Hayati Magufuli alikosea kwenye mambo mengi mno. Kubwa mojawapo ni kumchagua huyu mtu

Mama amebaki na staha tu.
DP World wanatupenda sana. Na hawana shida na ardhi yetu. Sema tu lugha haikuwa nzuri.
Walitaka kusema hivi.

" kama kutakuwa na fulsa nyingine kwenye Bandari na Maziwa tunaomba mtu taarifu ili kama tutataka tuwekeze au hatutaki tuwaambie.

Ilikuwa ni lugha tu ndugu zangu

Rais Samia hakuwa na watu wa kujua kuongea vizuri.
 
Wapi chama kilimpangia? Then mnadhani huyo Mwinyi ndio angekua better than Samia? Ukimtoa Maalim na kidogo OMO huko Zanzibar ni rare sana kupata watu strong and serious wengi ni "waungwana"
Sio waungwana ni dhaifu na wengi hawana msimamo na kama wana msimamo basi ni msimamo wa maslahi binafsi. Mwinyi ni better tena several kilometers than Samia, kumcopare Samia na Mwinyi ni kumkosea Mwinyi Samia kwenye uongozi wake naweza kumlinganisha na Halima Dendego
 
Video Iko wapi? Mbona unamlisha maneno
 
Mwinyi kafanya Nini la maana Zanzibar mbona na yeye ka lease visiwa kwa pesa ndogo kwa mikataba ya miaka mpaka 40!! Mwinyi, Bilal, SheIn, sijui Amina Salim and whoever comes from Zanzibar hawezi kuwa na leadership style mnayoifikiria ya kufoka foka sijui Nini so ukimkosoa Samia kwa uongozi wake basi ujue hata hao kina Mwinyi ni wale wale
 
Alimchagua lakini kamwe hakutegemea angekuja kuwa Rais.Mwisho wa siku kawa Rais na yale aliyokuwa anakataza ndio yaleyale ameenda kuyafanya
 
[emoji1][emoji1]vise presidah {} Empty set
 
I don't think alimchagua but alichaguliwa. ..hakua chaguo la wengi within a system so ilikubalance mkeka akawekwa mama. ..waliopo nyuma ya mama walimtaka yeye it was a mission mama kua raisi
 
Mwinyi na Samia ni mbingu na ardhi kama nilivyosema Samia level yake tunaweza kumlinganisha na Halima Dendego au Livingstone Lusinde hao ndo size zake
 
Kwenye mkutano mkuu wa ccm 2020 Magufuli alisema wazi kabisa kwamba yeye chaguo lake namba moja la mgombea mwenza alikuwa Hussein Mwinyi ila wazee wakamchagua Samia yeye hakumpenda kabisa ila chama kiliamua
Kwa maneno haya mama alipoyasikia na anavyoendelea kuyasikia sijui anajisikiaje huko jumba jeupe. Nakumbuka mwanae mkubwa wakati anahojiwa simu ya kuapishwa mama ake alisema baba akifufuka na kusikia mwanae ni rais atashangaa sana.
 
Mwinyi na Samia ni mbingu na ardhi kama nilivyosema Samia level yake tunaweza kumlinganisha na Halima Dendego au Livingstone Lusinde hao ndo size zake
Mwinyi kafanya lipi la maana huko Zanzibar so far? Yule ndio zero kabisa hamna analojua Wala analoweza.
 
Tazama video yote kuna mdau kaipandisha yote tofauti na niliyoweka mimi na kama una listening skills utaelewa zaidi ya maneno yaliyotamkwa moja kwa moja
Nimezisikia zote hakuna aliposema wazee walimchagulia. Alisema "ukishindanishwa na mwanamke hauwezi kushinda" na akaenda mbali na kusema mama Samia ni msikivu, mrembo mweupe "hata nikiwa na stress zinaisha".

Wala hakupangiwa, yeye mwenyewe alimchagua
 
I don't think alimchagua but alichaguliwa. ..hakua chaguo la wengi within a system so ilikubalance mkeka akawekwa mama. ..waliopo nyuma ya mama walimtaka yeye it was a mission mama kua raisi
Why mfumo wampe JPM ugombea Urais alafu hapo hapo waandae makamu awe Rais? Si wangempa huyo Samia fomu ya kugombea Urais mbona simple tu.
 
Why mfumo wampe JPM ugombea Urais alafu hapo hapo waandae makamu awe Rais? Si wangempa huyo Samia fomu ya kugombea Urais mbona simple tu.
Mkeka uliopo unambeba kuendelea mpk muda walioingia pamoja uishe then kuwepo uchaguzi na kwa alivyonogewa atagombea
 
Unaota. Watanganyika hawata kubali kunyanyasika. Na hao unaowatetea,wote waarabu na vibaraka wao, ni wa kuswekwa lumande tu. Kaa chonjo
Bandari ni ya Tanzania,wanapewa wakekezaji na sisi wenyewe Watanzania.Tanganyika na watanganyika kwenu ni kuzimu.
 
Kaletewa na Amani Karume kwa kupitia Kikwete.
 

Attachments

  • Screenshot_20230724_212739_Chrome.jpg
    156.8 KB · Views: 6
Alipangiwa mtu asiye faa ndio maana kwa kukosa sifa za kumweleza zinazoendana na kazi yake akamsifia weupe na uzuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…