Hayati Magufuli alikuwa sawa Maendeleo ya vitu ni maendeleo ya wananchi

Hayati Magufuli alikuwa sawa Maendeleo ya vitu ni maendeleo ya wananchi

Barabara alizosimamia zinasaidia kila sekta ya uchumi hapa nchini.

Hospital, Zahanati na Mashule aliyojenga yanawasaidia watanzania kujenga uchumi.

Misingi ya kusimamia rasilimali za umma aliyoiweka inawasaidia Watanzania leo hii
Zinawasaidia kwa kutembea kwa miguu huku bidhaa wamebeba vichwani. Fedha za kulipia usafiri hawana.
 
Back
Top Bottom