Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Mwalimu hakufanya huo ufisadi.Jomba sasa sijui umeandika nini uozo Mtupu. ..hayo yote unayoyasema mbona sio mambo binafsi jomba...nilifikiri yanahusu familia yake kumbe yanahusu jamii au wananchi. Sasa unataka kutuambia hapa wale wananchi wooote wanaoishi maeneo ya kule hawana haki ya kupata uwanja wa ndege benki madaraja mifugo n.k utakuwa mwehu...au labda unadhani wananchi wanaoishi maeneo yale ni wenyeji wa Chato au mwanza pekee.unaumwa wewe. Kule wapo wakwele wahaya wazaramu wanyakyusa wangoni n.kk
Mtajitahidi sana kumchafua JPM... Hachafuki R. I. P JPM 🙏Hivi kila mtu akisemacho kwa mbaya wako huwa unakiamini na kukikomalia? Tunajua mlimchukia JPM.
Jomba hivi unapoishi hapo huna uhuru wa kuishi. ..aiseee. ..ni wapi unakaa. ..basi kama mtu mmoja wawili hata kumi mnakaa sehemu hatarishi haina impact out of 60milion people..its negligible we dont even need to botherHayo yote ni mambo mazuri sana anastahili pongezi
, Lakini haki na uhuru wa mtu hata mmoja kuishi una thamani kuliko hayo yote, chachu kidogo huharibu donge zima
MATAGA kila siku tulikuwa tunawaambia kuwa Marehemu Dikteta Jiwe ni Jambazi mkawanatubishiaKulingana na tunayosikia katika utetezi wa Ole Sabaya huko Arusha, ati alikuwa akiagizwa kufanya vitendo vya kihalifu na Rais Magufuli.
Kama itathibitishwa kuwa ni kweli basi hili linatoa picha ya uvunjifu mkubwa wa sheria uliokuwa ukitekelezwa na Magufuli katika Awamu yake.
Kuna minong'ono mingi ya uhalifu uliofanywa Awamu ya Tano kwa maelekezo "toka juu".
Huyu mwenye kizazi cha vichaa nimempata, pamoja na hela zote ameshindwa kuwatibu wajukuu.Unyama, Ukatili na ufedhuli waliofanyiwa Wafanyabiashara wenye asili ya kiasia na Mashariki ya kati waliopo Dar haujawahi kufanyika kabisa
Watu walirudi kwenye 'Mkeka' wakashtaki kwa Hakimu asie na upendeleo na Majibu yakatoka kwa wakati
1983 ilipita dhulma mbaya sana watu wakavamiwa mjini wakaporwa mali zao fedha zao kwa kigezo cha uhujumu uchumi, watu walirudi kwenye 'Mkeka' wakalia kwa Mtenda haki Mkuu …less than 12 months later ajali ikatokea 'Goli likasawazishwa'
Tuache Dhulma…dhulma ni mbaya sana inaangamiza hadi kizazi…
kuna Mwingine kizazi chake kimejaa Vichaa kwa sababu ya dhulma aliyowafanyia watu…
kuna mwingine alikuwa Mwamba kichizi kuonea watu akitamba chezea Ndevu usichezee Serikali lakin leo hii hata choo cha chumbani kwake hawezi kukalia sink bila ya kushikwa Mkono na kukalishwa
Mafundisho ya kiislam yanatufundisha Dhambi ya Dhulma toba yake inaanza kwa kutaka msamaha kwa uliemdhulumu kabla ya kuomba kwa Mola wake, imagine umedhulumu uhai wa mtu hapo unamuombaje msamaha
Tunangojea akina Makonda, Gambo, na wasiojulikana wenzaoKulingana na tunayosikia katika utetezi wa Ole Sabaya huko Arusha, ati alikuwa akiagizwa kufanya vitendo vya kihalifu na Rais Magufuli.
Kama itathibitishwa kuwa ni kweli basi hili linatoa picha ya uvunjifu mkubwa wa sheria uliokuwa ukitekelezwa na Magufuli katika Awamu yake.
Kuna minong'ono mingi ya uhalifu uliofanywa Awamu ya Tano kwa maelekezo "toka juu".
Hivi wewe hapo ulipo, hadi umsikie huyo mtu ndio akili yako ijuwe kwamba Magufuli alikuwa ni mvunja sheria mkubwa?Uhalifu gani alioufanya? Polisi akienda kukamata mtuhumiwa anafanya uhalifu? Hebu tusubiri mahakama ifanye kazi yake tusiwe wepesi wa kuhukumu masuala tusiyoyajua kwa kufuata mkumbo. Ndo yale yale mtu anatuhumiwa kwa ugaidi wengine wanaandamana mahakamani kupinga.
Sent from my SM-A730F using JamiiForums mobile app
Kwani sheria inakataza kuwashughulikia hawa mkuu kwa taratibu zilizopo?Hii nchi ni ngumu sana,fikiria leo hii risiti feki za efd zipo kariakoo tena wazi wazi nje ya maduka.
Zinauzwa hadi laki moja kutokana na uhitaji wako.Hapa serikali na vyombo vyake vipo na yote yanaendelea.Unatarajia wasipojitokeza watu kama Sabaya mambo yataenda kweli?
Mfanyabiashara anafanya uhuni na yeye afanyiwe hivyo aone kama ni vizuri
Kazi ipi hiyoNi mpuuzi tu anayeweza kubeza kazi ya JPM aliyoifanyia nchi hii
Umenicuanganya na wapuuzi, kwa taarifa yako JPM alikuwa na ataendelea kuwa hero kwanguMtajitahidi sana kumchafua JPM... Hachafuki R. I. P JPM 🙏
Mbona una akili ndogo.Mtajitahidi sana kumchafua JPM... Hachafuki R. I. P JPM 🙏
Watu wanasema ati tulikuwa tunaelekea kuwa Gangster Republic.Nitamkumbuka kwa wizi! Rais wa kwanza Tanzania jambazi!
alikutumbua wewe mwenye cheti feki. hili sitalisahau kabisa.Wewe unayeongozwa na masaburi tuambie utamkumbuka kwa lipi?
Sema ukweli wako utamkumbuka kwa sababu siku hizi nakupiga miti bure kwani sina kazi na sina kipato!alikutumbua wewe mwenye cheti feki. hili sitalisahau kabisa.
asee we huna kazi ni kilema?Sema ukweli wako utamkumbuka kwa sababu siku hizi nakupiga miti bure kwani sina kazi na sina kipato
Aletwe kizimbani kwa mwanadamu kwa kina siro wakati yupo kizimbani kwa MALAIKA?So itabidi aletwe kizimbani...
Wewe umedai nilifukuzwa kazi kwa kuwa na vyeti feki, sasa unashangaa nini? Halafu hivi vilema hawana kazi?asee we huna kazi ni kilema?
Kila aliyeporwa atamkumbuka kwa mabaya.Mtu anayefanya uhalifu daima anachukiwa.
Magufui alipenda sana akumbukwe kwa mema, lakini matukio kama hili la Sabaya na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa DSM Makonda n hata wengine kama kina Chalamila, alionyesha jinsi tabia yake ilivykuwa haieleweki.Kila aliyeporwa atamkumbuka kwa mabaya.