Hayati Magufuli alikuja kuharibu maisha ya vijana, Mimi ni mmoja wa wahanga

Hayati Magufuli alikuja kuharibu maisha ya vijana, Mimi ni mmoja wa wahanga

Alikuwa na roho mbaya, vijana wote waliomaliza vyuo 2015 aliwatumbukiza kwenye janga la kukosa ajira.

Hivi daktari au mwalimu anakosaje ajira wakati shule nyingi na hospitali hadi leo wafanyakazi hawatoshi ,shule ina wanafunzi 500+ waalimu wako 6 halafu ajira hamna.

Jamaa alikuwa mfalme Juha.
 
aisee jiwe alirundika vijana miaka Mitano , hao unawatoaje sasa hv , ni aibu kubwa kijana aliyemaliza 2015 anacompete Ajira na kijana aliyemaliza 2021 ....

Mimi nashauri vijana wote waliomaliza vyuo vya elimu juu, ufundi stadi, VETA wapewe pasipoti kubwa ya kusafiri nje bila masharti yoyote, wazewe kwenda ughaibuni.

Every United States citizen is entitled to a U.S. passport provided that they, or an adult acting on a child’s behalf, comply with all applicable requirements, and that there is no statutory or regulatory reason to deny the passport .. more : source : Fact Sheet on Passports for Judges and Lawyers


More links :
https://www.tcu.go.tz/?q=content/higher-education-statistics,


 
Mimi nashauri vijana wote waliomaliza vyuo vya elimu wapewe pasipoti kubwa ya kusafiri nje bila masharti yoyote, wazewe kwenda ughaibuni.


Every United States citizen is entitled to a U.S. passport provided that they, or an adult acting on a child’s behalf, comply with all applicable requirements, and that there is no statutory or regulatory reason to deny the passport .. more : source : Fact Sheet on Passports for Judges and Lawyers
Passport penyewe ukiritimba kibao tofaut na Kenya au Nigeria madogo wanatoboka sana, nchi yetu inaongozwa na watu wenye failure mind, unawafungia vijana ndani, no Ajira zenu unawashauri wakalime, what a fucking shit, wakijarbu kujichanga na gambling za nje wanajikuta PayPal ipo closed....!!
 
Passport penyewe ukiritimba kibao tofaut na Kenya au Nigeria madogo wanatoboka sana , nchi yetu inaongozwa na watu wenye failure mind , unawafungia vijana ndani , no Ajira zen unawashauri wakalime , what a fucking shit , wakijarbu kujichanga na gambling za nje wanajikuta PayPal ipo closed ....!!

Nchi inadaiwa imefuguka basi ifunguke kweli kweli ili kijana welder aende na cheti chake Qatar au Norway akachomee mabomba ya gesi , dereva aliye hitimu VETA / NIT aende Alaska au Australia akaendeshe malori, mwalimu aende Seychelles n.k, daktari Namibia, RSA , Botswana, pharmacist UAE, mchunga ngombe aende Australia akawe cowboy huko, chuo cha uvuvi Mbegani Bagamoyo aende Canada ktk chombo cha uvuvi huko ndiko kufungua fursa kwa wote wenye mitaji ya fedha au ujuzi kupitia mafunzo mbalimbali

FETA MBEGANI BAGAMOYO

 
Is it truth, he is no more ?
And will not come again ?

Magufuri was a deadly viruses. Thank God our creature. Without Jesus Christ. Magufuli wanted to kill all of us who disagreed within him.
Marais waliotangulia karibia watu wote walihuzunika ila kifo ya huyu jamaa kuna watu walikesha baa na kuchoma mbuzi.
 
UVUVI WA BAHARI KUU , VIJANA WAKIENDA NJE BAADAYE WATALETA MAPINDUZI KTK SEKTA WAKIRUDI

 
WACHOMA VYUMA WELDER WENYE VYETI VYA VETA WAPEWE PASSPORT WATIMKIE CANADA



These pipeline welding images are of jobs from across USA and Canada. And these are the men and women who are out there day after day, in all types of weather, building oil and gas pipelines in this great country
 
Alikuwa na roho mbaya,vijana wote waliomaliza vyuo 2015 aliwatumbukiza kwenye janga la kukosa ajira.

Hivi daktari au mwalimu anakosaje ajira wakati shule nyingi na hospitali hadi leo wafanyakazi hawatoshi ,shule ina wanafunzi 500+ waalimu wako 6 halafu ajira hamna.

Jamaa alikuwa mfalme Juha .
Kuanzia mwaka 2000 mpaka sasa, vyuo vikuu vyote nchini vinatoa jumla ya graduates wangapi kwa mwaka?

Batch iliyoajiriwa na Mkapa au Kikwete wakiwa na miaka 25, watakuwa wameshastaafu, declared incapacity au wamekufa by 2015?

Uwezo wa nchi kuhudumia mishahara ya hawa waajiriwa ukoje? Pato la nchi linakuwa?

Wakati wanamsulubisha Ulimboka, JK alisema kuna watumishi wa umma wapatao 400,000. Jumla ya watumishi wote wa serikali na binafsi ni ngapi?

Kama uchumi wa nchi umesimama pale pale au unazidi kushuka, umri wa watu kufanya kazi ni takribani maiak 36 kabla hujastaafu, utakuwa unaajiri wahitimu wote kila mwaka ili kuondoa lawama za raia ilhali waliopo tu hawana tija kwa taifa, uchumi haukui na bado WANADAI NYONGEZA based on number of years worked?

Tukumbuke sisi ni nchi fukara masikini, ukiniambia Marekani sijui Ulaya, hutakuwa realistic. Wao walikuwa kiuchumi baada ya kuvamia wengine na kuwapora na kufanya biashara haramu.

Wengi wanatoka nje ya mipaka yao kwenda kutafuta maisha tofauti na sisi; mwalimu alalamike kuhusu ajira, daktari pia, mhandisi hata wa mitambo pia alalmike, dereva kadhalika n.k

Nigerians wamesambaa, Indians, Europeans, Kenyans wanasambaa. Na hawa wote wanawekeza nyumbani wakipata huko. Sisi utasikia wanaiba serikalini, wanawekeza Texas, Houston, London, wakiwa waungwana saaaana, wataweka hapo SA, zinaajiri wazawa kule, huku wana lia lia.

Karibu kwa mjadala/majibu.
 
Kuanzia mwaka 2000 mpaka sasa, vyuo vikuu vyote nchini vinatoa jumla ya graduates wangapi kwa mwaka?

Batch iliyoajiriwa na Mkapa au Kikwete wakiwa na miaka 25, watakuwa wameshastaafu, declared incapacity au wamekufa by 2015?

Uwezo wa nchi kuhudumia mishahara ya hawa waajiriwa ukoje? Pato la nchi linakuwa?

Wakati wanamsulubisha Ulimboka, JK alisema kuna watumishi wa umma wapatao 400,000. Jumla ya watumishi wote wa serikali na binafsi ni ngapi?

Kama uchumi wa nchi umesimama pale pale au unazidi kushuka, umri wa watu kufanya kazi ni takribani maiak 36 kabla hujastaafu, utakuwa unaajiri wahitimu wote kila mwaka ili kuondoa lawama za raia ilhali waliopo tu hawana tija kwa taifa, uchumi haukui na bado WANADAI NYONGEZA based on number of years worked?

Tukumbuke sisi ni nchi fukara masikini, ukiniambia Marekani sijui Ulaya, hutakuwa realistic. Wao walikuwa kiuchumi baada ya kuvamia wengine na kuwapora na kufanya biashara haramu.

Wengi wanatoka nje ya mipaka yao kwenda kutafuta maisha tofauti na sisi; mwalimu alalamike kuhusu ajira, daktari pia, mhandisi hata wa mitambo pia alalmike, dereva kadhalika n.k

Nigerians wamesambaa, Indians, Europeans, Kenyans wanasambaa. Na hawa wote wanawekeza nyumbani wakipata huko. Sisi utasikia wanaiba serikalini, wanawekeza Texas, Houston, London, wakiwa waungwana saaaana, wataweka hapo SA, zinaajiri wazawa kule, huku wana lia lia.

Karibu kwa mjadala/majibu.
Kipindi cha kikwete kulikuwa na graduates wengi kwa mkupuo, kumbuka UDOM ilianza kipindi cha kwanza cha Kikwete na ilikuwa kama chuo cha kata maana walikuwa wengi mno ,lakini mbali na hivo ajira zilikwepo,inakwaje JPM asimamishe kuajiri graduates wote miaka 4, ajira iliyotoka haizidi hata 2% , bado vyeti feki kibao walitolewa na nafasi zao wala hazijazwa, JPM alikuwa muhuni wa ajabu na roho mbaya.
 
kipindi cha kikwete kulikuwa na graduates wengi kwa mkupuo,kumbuka UDOM ilianza kipindi cha kwanza cha kikwete na ilikuwa kama chuo cha kata maana walikuwa wengi mno ,lakini mbali na hivo ajira zilikwepo,inakwaje JPM asimamishe kuajiri graduates wote miaka 4 ,ajira iliyotoka haizidi hata 2% , bado vyeti feki kibao walitolewa na nafasi zao wala hazijazwa,JPM alikuwa muhuni wa ajabu na roho mbaya
Mkapa hakuajiri?

Maswali yaliyomo kwenye andiko langu, kama utataka kuyajibu, tunaweza kujua ukweli wa mambo.

Ukijibu hivyo, maana yake unataka kusikia yale yakupendazayo bila kujali uhalisia na ukweli wake.

Nchi ina uwezo huo? Inahitaji waajiriwa kwa kiasi hicho? Waliopo, wanalingana na uzalishaji na huduma watoazo?

Wewe ukiwa na biashara, utafanya kwa mtindo huo? Mnapotaka wawekezaji, wao wanaajili kwa mtindo huo?

Wawekezaji, kazi za watu 4 mpaka 6 serikalini zinafanywa na mtu mmoja, hii inatengeneza ajira?
 
DMTI



In 2021 I spent 65 days sailing on a bulk carrier. The ship brought US Food Aid from Houston Texas to Djibouti Africa
 
Vijana wa late 90's and 2000s laini laini sana, lazma mtafte wa kumpa lawama...

Mnapaswa mjue serikali haiwezi ajiri graduates wote, now mama kaaajiri next yr hawezi kuajiri tena the same amount of people maana nafasi zipo covered...
bomu la ajira halikuanza na JPM ni vile tu mmepata wa kumshushia lawama, Mzee Edo aliliongea sana kwenye kampeni 2015, JPM angewaajiri Nyote wapi mkafanye kazi wapi?

JPM kajenga miundo mbinu ya afya now mama hapati shida pa kuwapeleka.

Mi mkongwe, nimemaiza Chuo enzi za Mkwere sugua sana soli na bahasha yangu ya khaki, mtaani wananicheka sana nimeliza chuo na nnazurura tuna mtaani(Mama Davi Mungu akulipe popote ulipo, sijaisahau kampeni yako), mwisho nikaona nikielemaa ntakuja kufa njaa na dharau zitazidi,potelea mbali nikaamua kuingia kwa Muhindi salary 300k per month na Jiwe langu la Udsm.

2017 Dogo kamaliza Mzumbe akaanza kuchagua kazi namuangalia tu, mwaka umekatatika nikawambia inatosha, twende kwa Muhindi wangu upate pa kuanzia kila mtu ajijue mpango wake. So far he is doing great.

Moral of the story, no one will put food on silver plate for you to just eat...stop complaining go out there and take what is yours...
 
kipindi cha kikwete kulikuwa na graduates wengi kwa mkupuo,kumbuka UDOM ilianza kipindi cha kwanza cha kikwete na ilikuwa kama chuo cha kata maana walikuwa wengi mno ,lakini mbali na hivo ajira zilikwepo,inakwaje JPM asimamishe kuajiri graduates wote miaka 4 ,ajira iliyotoka haizidi hata 2% , bado vyeti feki kibao walitolewa na nafasi zao wala hazijazwa,JPM alikuwa muhuni wa ajabu na roho mbaya
Ni Sera ilibadilika.
Tena ilibadilikia kwa Kikwete.
 
Sio wewe pekee wapo vijana wengi wameharibiwa future kwa kigezo fursa Machinga! Kitambulisho 20,000 fanya kazi popote, tembea kifua mbele!
Wapo vijana walihamia posta, Kariakoo na kwingineko ktk miji mikubwa!
Mtaji hata wa 30,000 tayari mjasiliamali anaweza ishi popote
Nguvu kazi ikahama vijijini, na miji midogo
Mfumo wa maisha kwa vijana wengi ukabadilika kwamba anamudu kuishi popote kwa garama ndogo Sana!
Kwa garama ndogo ataweza kula akiwa posta, Kariakoo say 5000, Milo yote, kinywaji na burudani( wadada poa kuanzia 500,1000....Kisha burudani Mpira 500 kumaliza siku.
Wadada pia mtaji wa 10,000 anaweza kuingia ofisi yeyote na kupata fursa kuonana na wadau Contact zilizopelekea kuwapa kiburi kuvunja miji yao!!!
 
Back
Top Bottom