Hayati Magufuli alikuja kuharibu maisha ya vijana, Mimi ni mmoja wa wahanga

Kwani awamu hii ajira ni kipaumbele?
 
Kuna sababu ya kuwa na career advices walau kila shule yenye A Level students na universities.

Na umuhimu wa kufundisha entrepreneurship module universities kwenye kila degree sambamba na fursa za kozi usika katika kujiajiri.

Kuna mada unasoma kama wewe ni katibu mkuu wizara ya elimu na mwanasiasa unaona huu sio mtazamo sahihi kwa wahitimu.

Yaani mtu anamaliza chuo na kudhania ni jukumu la serikali kumuajiri au kulegeza qualification criteria’s ili abaingize sector nyingine.

Kama ndio wanafunzi wanamaliza chuo na mtazamo huo; hawa watoto awaandaliwi vizuri kupambana na maisha.

Inabidi kuwe na career advice za kuwaambia ukweli kabla ya kwenda kusoma degrees zao realistic chances za kuajiriwa kwenye job market baadae ili wanafunzi wachague masomo yanayoongeza fursa za kupata ajira; sio kusukumwa na goals ambazo ni ngumu baadae.

Huo mtazamo wa mleta mada unasikitisha sana kama vijana wanaenda shule na kutegemea wakimaliza serikali iwaajiri; ni Tanzania tu inawezekana watu ndio wanafikiria ivyo.

On a serious note wahusika inabidi wanadili hiyo social attitude; serikali aina guarantee ya kukuajiri ukishahitimu ipo ivyo duniani kote sio Tanzania tu. Hakikisha unachukua masomo ambayo chances za kupata ajira private ni kubwa au skills unazopata unaweza jiajiri.
 
Na hii Mentality ndo inawafanya ht wakiajiriwa wasione fursa nyingine waishie kulalamika mishahara midogo au mishahara haijapanda.
 
Na hii Mentality ndo inawafanya ht wakiajiriwa wasione fursa nyingine waishie kulalamika mishahara midogo au mishahara haijapanda.
Kwa kweli inasikitisha kama huo ndio mtazamo wa maisha; yaani mtu ana plan moja tu. Ikibuma hajui afanye nini.

Hawa jamaa inabidi waweke desk la career advice mashuleni vijana wawe na uelewa wa realistic goals za maisha yao ya baadae.
 
Kaniharibia kiasi fulani mpaka... nikachelewa kuajiriwa nikachelewa kuoa nikachelewa kufikia/kutimiza malengo yangu

Lakini hatahivyo, nimepata ajira kwenye utawala wake!
JE UNADHANI SAMIA ATAENDELEA KUAJILI KILA MWAKA GRADUATES KAMA ALIVYOFANYA SASA?
 
huku ajira na nyongeza za watumishi zikiendelea?
Tatizo liko hapo! Nchi hii ni masikini na hamtaki kuuishi huo ukweli! Msoga aliwadanganya na sasa mnaendeleza hiyo legacy yake.

Miaka 10 ya msoga mlipokuwa mnajichotea mapesa, hayo hayakuwa maisha ya mtu binafsi, walafi na washenzi walioi-paralyse nchi? Mlipiga hatua gani? Nchi ikiwa na mpaka waajiriwa hewa na mishahara yao!

Mwaka 2022, karne ya 21 ishaanza kuzeeka, unazungumzia kufanya project moja at a time? Kweli? Unafahamu kuwa Mtanzania mmoja mmoja ameficha pesa kiasi gani nje ya nchi? Ulisikia mtumishi mmoja wa nchi hii akiwa na zaidi ya 3trillion hapo SA tu? Zingetosha kufanya project ngapi?

Ulimsikia Ngoi akisema mwananchi mmoja muajiriwa wa serikali akiwa na zaidi ya apartment 200 UK huko? Alizipataje?

Unashangaa nchi kufanya project nyingi kwa wakati mmoja?

Ukilipwa mshahara wako halali na stahiki zote, ukaambiwa uishi kwa uwezo huo, unaanza kulia lia kuwa wamekata safari, vikao, OC, wamebana mianya, increment(tena hapa hoja inakuwa ni miaka na si output yako)n.k wakiachia mle kwa urefu wa kamba zenu, mnaibuka mkiwa mmelewa kwamba hayo ndo maisha!

Ukiwa mbinafsi na mlafi, maisha ya bongo movie ndio linakuwa chaguo la mtu! Maisha haya sio halisi, tuishi kwenye uhalisia ili kila mtu achukie umaskini kwanza.
 
Shuzi mmoja alisikika akisema
 
Kwaiyo unatakaje mkuu au kavipi jamaa afukuliwe aongezewe marefu na mapana ya kaburi na azikwe tena
 
Kaniharibia kiasi fulani mpaka... nikachelewa kuajiriwa nikachelewa kuoa nikachelewa kufikia/kutimiza malengo yangu

Lakini hatahivyo, nimepata ajira kwenye utawala wake!
u were so lucky, binafsi aliniharibia sana
 
Mkuu nakuunga mkono kwa 100%. Ingawa Magu alikuwa kiongozi dhalimu ila vijana nao ni wapuuzi mno. Wanafikiria kiwepesi sana na hawashauriki. Mimi nafanya biashara na vijana wengi huwa wananifuata kuomba ushauri ila nilichogundua wengi huwa wanaanzisha biashara ili kupata tu sifa kwa marafiki zao na miezi michache baadae biashara hufa. Pia wale wanaoomba ajira huwa wanazikosa sana kwa kutanguliza swali "Mshahara Tsh ngapi?"....
 
Wewe ni Diaspora?
Hapana, ingekuwa ni kipaumbele kweli.
Nilitarajia kuona kama enzi za Kikwete.

Sasa ajira zenyewe za Elimu na Afya zilitangazwa hata hazifiki 20k kwa mwaka. Afu uniambie kuna kipaumbele hapo.
Hapo big no.
 

Mm nadhan ni Bora kuheshimu na kudhamini mchango wa magu hata kama haujakugusa moja Kwa moja

Hakuna Rais ambae tafanya kila Jambo Kwa kuwagusa watu wote milion 45!

Jk alifanya mema na yahovyo, Magu alifanya mema na yahovyo, mama nae atafanya mema na ya hovyo!

Hata ww kwenye family yako, unafanya mema na yahovyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…