hamada umelewa
JF-Expert Member
- Dec 17, 2017
- 428
- 791
Anaweza kuwa na matatizo yake lakini angalau ana msimamo na anajua anataka niniMwinyi kafanya lipi la maana huko Zanzibar so far? Yule ndio zero kabisa hamna analojua Wala analoweza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaweza kuwa na matatizo yake lakini angalau ana msimamo na anajua anataka niniMwinyi kafanya lipi la maana huko Zanzibar so far? Yule ndio zero kabisa hamna analojua Wala analoweza.
Kama ameitoa kuzimu basi anaipeleka kuzimu pro maxTusifike huko, tuwe na heshima kidogo, mama ameitowa hii nchi kuzimu tusiwe wepesi wa kusahau.
Sijui kama Konyagi kapunguza.I agree with you Mr Nyani Ngabu..
Kwamba, kwa mfumo wa kisheria na kikatiba wa nchi yetu, mkiwa na Rais dizaini ya Samia Suluhu Hassan ni rahisi sana nchi kuwa scammed kama tulivyofanywa sasa na waarabu wa DP World/Dubai Emirate.
Nchi isiyokuwa na taasisi imara za checks & balance of powers kama yetu ni hatari sana kuwa na Rais mipasho na legelege kiufahamu na kiakili kama huyu mama. Na wanaomwingiza mkenge na kumfanya mjinga ni watu wake haohao aliowapa vyeo hivyo mwenyewe...
Kwa USA, Harris Kamala (mwanamke) anaweza kuwa Rais na bado nchi ikaenda vizuri kwa sababu ya mfumo thabiti wa kisheria na kikatiba wa nchi hiyo ambao umejenga mfumo wa taasisi za usimamizi thabiti/imara kumdhibiti asije akaleta za kuleta..
Pascal, ile "white elephant project " umefika nayo wapi. Nakwambia tena, Dr. Shein wameiba 75 million dollars za mtoto wa mfalme wa Qatar ambazo zilikuwa zimeletwa kufanya miradi fulani. Ukiamini usiamini, wewe tunakujua ni kundi lako hilo.Mimi ni Tomaso, I just don't believe this!.
Duh!.
Too good to be true!. Dola milioni 75 cash!. Sorry, I don't believe this!.
Utapata dhambi bure kumsingizia Dr.Shein mwizi wa mtindo wa ujambazi!.
Duh...!.
Duh...!
Duh...!, hizi fix nyingine...!.
Sii kweli!, tupo wengi tuu, makada safi wa CCM ambao ni Nyerere type!. Tunafuata falsafa ya Nyerere... Kumbe watu wa Nyerere bado wapo na wana misimamo kama Nyerere. Hongera MFA, Dr. Mahiga kwa msimamo, tusikubali kuyumbishwa
duh...!.
Usiwashangae, it's true!. JPM ameleta maendeleo makubwa sana!. JNHPP, SGR, Fly Overs, Kuhamia Dodoma, the list goes on... Oktoba 28 ni mashindano kati ya Reality vs Ahadi Hewa? Je, Watanzania watachagua nini kati ya visible, tangible Deliverables vs The Empty Promises?
P
Uchaguzi wa pili wa Magufuli kina Kinana na Kikwete walikuwa wameshaloweshwa maji, ashamchana chana Kikwete mpaka anatetemeka anatoa statement za kufafanua kauli zake za Rais anajimwambafy, na Kinana kishakimbia yuko Canada. Hawakuwa na nguvu tena ya kum sajestia nani awe Vice President.Samia alipendekezwa na kina kikwete na kinana
Magufuli unakoumiza bure kwa hili
Mkuu Falconer , kwanza naomba unikumbushe unaulizia Tembo Mweupe yupi?.Pascal, ile "white elephant project " umefika nayo wapi. Nakwambia tena, Dr. Shein wameiba 75 million dollars za mtoto wa mfalme wa Qatar ambazo zilikuwa zimeletwa kufanya miradi fulani. Ukiamini usiamini, wewe tunakujua ni kundi lako hilo.
Mtu huyo ni Rais Samia!
Nashawishika kabisa kuamini kuwa huyu Samia alichaguliwa kutokana na jinsia yake tu [kama ilivyojuwa kwa Kamala Harris…the word salad queen…kule Marekani]. Ref: Uchaguzi 2020 - Mkutano Mkuu wa CCM 2020 wamchagua John Magufuli kuwa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Amteua Samia Suluhu kuwa Mgombea Mwenza ambapo Marehemu Magufuli alisema "Nawaambia hii siri, Hussein Mwinyi nilimteua kuwa mgombea mwenza pamoja na Mama Samia (2015), lakini kwakuwa Mama Samia ni mwanamke akashinda kuwa makamu wa rais, maana huwezi kushindana na Wanawake ukashinda, wanawake wanatuzidi kwa mambo mengi, wanawake oyee."
Kamala yeye alichaguliwa na Biden kuwa mgombea mwenza kwa sababu ni mwanamke mweusi [ingawa kiuhalisia ni chotara wa Kihindi na Kijamaica].
Kamala ni mweupe kabisa. Yaani hovyo to the nth degree. Anaongeaga mashudu tu [word salads].
Hana kabisa uwezo wa kuongoza. Yeye ni kucheka cheka tu na kuongea mambo yasiyoeleweka.
Ukimwangalia Biden, unaona kabisa jamaa anapaswa awe nyumbani. Kazi ya urais wa Marekani kwa sasa haiwezi.
He is a creepy old guy. Hebu angalia hapa
Hivi alikuwa anafanya nini hapo kwa hako katoto? Na hiyo ni wiki iliyopita alipokuwa Finland baada ya kutoka Lithuania kwenye mkutano wa NATO.
Biden muda wowote anaondoka. Iwe kwa kujiuzulu, kuamua kutogombea tena muhula wa pili, au hata kufa [ingawa kifo hakina mwenyewe].
Wazo la Kamala kuja kuwa Rais wa Marekani endapo Biden ataondoka, linatisha watu wengi sana.
Haya, tuje kwa huyu wa kwetu hapa.
Huyu naye alichaguliwa kwa sababu ya identity politics tu. Ni mwanamke na ni Mzanzibari.
Kwa ninayoyaona, ni mtu asiye na uwezo wa kiuongozi ngazi ya Rais wa nchi.
Hakuchaguliwa kutokana na sifa zake za kiuongozi.
Inavyoonekana Magufuli alikuwa anataka sifa ya kuwa na mgombea wa kwanza wa CCM kumchagua mwanamke kuwa mgombea mwenza wake.
Haiwezekani kabisa kuwa Samia alichaguliwa kutokana na sifa zake kiutendaji [kwa sababu hana].
Jahazi limeshamshinda hivi sasa. Kabaki kutoa vitisho na kutumia dola kukabiliana na wanaompinga.
Na ukiongeza na inferiority complex aliyonayo kutokana na jinsia yake, ndo kabisa anakuwa paranoid kwamba kila anayempinga, anafanya hivyo kwa kusukumwa na chuki dhidi yake kwa sababu yeye ni mwanamke!
Rais Magufuli hakuwa kiongozi mzuri. Nilishasema mara nyingi tu kuwa yeye alikuwa msimamizi/ mnyapara mzuri.
Yeye mpe kazi au mradi ausimamie, halafu umpe mamlaka ya kutosha kuweza kufanya maamuzi ndani ya ukomo fulani, utampenda maana hakuwa wa mchezo mchezo.
Sidhani kabisa kuwa Magufuli aliwaza kuhusu yeye kuishia njiani na kumwacha Samia ndo awe Rais.
Nadhani alidhani kuwa atamaliza vipindi vyote viwili na kustaafu kama walivyofanya waliomtangulia.
Lakini haikuwa hivyo. Tumeachiwa huyu Samia.
Makamu wa Rais, Dkt. Mpango, kwa mtazamo wangu, ni bora mara 100 kuliko Samia [I got bars too 😀].
Mtu huyo ni Rais Samia!
Nashawishika kabisa kuamini kuwa huyu Samia alichaguliwa kutokana na jinsia yake tu [kama ilivyojuwa kwa Kamala Harris…the word salad queen…kule Marekani]. Ref: Uchaguzi 2020 - Mkutano Mkuu wa CCM 2020 wamchagua John Magufuli kuwa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Amteua Samia Suluhu kuwa Mgombea Mwenza ambapo Marehemu Magufuli alisema "Nawaambia hii siri, Hussein Mwinyi nilimteua kuwa mgombea mwenza pamoja na Mama Samia (2015), lakini kwakuwa Mama Samia ni mwanamke akashinda kuwa makamu wa rais, maana huwezi kushindana na Wanawake ukashinda, wanawake wanatuzidi kwa mambo mengi, wanawake oyee."
Kamala yeye alichaguliwa na Biden kuwa mgombea mwenza kwa sababu ni mwanamke mweusi [ingawa kiuhalisia ni chotara wa Kihindi na Kijamaica].
Kamala ni mweupe kabisa. Yaani hovyo to the nth degree. Anaongeaga mashudu tu [word salads].
Hana kabisa uwezo wa kuongoza. Yeye ni kucheka cheka tu na kuongea mambo yasiyoeleweka.
Ukimwangalia Biden, unaona kabisa jamaa anapaswa awe nyumbani. Kazi ya urais wa Marekani kwa sasa haiwezi.
He is a creepy old guy. Hebu angalia hapa
Hivi alikuwa anafanya nini hapo kwa hako katoto? Na hiyo ni wiki iliyopita alipokuwa Finland baada ya kutoka Lithuania kwenye mkutano wa NATO.
Biden muda wowote anaondoka. Iwe kwa kujiuzulu, kuamua kutogombea tena muhula wa pili, au hata kufa [ingawa kifo hakina mwenyewe].
Wazo la Kamala kuja kuwa Rais wa Marekani endapo Biden ataondoka, linatisha watu wengi sana.
Haya, tuje kwa huyu wa kwetu hapa.
Huyu naye alichaguliwa kwa sababu ya identity politics tu. Ni mwanamke na ni Mzanzibari.
Kwa ninayoyaona, ni mtu asiye na uwezo wa kiuongozi ngazi ya Rais wa nchi.
Hakuchaguliwa kutokana na sifa zake za kiuongozi.
Inavyoonekana Magufuli alikuwa anataka sifa ya kuwa na mgombea wa kwanza wa CCM kumchagua mwanamke kuwa mgombea mwenza wake.
Haiwezekani kabisa kuwa Samia alichaguliwa kutokana na sifa zake kiutendaji [kwa sababu hana].
Jahazi limeshamshinda hivi sasa. Kabaki kutoa vitisho na kutumia dola kukabiliana na wanaompinga.
Na ukiongeza na inferiority complex aliyonayo kutokana na jinsia yake, ndo kabisa anakuwa paranoid kwamba kila anayempinga, anafanya hivyo kwa kusukumwa na chuki dhidi yake kwa sababu yeye ni mwanamke!
Rais Magufuli hakuwa kiongozi mzuri. Nilishasema mara nyingi tu kuwa yeye alikuwa msimamizi/ mnyapara mzuri.
Yeye mpe kazi au mradi ausimamie, halafu umpe mamlaka ya kutosha kuweza kufanya maamuzi ndani ya ukomo fulani, utampenda maana hakuwa wa mchezo mchezo.
Sidhani kabisa kuwa Magufuli aliwaza kuhusu yeye kuishia njiani na kumwacha Samia ndo awe Rais.
Nadhani alidhani kuwa atamaliza vipindi vyote viwili na kustaafu kama walivyofanya waliomtangulia.
Lakini haikuwa hivyo. Tumeachiwa huyu Samia.
Makamu wa Rais, Dkt. Mpango, kwa mtazamo wangu, ni bora mara 100 kuliko Samia [I got bars too 😀].
Magufuli alikuwa na vision fupi sana. Hakuwa na uwezo wa kuona hata futi mbili mbele yake.Kilichomuangusha Magufuli ni ukabila na upendeleo wa waziwazi wa kanda ya ziwa. Magufuli alijaza watu serikalini kwa kigezo cha kanda ya ziwa na sio sifa zinazostahili. Aliwajaza TISS mpaka wakakosa ufanisi akaomba misaada wa Tolu kumlinda. Cha kushangaza hao hao aliowapa nafasi ndio waliommaliza. Mipango yake angetaka itumie angeweza malengo ya muda mrefu. Ukabila ndio umefuta ubora wa Magufuli kwa mtazamo wangu. Hata ukiangalia SGR ingekuwa DAR mpaka TUNDUMA huo hela tungeirudisha mapema asubuhi. Ujenzi wa uwanja mkubwa wa kimataifa Chato tumepoteza pesa nyingi sana. Na kama ukifuatilia Mama anapita kule mule alikopita Magu. Maana Magu ndiye aliyeanzisha kusema rais katoa hela kwa ajili ya hiki na hiki. Mama naye ameanza wavaa makobazi kama Magu alivyokaza wasukuma. Mama ameipa Kizimkazi na Waarabu kipaumbele kama Magu alivyoipa Chato na Rwanda kipaumbele. Kwa hiyo mama katembea mule mule.
Duuh......kweli waliomteua nao wametuachia balaaMagufuli hakumchaguwa wala kumteua Samia Suluhu. Aristocrats wa CCM ndiyo walimteuwa hata magufuli.
Magufuli katika mfumo wa Tanzania hakuwa na ubavu wa kumchaguwa au kumteua yeyote.
Hahaha daahKilichomuangusha Magufuli ni ukabila na upendeleo wa waziwazi wa kanda ya ziwa.
Rais bora kabisa Tanzania kuwahi kutojea ni Kikwete, anaemfatia kwa karibu kabisa ni Mama Samia, tena kwa mwendo kasi wa mama Samia atam_overtake Kikwete, kama bado.Duuh......kweli waliomteua nao wametuachia balaa
Waliomweka na Mama nao sio siku nyingi watajutaRais bora kabisa Tanzania kuwahi kutojea ni Kikwete, anaemfatia kwa karibu kabisa ni Mama Samia, tena kwa mwendo kasi wa mama Samia atam_overtake Kikwete, kama bado.
Waliomweka mwendazake wanajuta.
Acha unafiki wewe bibiMagufuli hakumchaguwa wala kumteua Samia Suluhu. Aristocrats wa CCM ndiyo walimteuwa hata magufuli.
Magufuli katika mfumo wa Tanzania hakuwa na ubavu wa kumchaguwa au kumteua yeyote.
Nimegundua siasa za bongo zimejaa ukabila na udini...nimeliona sasa wakati akina Faiza Foxy wakichukia matendo ya Dr Magufuli lakini wanafurahia Matendo ya Dr Samia ambayo kimsingi ni yale yale.Kilichomuangusha Magufuli ni ukabila na upendeleo wa waziwazi wa kanda ya ziwa. Magufuli alijaza watu serikalini kwa kigezo cha kanda ya ziwa na sio sifa zinazostahili. Aliwajaza TISS mpaka wakakosa ufanisi akaomba misaada wa Tolu kumlinda. Cha kushangaza hao hao aliowapa nafasi ndio waliommaliza. Mipango yake angetaka itumie angeweza malengo ya muda mrefu. Ukabila ndio umefuta ubora wa Magufuli kwa mtazamo wangu. Hata ukiangalia SGR ingekuwa DAR mpaka TUNDUMA huo hela tungeirudisha mapema asubuhi. Ujenzi wa uwanja mkubwa wa kimataifa Chato tumepoteza pesa nyingi sana. Na kama ukifuatilia Mama anapita kule mule alikopita Magu. Maana Magu ndiye aliyeanzisha kusema rais katoa hela kwa ajili ya hiki na hiki. Mama naye ameanza wavaa makobazi kama Magu alivyokaza wasukuma. Mama ameipa Kizimkazi na Waarabu kipaumbele kama Magu alivyoipa Chato na Rwanda kipaumbele. Kwa hiyo mama katembea mule mule.