Hayati Magufuli alikuwa amkimheshimu sana John Mnyika akimuona ni kijana smart sana

Nafikir tayari jamaa washaanza kupatiwa pesa. Humuoni Mbowe, Zito and Co wakipiga kelele.

Nina muda sijakuona hapa jukwaani toka dhalimu aelekee kuzimu. Halafu umerudi na kujiingiza kwenye siasa za kitoto hapo hapo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…