Hayati Magufuli aliona mbali kuhusu chanjo, ona sasa huko Ulaya wanavyoanza kupukutika

Kwani chanjo inazuia kifo?
 
Hiyo midawa ukianza kutumia halafu ukiicha ghafla unakufa. Halafu nakushangaa sana mkuu unataka tuabudu wazungu nini? maana hutaki wakosolewe kabisa maana kama hili la chanjo hata wao wanaona mambo hayapo na kuacha hatua kadhaa ila wewe hutaki tulizungumzie hilo kisa waafrika na hao ni wazungu hivyo hawakosei.
 
Kweli kuna binadamu wanaishi maisha na wengine wanawasindikiza maisha
Kwa hiyo hata ukifa na ugonjwa wowote huna umuhimu duniani,
Msubiri "Mungu" atakuja kukuwekea mambo sawa......
 
WHO walikuwa wakataa kabisa kuhusu Astrazeneca kugandisha damu na wewe kila pale watu wanaposema Astrazeneca inagandisha damu. Wewe mara useme sio lazima Astrazeneca zipo chanjo zengine mara kila chanjo ina side effects mara waliyotumia Astrazeneca bila kupata madhara ni wengi kuliko waliopata madhara.
 
Drifter umeniwahi,
I was about to let zitto junior, not to waste his time na hawa covidiots
Kama maisha yao ni kusindikiza maisha, they have nothing to lose, have they... ?
 
Kwahiyo hizi chanjo cha corona zipo kwenye majaribio?
Hata kama haziko kwenye majaribio, lazima wanasayansi mbalimbali wazifanyie utafiti kujiridhisha kama zina ubora au la. Ni kama wewe unapoenda kununua kitu kipya dukani, huamini tu kama ni kitu kipya, utafanya juu-chini ujiridhishe kama ni kitu kipya kweli.
 
Dawa ni kwa ajiri ya wagonjwa ila hapa tunazungumzia chanjo sio dawa, kama kuganda damu ni moja ya side effects za hizo chanjo basi wangetuambia kabisa ili tujue.
Tatizo ni ubishi usiokuwa na maana.... ungesema waliopewa chanjo ni watu kadhaa, kati ya hao kadhaa wamekufa kwa kuganda damu, ili tujue risk factor zake. Hata ARV kuna watu wakitumia side effects zake ni kupata temporary insanity. Kama nilivyosema hakuna medical product inayomkubali kila mtu. Hata dawa za headache kuna watu zinawakataa. Tatizo kwenye hili jambo tumetanguliza politics over science.
Side effects ni jambo la kawaida, nimekwambia issue ni wangapi wanapata faida vs wanaopata hasara. Hizo ndio namba muhimu. Hata magari yanaua watu, sijawahi kusikia mtu akisema tuzuie magari kabisa
 
Wewe mbona ARV unatumia na hazikugandishi damu?
 
Hujalazimishwa wacha tu ukafe maana huna cha kuacha zaidi ya card ya uvccm
 
Kwani alipata kama sadaka kwamba ni msaada?
Oooh kumbe usipopewa msaada wanageuka Wadau wa maendeleo ila ukipewa bure ndio wanakua mabeberu?

Mbona hamueleweki msimamo wenu? Kama mabeberu ni wabaya na wanataka kutuua hamuogopi Bombardier zao watazihack zilipuke ili waje kuchukua rasilimali zetu? Hahahaha
 
Sasa mbna imemdedisha????
 
Suala hapa no Udharura mkuu ...Corona ni balaa
 
The thing is 99% hawagandi damu so bado WHO wapo sahihi..... Watu 20 out of million 17 is too little to observe as a setback!!

Hata waliotumia ARV kuanzia 2010 ukiwahoji leo trust me 10% wanadevelop complications nyingine ila sababu ni sample ndogo hawawezi kuzipiga marufuku same to Astra zeneca walau ikifika 1% ndio itakua too big to neglect.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…