Tumia akili yako japo kwa asilimia 20 utagundua kuwa umepotoka!Jomba sasa sijui umeandika nini uozo Mtupu. ..hayo yote unayoyasema mbona sio mambo binafsi jomba...nilifikiri yanahusu familia yake kumbe yanahusu jamii au wananchi. Sasa unataka kutuambia hapa wale wananchi wooote wanaoishi maeneo ya kule hawana haki ya kupata uwanja wa ndege benki madaraja mifugo n.k utakuwa mwehu...au labda unadhani wananchi wanaoishi maeneo yale ni wenyeji wa Chato au mwanza pekee.unaumwa wewe. Kule wapo wakwele wahaya wazaramu wanyakyusa wangoni n.kk
Tutankumbuka kwa haya hapaWewe unayeongozwa na masaburi tuambie utamkumbuka kwa lipi?
Kwenda kule we we Ndio umepotokaTumia akili yako japo kwa asilimia 20 utagundua kuwa umepotoka!
Kama nimepotoka basi cheki haya aliyoyafanya Rais mzalendo WA Taifa let uTumia akili yako japo kwa asilimia 20 utagundua kuwa umepotoka!
Wewe tumia akili yako jomba walau basi asilimia 10 utagundua kituTumia akili yako japo kwa asilimia 20 utagundua kuwa umepotoka!
Wewe hujitambuiMauaji ya albino yalikomeshwa enzi za Kikwete!
Mbeya wanasemaje...?!Na waliobomolewa bila fidia Kimara je?
Mnamtetea mtu mwenye faili Mirembe?
Haha ha utamkumbuka kwa wizi huu hapa nimeorodhesha...kwa wizi huu huyo ndio alikuwa anatufaa. ...check INitamkumbuka kwa wizi! Rais wa kwanza Tanzania jambazi!
So whatMeko alikuwa na lugha chafu sana
Ni kweli alikuwa dictator katika usimamizi wa Mali ya umma na ndio maana aliweza kuyafanya haya hapaAhahahaaàaa . Kwa ubaya lakini .
Halali yao kwa kuwa haikukugusa wala jamaa zako. Yule alikuwa dictator kama madictator wengine.
So what
Shida iko wapi..kwani mavi si kila mtu anayatoa..kuyaacha nyumbani means wasije kuchafua madhari mazuri yaliyojengwa kwa ushamba wao....meseji ipo straight..kwani ungetaka asemejesMkuu wewe mtetezi wa mtu mwenye faili mirembe?
Kuna mwananchi aliambiwa aache mavi yake nyumbani, aliyesema ni Head of State!
Mrithi wake anaendeleza kazi ileileee. ..ndio maana anasema kazi iendelee...kazi ileile iendelee...upo jombaHe Is Gone [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
State-sponsored terrorismKulingana na tunayosikia katika utetezi wa Ole Sabaya huko Arusha, ati alikuwa akiagizwa kufanya vitendo vya kihalifu na Rais Magufuli.
Kama itathibitishwa kuwa ni kweli basi hili linatoa picha ya uvunjifu mkubwa wa sheria uliokuwa ukitekelezwa na Magufuli katika Awamu yake.
Kuna minong'ono mingi ya uhalifu uliofanywa Awamu ya Tano kwa maelekezo "toka juu".
Shida iko wapi..kwani mavi si kila mtu anayatoa..kuyaacha nyumbani means wasije kuchafua madhari mazuri yaliyojengwa kwa ushamba wao....meseji ipo straight..kwani ungetaka asemejes
Mrithi wake anaendeleza kazi ileileee. ..ndio maana anasema kazi iendelee...kazi ileile iendelee...upo jomba
Watu wakaribu wanasema ni kweli jamaa alikuwa anaongea na jamaa direct kwa simu tena loud speaker , wewe ni nani unabisha?Polisi, TAKUKURU, TRA wana kazi gani?
Rais amtume DC, tena nje ya Wilaya yake wakati ana vyombo vya kisheria?
Kuna namna hapo.
Huna lolote . Kila Rais aliyepita aliyafanya yaliompasa na hawakuwadhihaki wananchi kwa kuwa wameyafanya. Na hawakuwahi kuwapoteza wananchi kupitia wasiojulikana kwa kuwa tu wanafanyiwa hayo.Ni kweli alikuwa dictator katika usimamizi wa Mali ya umma na ndio maana aliweza kuyafanya haya hapa
Tutamkumbuka kwa haya hapa
1)aliweza kununua midege 11 ndani ya miaka 5
2)ameweza kujenga meli kubwa Lila Zima
3)ameweza kujenga vivuko vikubwa zaidi ya 10 kila eneo lenye shiva
4)ameweza kuongeza bajeti ya afya kufikia bilion 260 kwa mwaka kutoka bilion 20
5)ameweza kuongeza bajeti ya mikopo ya elimu ya juu kufikia bilioni 250 kutoka bilioni 30 kwa mwaka
6)ameweza kuondoa watumishi hewa zaidi ya 50000..watumishi
7)ameweza kubaini vyeti feki zaidi ya 30000 watumishi
8) amejenga mabarabara lukuki ma flyovers kupanua barabara nyingi kwa mbinu zake mfano Morocco mwenge
9)ameweza kuleta nidhamu ya Hali ya juu katika utumishi WA Uma.
10)amepambana na mafisadi na wakwepa kodi na walinyooka. .Hao Sasa waliishi kama mashetani tu. Na wanyonge SAS waliishi kama malaika peponi
11)upande WA madini Ndio usiseme. .Tanzanite ukuta ukajengwa Mere rani
12)Gold na mengineyo mikataba ikafungwa na kutngenezwa upya kwa faida ya wote. .win win situation
13)mabepari wale WA madini walinywea na ku bow down kwa JPM
14) elimu Bure primary to secondary
15) ujenzi wa viwanja vya ndege lukuki
16)ujenzi wa madaraja makubwa kama Kigongo Busisi
17)kuanzisha hifadhi ya Chato
18)kuanzisha ujenzi wa bwawa kubwa la umeme la mwalimu Nyerere
19)ujenzi wa vituo vikubwa vya mabasi ya abiria kama cha Magufuli Mbezi na kile cha dodoma cha jina la Spika Job Ndugae
20)kuanzisha vituo vya kununua madini nchi nzima ili kusimamia mapato
21)hivi ni wapi hakugusa. ..taja mengine meeeengi mnayajua aliyofanya monster huyu mzalendo. .na alikuwa akisaidiwa na mama Samia. .laolilikuwa Moja. So msimchukulie poa mama oooooh. ...
Wakati mnaongea tafadhali muwe mnatukumbusha na mazuri haya ambayo ameyafanya. .na nikwambie watanzania walimkubali asilimia 95...na itikadi yake JPM tayari ipo katika mioyo ya watanzania wote karibu. .na wanamkumbuka sana...kuifuta hiyo sio leo jomba. Na wewe huwajui watanzania vizuri. ..
Karibu mkuu, anayeingia kwetu huku kichwa kichwa huwa hatoki.Wewe hata avater yako inaonesha una abnormality. Subiri atoke nitakutafuta.
Hayo yote ni mambo mazuri sana anastahili pongeziTutankumbuka kwa haya hapa
1)aliweza kununua midege 11 ndani ya miaka 5
2)ameweza kujenga meli kubwa Lila Zima
3)ameweza kujenga vivuko vikubwa zaidi ya 10 kila eneo lenye shiva
4)ameweza kuongeza bajeti ya afya kufikia bilion 260 kwa mwaka kutoka bilion 20
5)ameweza kuongeza bajeti ya mikopo ya elimu ya juu kufikia bilioni 250 kutoka bilioni 30 kwa mwaka
6)ameweza kuondoa watumishi hewa zaidi ya 50000..watumishi
7)ameweza kubaini vyeti feki zaidi ya 30000 watumishi
8) amejenga mabarabara lukuki ma flyovers kupanua barabara nyingi kwa mbinu zake mfano Morocco mwenge
9)ameweza kuleta nidhamu ya Hali ya juu katika utumishi WA Uma.
10)amepambana na mafisadi na wakwepa kodi na walinyooka. .Hao Sasa waliishi kama mashetani tu. Na wanyonge SAS waliishi kama malaika peponi
11)upande WA madini Ndio usiseme. .Tanzanite ukuta ukajengwa Mere rani
12)Gold na mengineyo mikataba ikafungwa na kutngenezwa upya kwa faida ya wote. .win win situation
13)mabepari wale WA madini walinywea na ku bow down kwa JPM
14) elimu Bure primary to secondary
15) ujenzi wa viwanja vya ndege lukuki
16)ujenzi wa madaraja makubwa kama Kigongo Busisi
17)kuanzisha hifadhi ya Chato
18)kuanzisha ujenzi wa bwawa kubwa la umeme la mwalimu Nyerere
19)ujenzi wa vituo vikubwa vya mabasi ya abiria kama cha Magufuli Mbezi na kile cha dodoma cha jina la Spika Job Ndugae
20)kuanzisha vituo vya kununua madini nchi nzima ili kusimamia mapato
21)hivi ni wapi hakugusa. ..taja mengine meeeengi mnayajua aliyofanya monster huyu mzalendo. .na alikuwa akisaidiwa na mama Samia. .laolilikuwa Moja. So msimchukulie poa mama oooooh. ...
Wakati mnaongea tafadhali muwe mnatukumbusha na mazuri haya ambayo ameyafanya. .na nikwambie watanzania walimkubali asilimia 95...na itikadi yake JPM tayari ipo katika mioyo ya watanzania wote karibu. .na wanamkumbuka sana...kuifuta hiyo sio leo jomba. Na wewe huwajui watanzania vizuri. ..