Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 12,658
- 16,205
Sio waungwana ni dhaifu na wengi hawana msimamo na kama wana msimamo basi ni msimamo wa maslahi binafsi. Mwinyi ni better tena several kilometers than Samia, kumcopare Samia na Mwinyi ni kumkosea Mwinyi Samia kwenye uongozi wake naweza kumlinganisha na Halima DendegoWapi chama kilimpangia? Then mnadhani huyo Mwinyi ndio angekua better than Samia? Ukimtoa Maalim na kidogo OMO huko Zanzibar ni rare sana kupata watu strong and serious wengi ni "waungwana"
Video Iko wapi? Mbona unamlisha manenoSio kweli hapo anasema alikuwa ashamfahamisha Mwinyi kwamba ndo atakuwa VP na akasema lakini hata alivyomteua Samia Mwinyi wala hakulalamika alitulia, akaongeza kwamba alivyomteua samia alilia maana hakujua kama atateuliwa. Hiyo ni ishara tosha kwamba jpm alikwenda kwenye kikao na jina la Mwinyi akalazimika kuliacha huko akarudi na jina la Samia hapo ni kusema kwa lugha nyingine kwamba hakuwa chaguo lake"la kwanz"
Mwinyi kafanya Nini la maana Zanzibar mbona na yeye ka lease visiwa kwa pesa ndogo kwa mikataba ya miaka mpaka 40!! Mwinyi, Bilal, SheIn, sijui Amina Salim and whoever comes from Zanzibar hawezi kuwa na leadership style mnayoifikiria ya kufoka foka sijui Nini so ukimkosoa Samia kwa uongozi wake basi ujue hata hao kina Mwinyi ni wale waleSio waungwana ni dhaifu na wengi hawana msimamo na kama wana msimamo basi ni msimamo wa maslahi binafsi. Mwinyi ni better tena several kilometers than Samia, kumcopare Samia na Mwinyi ni kumkosea Mwinyi Samia kwenye uongozi wake naweza kumlinganisha na Halima Dendego
[emoji1][emoji1]vise presidah {} Empty setMtu huyo ni Rais Samia!
Nashawishika kabisa kuamini kuwa huyu Samia alichaguliwa kutokana na jinsia yake tu [kama ilivyojuwa kwa Kamala Harris…the word salad queen…kule Marekani]. Ref: Uchaguzi 2020 - Mkutano Mkuu wa CCM 2020 wamchagua John Magufuli kuwa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Amteua Samia Suluhu kuwa Mgombea Mwenza ambapo Marehemu Magufuli alisema "Nawaambia hii siri, Hussein Mwinyi nilimteua kuwa mgombea mwenza pamoja na Mama Samia (2015), lakini kwakuwa Mama Samia ni mwanamke akashinda kuwa makamu wa rais, maana huwezi kushindana na Wanawake ukashinda, wanawake wanatuzidi kwa mambo mengi, wanawake oyee."
Kamala yeye alichaguliwa na Biden kuwa mgombea mwenza kwa sababu ni mwanamke mweusi [ingawa kiuhalisia ni chotara wa Kihindi na Kijamaica].
Kamala ni mweupe kabisa. Yaani hovyo to the nth degree. Anaongeaga mashudu tu [word salads].
Hana kabisa uwezo wa kuongoza. Yeye ni kucheka cheka tu na kuongea mambo yasiyoeleweka.
Ukimwangalia Biden, unaona kabisa jamaa anapaswa awe nyumbani. Kazi ya urais wa Marekani kwa sasa haiwezi.
He is a creepy old guy. Hebu angalia hapa
Hivi alikuwa anafanya nini hapo kwa hako katoto? Na hiyo ni wiki iliyopita alipokuwa Finland baada ya kutoka Lithuania kwenye mkutano wa NATO.
Biden muda wowote anaondoka. Iwe kwa kujiuzulu, kuamua kutogombea tena muhula wa pili, au hata kufa [ingawa kifo hakina mwenyewe].
Wazo la Kamala kuja kuwa Rais wa Marekani endapo Biden ataondoka, linatisha watu wengi sana.
Haya, tuje kwa huyu wa kwetu hapa.
Huyu naye alichaguliwa kwa sababu ya identity politics tu. Ni mwanamke na ni Mzanzibari.
Kwa ninayoyaona, ni mtu asiye na uwezo wa kiuongozi ngazi ya Rais wa nchi.
Hakuchaguliwa kutokana na sifa zake za kiuongozi.
Inavyoonekana Magufuli alikuwa anataka sifa ya kuwa na mgombea wa kwanza wa CCM kumchagua mwanamke kuwa mgombea mwenza wake.
Haiwezekani kabisa kuwa Samia alichaguliwa kutokana na sifa zake kiutendaji [kwa sababu hana].
Jahazi limeshamshinda hivi sasa. Kabaki kutoa vitisho na kutumia dola kukabiliana na wanaompinga.
Na ukiongeza na inferiority complex aliyonayo kutokana na jinsia yake, ndo kabisa anakuwa paranoid kwamba kila anayempinga, anafanya hivyo kwa kusukumwa na chuki dhidi yake kwa sababu yeye ni mwanamke!
Rais Magufuli hakuwa kiongozi mzuri. Nilishasema mara nyingi tu kuwa yeye alikuwa msimamizi/ mnyapara mzuri.
Yeye mpe kazi au mradi ausimamie, halafu umpe mamlaka ya kutosha kuweza kufanya maamuzi ndani ya ukomo fulani, utampenda maana hakuwa wa mchezo mchezo.
Sidhani kabisa kuwa Magufuli aliwaza kuhusu yeye kuishia njiani na kumwacha Samia ndo awe Rais.
Nadhani alidhani kuwa atamaliza vipindi vyote viwili na kustaafu kama walivyofanya waliomtangulia.
Lakini haikuwa hivyo. Tumeachiwa huyu Samia.
Makamu wa Rais, Dkt. Mpango, kwa mtazamo wangu, ni bora mara 100 kuliko Samia [I got bars too [emoji3]].
Mwinyi na Samia ni mbingu na ardhi kama nilivyosema Samia level yake tunaweza kumlinganisha na Halima Dendego au Livingstone Lusinde hao ndo size zakeMwinyi kafanya Nini la maana Zanzibar mbona na yeye ka lease visiwa kwa pesa ndogo kwa mikataba ya miaka mpaka 40!! Mwinyi, Bilal, SheIn, sijui Amina Salim and whoever comes from Zanzibar hawezi kuwa na leadership style mnayoifikiria ya kufoka foka sijui Nini so ukimkosoa Samia kwa uongozi wake basi ujue hata hao kina Mwinyi ni wale wale
Tazama video yote kuna mdau kaipandisha yote tofauti na niliyoweka mimi na kama una listening skills utaelewa zaidi ya maneno yaliyotamkwa moja kwa mojaVideo Iko wapi? Mbona unamlisha maneno
Tusifike huko, tuwe na heshima kidogo, mama ameitowa hii nchi kuzimu tusiwe wepesi wa kusahau.Mwinyi na Samia ni mbingu na ardhi kama nilivyosema Samia level yake tunaweza kumlinganisha na Halima Dendego au Livingstone Lusinde hao ndo size zake
Kwa maneno haya mama alipoyasikia na anavyoendelea kuyasikia sijui anajisikiaje huko jumba jeupe. Nakumbuka mwanae mkubwa wakati anahojiwa simu ya kuapishwa mama ake alisema baba akifufuka na kusikia mwanae ni rais atashangaa sana.Kwenye mkutano mkuu wa ccm 2020 Magufuli alisema wazi kabisa kwamba yeye chaguo lake namba moja la mgombea mwenza alikuwa Hussein Mwinyi ila wazee wakamchagua Samia yeye hakumpenda kabisa ila chama kiliamua
Mwinyi kafanya lipi la maana huko Zanzibar so far? Yule ndio zero kabisa hamna analojua Wala analoweza.Mwinyi na Samia ni mbingu na ardhi kama nilivyosema Samia level yake tunaweza kumlinganisha na Halima Dendego au Livingstone Lusinde hao ndo size zake
Nimezisikia zote hakuna aliposema wazee walimchagulia. Alisema "ukishindanishwa na mwanamke hauwezi kushinda" na akaenda mbali na kusema mama Samia ni msikivu, mrembo mweupe "hata nikiwa na stress zinaisha".Tazama video yote kuna mdau kaipandisha yote tofauti na niliyoweka mimi na kama una listening skills utaelewa zaidi ya maneno yaliyotamkwa moja kwa moja
Why mfumo wampe JPM ugombea Urais alafu hapo hapo waandae makamu awe Rais? Si wangempa huyo Samia fomu ya kugombea Urais mbona simple tu.I don't think alimchagua but alichaguliwa. ..hakua chaguo la wengi within a system so ilikubalance mkeka akawekwa mama. ..waliopo nyuma ya mama walimtaka yeye it was a mission mama kua raisi
Mkeka uliopo unambeba kuendelea mpk muda walioingia pamoja uishe then kuwepo uchaguzi na kwa alivyonogewa atagombeaWhy mfumo wampe JPM ugombea Urais alafu hapo hapo waandae makamu awe Rais? Si wangempa huyo Samia fomu ya kugombea Urais mbona simple tu.
Bandari ni ya Tanzania,wanapewa wakekezaji na sisi wenyewe Watanzania.Tanganyika na watanganyika kwenu ni kuzimu.Unaota. Watanganyika hawata kubali kunyanyasika. Na hao unaowatetea,wote waarabu na vibaraka wao, ni wa kuswekwa lumande tu. Kaa chonjo
Kaletewa na Amani Karume kwa kupitia Kikwete.Nimezisikia zote hakuna aliposema wazee walimchagulia. Alisema "ukishindanishwa na mwanamke hauwezi kushinda" na akaenda mbali na kusema mama Samia ni msikivu, mrembo mweupe "hata nikiwa na stress zinaisha".
Wala hakupangiwa, yeye mwenyewe alimchagua
Sema kaitoa na kuiingiza kuzimu nitakuelewa.Tusifike huko, tuwe na heshima kidogo, mama ameitowa hii nchi kuzimu tusiwe wepesi wa kusahau.
Alipangiwa mtu asiye faa ndio maana kwa kukosa sifa za kumweleza zinazoendana na kazi yake akamsifia weupe na uzuriNimezisikia zote hakuna aliposema wazee walimchagulia. Alisema "ukishindanishwa na mwanamke hauwezi kushinda" na akaenda mbali na kusema mama Samia ni msikivu, mrembo mweupe "hata nikiwa na stress zinaisha".
Wala hakupangiwa, yeye mwenyewe alimchagua