Nyankurungu2020 JF-Expert Member Joined Oct 2, 2020 Posts 4,170 Reaction score 6,757 Oct 30, 2022 #1 Barabara alizosimamia zinasaidia kila sekta ya uchumi hapa nchini. Hospital, Zahanati na Mashule aliyojenga yanawasaidia watanzania kujenga uchumi. Misingi ya kusimamia rasilimali za umma aliyoiweka inawasaidia Watanzania leo hii
Barabara alizosimamia zinasaidia kila sekta ya uchumi hapa nchini. Hospital, Zahanati na Mashule aliyojenga yanawasaidia watanzania kujenga uchumi. Misingi ya kusimamia rasilimali za umma aliyoiweka inawasaidia Watanzania leo hii
mike2k JF-Expert Member Joined May 12, 2016 Posts 1,571 Reaction score 3,448 Oct 30, 2022 #2 Ni kweli ule uwanja wa chato unatusaidia sana sisi wasukuma tunaanikia dagaa na mahindi saivi.
Moisemusajiografii JF-Expert Member Joined Nov 3, 2013 Posts 43,960 Reaction score 77,533 Oct 30, 2022 #3 Nyankurungu2020 said: Barabara alizosimamia zinasaidia kila sekta ya uchumi hapa nchini. Hospital, Zahanati na Mashule aliyojenga yanawasaidia watanzania kujenga uchumi. Misingi ya kusimamia rasilimali za umma aliyoiweka inawasaidia Watanzania leo hii Click to expand... Zinawasaidia kwa kutembea kwa miguu huku bidhaa wamebeba vichwani. Fedha za kulipia usafiri hawana.
Nyankurungu2020 said: Barabara alizosimamia zinasaidia kila sekta ya uchumi hapa nchini. Hospital, Zahanati na Mashule aliyojenga yanawasaidia watanzania kujenga uchumi. Misingi ya kusimamia rasilimali za umma aliyoiweka inawasaidia Watanzania leo hii Click to expand... Zinawasaidia kwa kutembea kwa miguu huku bidhaa wamebeba vichwani. Fedha za kulipia usafiri hawana.