Hayati Magufuli alikuwa na uelewa mdogo wa masuala ya dini, asilaumiwe

Usisahau kumalizia kwa kusema hayo ni maoni yako
 
Your browser is not able to display this video.
 
Siyo Magu tu hakuwa na uelewa wa dini hata wewe hujui hata chembe, Afrika tuko sehemu mbaya sana ya kupokea kilakitu cha kigeni, ndiyo maana rafiki yake Nyerere baba wa taifa Mazedong au Maisetun yeye alifanya operesheni ya kinyama na ya kikatili haijawai kuonekana dunia ya kubomoa makanisa yote na na misikiti akisema kuondoa dini za kipagani nchini na wote tunaona wanabarikiwa na Mungu.
Acha kutaja dini mpaka tutakapotolewa utumwani ndiyo utaelewa.
 
Shida alikuwa much know,

Kujifanya kujua kila kitu, au kufanya kila kitu,.

Makinikia yeye
Korosha yeye
Wanafunzi wenye mimba yeye
Mungu yeye
Media yeye
Jeshi yeye
Bunge yeye

Hapo ndio tatizo lilipoanzia
... jack of all, master of nothing!
πŸ˜…πŸŽ―
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…