiwa huyu Samia.

Makamu wa Rais, Dkt. Mpango, kwa mtazamo wangu, ni bora mara 100 kuliko Samia [I got bars too 😀].

weekend hii tulikuwa baa nikakimbia kikao baada ya kuona washkaji wameanza matani eti maza aliipata yenye iliki ya arabuni akapoteza network kaamua kugawa nchi bure! Amependekeza serengeti na mlima kilimanjaro kama mfalme akimpea tena!
 
Bandari kapewa Dp world,mtake au msitake ishakuwa hivyo na hakibadiliki kitu.
Unaota. Watanganyika hawata kubali kunyanyasika. Na hao unaowatetea,wote waarabu na vibaraka wao, ni wa kuswekwa lumande tu. Kaa chonjo
 
Sasa wapi hapo alipangiwa na wazee amteue Samia? Kama yeye alimteua Samia sababu ni mwanamke ni JPM mwenyewe alitaka Wala msimsakizie JK au Mkapa hawahusiki.

Kubalini tu kuwa JPM alitoa boko kwenye succession politics, ona hata bunge lilivyojaa vilaza.
Sio kweli hapo anasema alikuwa ashamfahamisha Mwinyi kwamba ndo atakuwa VP na akasema lakini hata alivyomteua Samia Mwinyi wala hakulalamika alitulia, akaongeza kwamba alivyomteua samia alilia maana hakujua kama atateuliwa. Hiyo ni ishara tosha kwamba jpm alikwenda kwenye kikao na jina la Mwinyi akalazimika kuliacha huko akarudi na jina la Samia hapo ni kusema kwa lugha nyingine kwamba hakuwa chaguo lake"la kwanz"
 
Back
Top Bottom