Steven Joel Ntamusano
JF-Expert Member
- Jun 17, 2023
- 5,203
- 3,913
Uchawa ni dhana ya kufikirika tu, tena mwenye kuwa nayo ni yule anayeumizwa na hoja anazosoma.Uchawa usikupofushe akili.
Lakini angalau sasa unajitambulisha pia kuwa chawa wa Samia na siyo genge tu lililomweka chini ya himaya yake.
Kuhusu nadharia yako, ni kama hujawahi kumsikia mtu aitwae Kikwete, hadi ukumbushwe, au ustuliwe tu kwa vile ulijisahaulisha kwa maksudi.
Hadi unajiuliza hizi pesa zinatoka wapi?Unachokisema nakubakiana nawe!
Ukikaa town (DSM) unaweza usione rais anafanya nini! Ila ukiwa unazunguka zunguka mikoa mingine huko njiani kuna mambo makubwa yanafanyika.
Magufuli alikua kiongozi mzuri sana, shenzi wewe acha uongo. Kuhusu samia ni kweli alikosea kukubali shinikizo la jk kumuweka samia makamu. Kiitikadi sio mjamaa ni mtu mbinafsi wala haelewi mambo mengi jambo muhimu kwa cheo cha urais. Samia hakua chaguo lake ila jk alichomeka kamati kuu. Chaguo lake lilikua hassan mwinyi. Wala sio siri mwenyewe magu alisema hadharani wala sio mara moja.Mtu huyo ni Rais Samia!
Nashawishika kabisa kuamini kuwa huyu Samia alichaguliwa kutokana na jinsia yake tu [kama ilivyojuwa kwa Kamala Harris…the word salad queen…kule Marekani].
Kamala yeye alichaguliwa na Biden kuwa mgombea mwenza kwa sababu ni mwanamke mweusi [ingawa kiuhalisia ni chotara wa Kihindi na Kijamaica].
Kamala ni mweupe kabisa. Yaani hovyo to the nth degree. Anaongeaga mashudu tu [word salads].
Hana kabisa uwezo wa kuongoza. Yeye ni kucheka cheka tu na kuongea mambo yasiyoeleweka.
Ukimwangalia Biden, unaona kabisa jamaa anapaswa awe nyumbani. Kazi ya urais wa Marekani kwa sasa haiwezi.
He is a creepy old guy. Hebu angalia hapa
Hivi alikuwa anafanya nini hapo kwa hako katoto? Na hiyo ni wiki iliyopita alipokuwa Finland baada ya kutoka Lithuania kwenye mkutano wa NATO.
Biden muda wowote anaondoka. Iwe kwa kujiuzulu, kuamua kutogombea tena muhula wa pili, au hata kufa [ingawa kifo hakina mwenyewe].
Wazo la Kamala kuja kuwa Rais wa Marekani endapo Biden ataondoka, linatisha watu wengi sana.
Haya, tuje kwa huyu wa kwetu hapa.
Huyu naye alichaguliwa kwa sababu ya identity politics tu. Ni mwanamke na ni Mzanzibari.
Kwa ninayoyaona, ni mtu asiye na uwezo wa kiuongozi ngazi ya Rais wa nchi.
Hakuchaguliwa kutokana na sifa zake za kiuongozi.
Inavyoonekana Magufuli alikuwa anataka sifa ya kuwa na mgombea wa kwanza wa CCM kumchagua mwanamke kuwa mgombea mwenza wake.
Haiwezekani kabisa kuwa Samia alichaguliwa kutokana na sifa zake kiutendaji [kwa sababu hana].
Jahazi limeshamshinda hivi sasa. Kabaki kutoa vitisho na kutumia dola kukabiliana na wanaompinga.
Na ukiongeza na inferiority complex aliyonayo kutokana na jinsia yake, ndo kabisa anakuwa paranoid kwamba kila anayempinga, anafanya hivyo kwa kusukumwa na chuki dhidi yake kwa sababu yeye ni mwanamke!
Rais Magufuli hakuwa kiongozi mzuri. Nilishasema mara nyingi tu kuwa yeye alikuwa msimamizi/ mnyapara mzuri.
Yeye mpe kazi au mradi ausimamie, halafu umpe mamlaka ya kutosha kuweza kufanya maamuzi ndani ya ukomo fulani, utampenda maana hakuwa wa mchezo mchezo.
Sidhani kabisa kuwa Magufuli aliwaza kuhusu yeye kuishia njiani na kumwacha Samia ndo awe Rais.
Nadhani alidhani kuwa atamaliza vipindi vyote viwili na kustaafu kama walivyofanya waliomtangulia.
Lakini haikuwa hivyo. Tumeachiwa huyu Samia.
Makamu wa Rais, Dkt. Mpango, kwa mtazamo wangu, ni bora mara 100 kuliko Samia [I got bars too 😀].
Samia kasafisha hadi ya Kikwete kama kuwatoa masheikh wa uamsho.Ilikuwa makosa kumweka Magufuli kwenye Urais, mama ndiyo anasafisha madudu ya Magufuli. Hii ni kama Mwinyi alivyosafisha madudu ya nyerere, na Kikwete akaja kusafisha ya Mkapa.
Watende wao ya wenzao huwa mwao.
Nonsense, Magufuli alikuwa rais mzuri lakini samia ni rais mmbovu.Ilikuwa makosa kumweka Magufuli kwenye Urais, mama ndiyo anasafisha madudu ya Magufuli. Hii ni kama Mwinyi alivyosafisha madudu ya nyerere, na Kikwete akaja kusafisha ya Mkapa.
Watende wao ya wenzao huwa mwao.
Hafai kabisa na maamuzi anoyofai yanadhihirisha hiloMtu huyo ni Rais Samia!
Nashawishika kabisa kuamini kuwa huyu Samia alichaguliwa kutokana na jinsia yake tu [kama ilivyojuwa kwa Kamala Harris…the word salad queen…kule Marekani].
Kamala yeye alichaguliwa na Biden kuwa mgombea mwenza kwa sababu ni mwanamke mweusi [ingawa kiuhalisia ni chotara wa Kihindi na Kijamaica].
Kamala ni mweupe kabisa. Yaani hovyo to the nth degree. Anaongeaga mashudu tu [word salads].
Hana kabisa uwezo wa kuongoza. Yeye ni kucheka cheka tu na kuongea mambo yasiyoeleweka.
Ukimwangalia Biden, unaona kabisa jamaa anapaswa awe nyumbani. Kazi ya urais wa Marekani kwa sasa haiwezi.
He is a creepy old guy. Hebu angalia hapa
Hivi alikuwa anafanya nini hapo kwa hako katoto? Na hiyo ni wiki iliyopita alipokuwa Finland baada ya kutoka Lithuania kwenye mkutano wa NATO.
Biden muda wowote anaondoka. Iwe kwa kujiuzulu, kuamua kutogombea tena muhula wa pili, au hata kufa [ingawa kifo hakina mwenyewe].
Wazo la Kamala kuja kuwa Rais wa Marekani endapo Biden ataondoka, linatisha watu wengi sana.
Haya, tuje kwa huyu wa kwetu hapa.
Huyu naye alichaguliwa kwa sababu ya identity politics tu. Ni mwanamke na ni Mzanzibari.
Kwa ninayoyaona, ni mtu asiye na uwezo wa kiuongozi ngazi ya Rais wa nchi.
Hakuchaguliwa kutokana na sifa zake za kiuongozi.
Inavyoonekana Magufuli alikuwa anataka sifa ya kuwa na mgombea wa kwanza wa CCM kumchagua mwanamke kuwa mgombea mwenza wake.
Haiwezekani kabisa kuwa Samia alichaguliwa kutokana na sifa zake kiutendaji [kwa sababu hana].
Jahazi limeshamshinda hivi sasa. Kabaki kutoa vitisho na kutumia dola kukabiliana na wanaompinga.
Na ukiongeza na inferiority complex aliyonayo kutokana na jinsia yake, ndo kabisa anakuwa paranoid kwamba kila anayempinga, anafanya hivyo kwa kusukumwa na chuki dhidi yake kwa sababu yeye ni mwanamke!
Rais Magufuli hakuwa kiongozi mzuri. Nilishasema mara nyingi tu kuwa yeye alikuwa msimamizi/ mnyapara mzuri.
Yeye mpe kazi au mradi ausimamie, halafu umpe mamlaka ya kutosha kuweza kufanya maamuzi ndani ya ukomo fulani, utampenda maana hakuwa wa mchezo mchezo.
Sidhani kabisa kuwa Magufuli aliwaza kuhusu yeye kuishia njiani na kumwacha Samia ndo awe Rais.
Nadhani alidhani kuwa atamaliza vipindi vyote viwili na kustaafu kama walivyofanya waliomtangulia.
Lakini haikuwa hivyo. Tumeachiwa huyu Samia.
Makamu wa Rais, Dkt. Mpango, kwa mtazamo wangu, ni bora mara 100 kuliko Samia [I got bars too 😀].
Kila mtu anajua kuwa magufuli alisema hilo.wazi na anasema ilimpa wakati mgumuNdio bahati mbaya iyo clip sina ila alisema wakati akimsifu Hussein Mwinyi kuwa anafaa kuwa rais wa Zanzibar na hapo hapo akimteua Samia kuwa mgombea Mwenza kwa awamu ya pili. Mwisho alisema ukishindana na mwanamke lazima ushindwe ndio maana Samia alimshinda Hussein Mwinyi
labda mamaakoUkweli maza ni hakuna kitu
Haimuabudu mtuBaada ya Nyerere siku hizi inamuabudu nani?
Alisikika akisema kuwa anafurahishwa na mama anavyoendesha familia. Bila kujali wanafamilia wenyewe hawamwelewi mama yao. Jeikey kiboko.Magufuli alilazimishwa mchagua kwa jinsia yake.
Ahsante kwa kuiweka historia sawa!Kwenye mkutano mkuu wa ccm 2020 Magufuli alisema wazi kabisa kwamba yeye chaguo lake namba moja la mgombea mwenza alikuwa Hussein Mwinyi ila wazee wakamchagua Samia yeye hakumpenda kabisa ila chama kiliamua
Na Yuko sahihiDuh
Huo ni mtazamo wako binafsi!
Sasa kumbe wewe naye ni salad king🤗; huna kumbukumbu na kauli hiyo ya Jiwe?Kuna video au audio ya yeye akisema hivyo?
Kikwete yalimshinda kwa Lowassa, akamsingizia Mzee wa watu RichmondUliona wapi mtu anachagua msaidizi smart kuzidi yeye
Ccm ndo wajue makamu wa raisi sio wa kuchagua tu ili mradi kama walivofanya during jiwe era
Baada ya Nyerere siku hizi inamuabudu nani?
UtampimJe si akina tundu watasema raisi anaendesha nchi kama mali yake
Kwa kutazama vipaumbele alivyoviweka juu ya hatma ya taifa lake na jinsi vitakavyofikiwa.
Makandokando madogo madogo ya udikteta wake unaoruhusu kufikia lengo watu watauvumilia tu na kuuelewa.
Magufuli alikuwa kichaa sana, lakini kundi kubwa la watu lilimuelewa. Nami pia ningemwelewa kusingekuwepo na ule ukichaa uliopitiliza.
Na sasa ni kama anakubalika tu, na ule uhayawani wake umesahaulika kutokana na uozo huu tunaoushuhudia sasa hivi.
Absolutely wrong.Dear Kalamu, your opinion is guaranteed ...!
Unfortunately we don't have any option near this time soon, may be after 7 years or so,( well aware of 2025 election with the same constitution and instruments to make her stay)
The only thing we have now is "hope"