Hayati Magufuli alikosea kwenye mambo mengi mno. Kubwa mojawapo ni kumchagua huyu mtu

Hayati Magufuli alikosea kwenye mambo mengi mno. Kubwa mojawapo ni kumchagua huyu mtu

Kila kitu kimepangwa kuhusu Kamala, wakubwa wa Dunia wanataka kudestroy western Christian civilization na ndiyo maana wamemuweka Biden ambaye atamuachia Kamala ambaye anakwenda kuizika USA na Western christian world kimoja tuombee sana Ukristo (western) usishindwe, kuhusu kwetu Magufuli hakujua wala hakuwahi kudhani nafikiri kama Uraisi wake ungekatishwa nadhani aliamini kabisa kama Maraisi wengine kwamba angeongoza Miaka 5 na mitano mingine na kumwachia mwingine lkn sidhani kama alifikiria hata kidogo kama mambo yangebadilika/shwa wengi TZ maraisi hawakukifikira sana cheo cha Umakamu wa raisi kwa kifupi ni president in waiting.

Women Destroy Nations …
Wakubwa wa dunia ni kina nani??
 
Kila kitu kimepangwa kuhusu Kamala, wakubwa wa Dunia wanataka kudestroy western Christian civilization na ndiyo maana wamemuweka Biden ambaye atamuachia Kamala ambaye anakwenda kuizika USA na Western christian world kimoja tuombee sana Ukristo (western) usishindwe, kuhusu kwetu Magufuli hakujua wala hakuwahi kudhani nafikiri kama Uraisi wake ungekatishwa nadhani aliamini kabisa kama Maraisi wengine kwamba angeongoza Miaka 5 na mitano mingine na kumwachia mwingine lkn sidhani kama alifikiria hata kidogo kama mambo yangebadilika/shwa wengi TZ maraisi hawakukifikira sana cheo cha Umakamu wa raisi kwa kifupi ni president in waiting.

Women Destroy Nations …
Aisee kwa Mawazo haya ngoja niweke nukta.

Lakini I cant let this slide..., na atakayeombea Imani zetu kama Africans na kuzipambania ni nani ? Nadhani kuangalia mambo kwa udini, jinsi, rangi au kabila ni kufirisika kifikra...
 
Ila kusema kweli mama hakubaliki. Hata wanaomsifia ni wanatetea matumbo yao tu ila deep down hata wao hawamkubali.
 
Mtu huyo ni Rais Samia!

Nashawishika kabisa kuamini kuwa huyu Samia alichaguliwa kutokana na jinsia yake tu [kama ilivyojuwa kwa Kamala Harris…the word salad queen…kule Marekani].

Kamala yeye alichaguliwa na Biden kuwa mgombea mwenza kwa sababu ni mwanamke mweusi [ingawa kiuhalisia ni chotara wa Kihindi na Kijamaica].

Kamala ni mweupe kabisa. Yaani hovyo to the nth degree. Anaongeaga mashudu tu [word salads].

Hana kabisa uwezo wa kuongoza. Yeye ni kucheka cheka tu na kuongea mambo yasiyoeleweka.

Ukimwangalia Biden, unaona kabisa jamaa anapaswa awe nyumbani. Kazi ya urais wa Marekani kwa sasa haiwezi.

He is a creepy old guy. Hebu angalia hapa



Hivi alikuwa anafanya nini hapo kwa hako katoto? Na hiyo ni wiki iliyopita alipokuwa Finland baada ya kutoka Lithuania kwenye mkutano wa NATO.

Biden muda wowote anaondoka. Iwe kwa kujiuzulu, kuamua kutogombea tena muhula wa pili, au hata kufa [ingawa kifo hakina mwenyewe].

Wazo la Kamala kuja kuwa Rais wa Marekani endapo Biden ataondoka, linatisha watu wengi sana.

Haya, tuje kwa huyu wa kwetu hapa.

Huyu naye alichaguliwa kwa sababu ya identity politics tu. Ni mwanamke na ni Mzanzibari.

Kwa ninayoyaona, ni mtu asiye na uwezo wa kiuongozi ngazi ya Rais wa nchi.

Hakuchaguliwa kutokana na sifa zake za kiuongozi.

Inavyoonekana Magufuli alikuwa anataka sifa ya kuwa na mgombea wa kwanza wa CCM kumchagua mwanamke kuwa mgombea mwenza wake.

Haiwezekani kabisa kuwa Samia alichaguliwa kutokana na sifa zake kiutendaji [kwa sababu hana].

Jahazi limeshamshinda hivi sasa. Kabaki kutoa vitisho na kutumia dola kukabiliana na wanaompinga.

Na ukiongeza na inferiority complex aliyonayo kutokana na jinsia yake, ndo kabisa anakuwa paranoid kwamba kila anayempinga, anafanya hivyo kwa kusukumwa na chuki dhidi yake kwa sababu yeye ni mwanamke!

Rais Magufuli hakuwa kiongozi mzuri. Nilishasema mara nyingi tu kuwa yeye alikuwa msimamizi/ mnyapara mzuri.

Yeye mpe kazi au mradi ausimamie, halafu umpe mamlaka ya kutosha kuweza kufanya maamuzi ndani ya ukomo fulani, utampenda maana hakuwa wa mchezo mchezo.

Sidhani kabisa kuwa Magufuli aliwaza kuhusu yeye kuishia njiani na kumwacha Samia ndo awe Rais.

Nadhani alidhani kuwa atamaliza vipindi vyote viwili na kustaafu kama walivyofanya waliomtangulia.

Lakini haikuwa hivyo. Tumeachiwa huyu Samia.

Makamu wa Rais, Dkt. Mpango, kwa mtazamo wangu, ni bora mara 100 kuliko Samia [I got bars too 😀].

Nyani Nghabu wanasema nyani haoni kundule. Umeniuzi sana, ungekuwa karibu ningekukaba roba mbaya sana mpaka uufutw huu uzi. Naomba moderator wafute huu uchafu. Rais Dr Samia ni kiongozi bora kabisa kuwahi toka hapa Tanzania. Anajua maana ya uongozi na kuongoza. Tunamuombea kwa Mungu aongoze mpaka 2035.
 
Nyani Nghabu wanasema nyani haoni kundule. Umeniuzi sana, ungekuwa karibu ningekukaba roba mbaya sana mpaka uufutw huu uzi. Naomba moderator wafute huu uchafu. Rais Dr Samia ni kiongozi bora kabisa kuwahi toka hapa Tanzania. Anajua maana ya uongozi na kuongoza. Tunamuombea kwa Mungu aongoze mpaka 2035.
Wewe unikabe roba mimi?

Fcuk around and find out…
 
Na vipi angemchagua Stagomena Lawrence Tax au Pindi Hazara Chana kua makamu wake ungesemaje?
✍️
Kwa swali hili inaonekana wewe ni zuzu, huna unalolijua kwenye katiba yetu!.
Ni sawa na mtu aulize kwann huwa hawachagui kiongozi mwanaume kwenye chama cha wanawake (mfano UWT)...hapo utakuwa na akili au matope, ndio wewe sasa!.
 
Mwanzoni nilidhani ni upinzani tu wa uwekezaji bandarini kwa kigezo cha mkataba.

Lakini Hamza Johari na Dr Possi waliuelezea kifungu kwa kifungu na nilimsikiliza na nikamuoja live kwenye TV wasiwasi wote ukanitoka.

Kila nikisikia hoja mpya zinazozaliwa naona kinachopingwa ni asili ya mwekezaji mwenyewe na sio mkataba, Mwabukusi na hao wachungaji wote wamefikia hatua ya kujiita watanganyika kisa ni mkataba.

Hii haihitaji akili ya mwanasayansi mvumbua roketi kuweza kuzisoma hizi akili ambazo kwanza kwa muda mrefu zilikuwa zinamchukia Rais Samia na muda huu ndio zimeupata wa kuonyesha zinavyomchukia na pili zinautumia uwekezaji wake kama nafasi ya kuweka chuki hadharani!.

Tuwe makini sana Tanzania ni moja tu, na awe ni mtu mwenye ushujaa ulioshiba upumbavu atakayependa kwa dhati kabisa kutoka moyoni mwake kuiona nchi hii inavunjika vipande vipande.

Kule Kenya kuna wasomi na wastaarabu kuliko Tanzania, tuwe makini sana mwelekeo wetu wa kitaifa usifikie hatua ya kufanana na wao.

Tulitakiwa tujikite katika kuifikiria geographical advantage tuliyonayo kwa sasa na sio sisi kuwa kama wapumbavu na kuanza kubaguana kwa kuitana yule mtanganyika na yule mbara, pathetic mindset.

Mkataba wa DPW hauna matatizo yoyote kwani umeshafafanuliwa kwa kina. Faida za uwekezaji ni nyingi kwa wafanya biashara sio kwa hawa wachungaji wanaoshinda makanisani na kondoo zao pamoja na masheikh wanaoshinda misikitini na waumini.

Faida ni kuwezesha usimamizi mzima wa TPA, kuondoa foleni na urasimu unaotengeneza kila aina ya rushwa.

Faida nyinfgine ni usomeshaji wa wataalam wetu wa masuala ya bandari, na hapo sijaongelea ongezeko la makusanyo ya TRA.

Mwendeshaji bandari akiwa na uzoefu wa kazi hata vifaa kama cranes vinapoharibika anaweza kuwasiliana na makampuni ya watengenezaji kwa haraka zaidi kuliko namna TPA wenyewe wanavyoweza kusogezewa miezi ya mbali zile order zao.

Pia ni faida kwa nchi kwani DPW ana mali huku Congo na Rwanda ambazo zinahitaji pia kutumia SGR yetu. End to end logistic chain ndio maana ya bandari kisasa.

Hakutakuwa na masuala ya upitishaji wa madawa ya kulevya unaowezeshwa na mifumo kutokuwa ya kisasa zaidi.

Ni suala jema, na litapiganiwa mpaka litimie bila ya kusikiliza hizi kelele za mawakala wa wapigaji na mafisadi.
Mkuu, utaandika gazeti zima hapa, lakini maandishi yako toka uingie hapa yanakueleza historia yako vizuri kabisa.

Ulianza na kuwa 'steve joel ntamsana', ukiwa na lengo maalum la kufanya.
Hadi hapa tulipofikia, lengo hujalifikia, lakini nia thabiti ya uwepo wako hapa ukawa umethibitika.

Kwa hiyo huko kote unakozunguka nako kwenye andishi lako hapo juu, ni kupoteza tu muda; kwa sababu unajua "Mkataba/Makubaliano" unaopigiwa kelele upo vile vile, hakuna kilichobadilika licha ya juhudi kubwa zinazofanyika za upotoshaji na hadaa nyingi.

Ni hivi: Ungekuwa ni mtu wa kuaminika, ungezungumzia mapungufu yanayoonekana kuwemo kwenye mkataba, na siyo kujitumbukiza kwenye udini.
Nenda kamwambie Samia, "Mkataba/Makubaliano" yalekebishwe, na hao hao DP World waendelee na kazi. Ukiona bado kuna kelele za mapingamizi baada ya kufanya hayo, njoo hapa tena, nami nitakuunga mkono kuhusu kelele za hao wanaoendelea kupinga.

Lakini, kama nilivyokwisha sema toka mwanzo baada ya kukujua unakoegemea, haya ninayokushauti hapa hayakuingii kabisa akilini mwako.

Sasa tufanyeje? Tusubiri tu kugongana vichwa vya waTanzania.
 
Wrong!

Mkataba/Makubaliano yasipobadilika, na CCM/Samia wakaendelea kama hakuna kilichotokea, ni WAO CCM na Samia watabadilika. Usifikiri kuna mchezo hapa safari hii.
Hahahaaa!
JamiiForums-72271314.jpg
JamiiForums-2089014366.jpg
 
Asante sana King Kigoda kwa ushauri wako, nina matumaini nitapata darasa na ufunuo kwenye ilani ya Chama cha Mapinduzi , hatahivyo
KK, naomba tukubaliane kwamba sijasema kuwa Raisi Samia Suluhu, hafai, na kwa mlolongo huo huo niwaombe radhi wengine walio kwazika, kwani, halikuwa lengo langu kufanya hivyo.

KK, nimesema nipo nyuma ya Raisi Samia Suluhu na hilo halibadiliki kwa sasa.

Vilevile, sijasema kuwa suala la uwekezaji halifai, isitoshe hata hao wageni niliokutana nao hawakusema Uwekezaji haufai, amini usiamini mmoja wao wa Zambia alinidokeza mengi tu kuhusu yaliyowatokea Wazambia na Wachina, sinto enda huko, ila alitahadharisha kuhusu Mkataba wetu kwani wa kwao uliwahujumu, hivyo nasi tuwe makini yasije kututokea. Nakuomba usinilishe maneno.

Mkuu, ukinisoma vizuri nimesema Raisi Samia Suluhu hapaswi kutafuta ngwe nyingine, because Chama chake kitaanguka vibaya. Nikiwa na maanisha anaweza subiri ngwe nyingine kwa sababu sakati hili linafoka rushwa na hivyo kuiweka CCM katika hali ngumu kichaguzi.
Wewe siyo mwanachama wa CCM,unawezaje kujua mambo ya ndani ya CCM?.
Watu wanje ya Tz hawana chochote cha kutufundisha maana wao washafeli.
 
Si mlidai CCM sijui unaandaa viongozi mara sijui Marais huandaliwa tokea mapema, vipi Leo mnakiri kuwa hamkumuandaa Samia?

CCM Is overrated
Mnapopinga uwepo Mungu huwa mnatumia vigezo gani?.
Watu hupanga ya kwao na Mungu upanga yake.Samia ndiyo mpango wa Mungu sasa.
 
WRONG AGAIN!

Hii kazi siyo kazi ya CHADEMA tena.

Hii ni kazi ya waTanzania wote wenye mapenzi mema na nchi yao. bila kujali tofauti zao mbalimbali.
Watanzania ni hawa hapa,nyinyi siwatanganyika?.
20230723_171225.jpg
 
Back
Top Bottom