Hayati Magufuli alionesha mara kadhaa kuwa ni mgonjwa wa moyo

Hayati Magufuli alionesha mara kadhaa kuwa ni mgonjwa wa moyo

Inaum
Sasa ndiyo napata jibu ni kwanini alikuwa hapendi kupanda ndege mara kwa mara, na kwa upande mwingine naona namna tulivyo muonea na kumhukumu mtu huyu bila kuujua ukweli!!
Inauma Sana!! Kwa Kazi aliyoifanya na mikiki mikiki aliyopitia, kwa hali yake ya maradhi ya moyo, naona ni kama alijitoa kuwa sadaka ya kuteketezwa!! Alijitoa sadaka ya kuteketezwa kwa ajili ya watanzania!! Halafu kuna watu bado wanasema ovyo!! Mungu awasamehe tu bure!!
 
Wanaomshambulia Magufuli wote wanasukumwa na chuki binafsi hayo mengine ni blah bkah tu.
Hayo matatizo ya moyo amekaa nayo tangu akiwa anasoma Master degree miaka takribani thelathini. Na katika miaka hiyo 30 ameifanyia makubwa sana nchi hii: yeye ndiye baba wa miundombinu tangu akiwa waziri na hadi alipokuwa Rais. Pili alikomesha ufisadi uliokuwa umetalaki serikalini .
Hivi uliona wapi mtu anaacha kazi ili asubiri kifo? Mbona wale wanaomkosoa wao hawakai wakasubiri vifo vyao na wanaendelea na kazi zao? Kifo ni siri ya Mwenyezi Mungu kila mmoja kitamfika kwa namna yake lakini hatutakiwi tukae tu kusubiri kifo.
Kimsingi watanzania tumegawanyika makundi mawili tu bila kujali vyama vyetu: wanaotaka kuiba na wanaopinga wizi. Wale wanaopinga wizi wanamunga mkono Magufuli wamo ndani ya CCM na pia nje ya CCM; na wale wanaounga mkono wizi/ufisadi wanampinga JPM na wamo ndani ya CCM na pia vyama vya upinzani.

Watu kama kina Maria wakati wa JK alikuwa anapata sana kazi ya kuwa moderator katika mikutano ya taasisi za serikali na kulipwa pesa lukuki, lakini wakati wa Magufuli alipoteza hizo kazi ndio sababu mojawapo ya kumchukia JPM.

Watu walivyo wajinga eti wanahoji kwa nini aligombea urais! Hivi mtu akiwa anaumwa ndio akae asifanye shughuli? Wao hawaumwi?

Rais Buhari wa Nigeria alilazwa nje ya nchi muda mrefu sana lakini baadae alirejea na bado aligombea urais kwa mara ya pili na hadi sasa yupo. Marais kufia madarakani hutokea na hakuna anayeweza kujua kama yupi atamaliza kipindi chake na yupi hatamaliza. Rais wa Malawi alikufa akiwa madarakani, Rais Mwanawasa wa Zambia naye alifia madarakani; pia huko miaka ya 1979 Rais Neto wa Angola alikufa akiwa anatibiwa huko Urusi. Katiba kwa kulitambua hilo ndio maana imeweka utaratibu mzuri pindi likitokea. Sio marais tu hata wabunge/madiwani pia wanakufa mara tu baada ya kuchaguliwa au wakati wa kampeni. Kifo hakina uhusiano na shughuli anazozifanya mtu.

Kazi alizozifanya JPM zimeacha alama ya kudumu katika nchi hii na zitaendelea kuchangia sana kuchochea ukuaji wa uchumi kwa miaka mingi ijayo.

Tunamwomba Mwenyezi Mungu ampokee mbinguni, akishafika mbinguni atakuwa mwombezi wa nchi yetu.
Mbinguni hawaendi hivyo ,na hakuna wa kukuombea akishakufa ,mtu anaweza kukuombea wewe na nchi mkiwa hai wote nje ya hapo maombi yote ni kushindwa kumanage muda tu
 
Mbon
Itakuwa ndiyo sababu ya yeye kukataa kuvaa barakoa, pumzi ilikuwa ndogo. Naona watu wake wanaiga kukataa kuvaa barakoa. Ngoja tuone.
Mbona na wewe hauvaagi barakoa? Kwani hatukujui? Au unataka tutaje jina lako halisi hapa?
 
Kuhusu kusafiri moja ya sababu ni pacemaker ,haitakiwi kukaa hewani kwenye ndege kwa saa nyingi,na pia swala la "KINGE" nalo ni la pili.

Kuhusu kwamba ni tatizo la moyo ndio lilimuondoa inawezekana ni kweli kwasababu uviko(covid) nayo inaleta complications kwenye moyo kwa tatizo lake.

Magufuli anaye Dr wake wa moyo KISENGE ambaye alikuwa anamonitor afya yake kila muda si rahisi afikie kuumwa serious na kufariki kwa ghafla....UVIKO ime accelerate ugonjwa wa moyo.
Una ubia gani na uviko? Mbona inalazimishwa as if uviko ndiyo shujaa wako uliyemtuma aangamize maisha yake? Hauko tayari kusikia shujaa wako hana mchango kwenye kifo hiki! Unamwamini Sana uviko!! Inabidi ukubali tu kuwa uviko haijahusika hata chembe katika hili!! Madaktari waliomtibu wamesema kilichosababisha kifo chake.
 
Hahahahaa" utakwepa kifo wewe??? Wewe ni mzoga wa punde tu!!

Mwanaume halisi haombei kifo adui wake
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] kama ni hivyo mbona magufuli alikuwa anawaua wapinzani [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] ndo maana nasema wewe na magufuli wote wapumbavu
 
Sawa amefanya kwa sehemu yake ila naamini alikuwa hajamfikia mzee Mkapa.
Kama ni mfuatiliaji pitia uhalisia wa hali aliyoikuta nchi yetu na alikoiacha, usisahau kupitia reform program zote alizoanzisha na matokeo yake!.
Ulimsikia mzee Mwinyi alivyosema baada ya kuwa ametembezwa Dodoma na kuona makao makuu mapya na mambo yakiyofanyika? Hakuna aliyekuwa na ndoto za kufanikisha hilo!! Alishangaa na akasema mbele ya huyo Mkapa na Kikwete maana walikuwa pamoja : Akasema umetuzidi sisi wote?
 
Inaum
Inauma Sana!! Kwa Kazi aliyoifanya na mikiki mikiki aliyopitia, kwa hali yake ya maradhi ya moyo, naona ni kama alijitoa kuwa sadaka ya kuteketezwa!! Alijitoa sadaka ya kuteketezwa kwa ajili ya watanzania!! Halafu kuna watu bado wanasema ovyo!! Mungu awasamehe tu bure!!
aliua na kutesa wapinzani.akavuruga uchaguzi mkuu pamoja na serikali za mitaa.akampiga lissu risasi akamvua na ubunge.alivyokuwa anaua wapinzani ccm walikuwa wanachekelea tu haya sasa na nyie zamu yenu sasa.ccm walikuwa wanamwita tundu lissu mabaga fresh haya na sisi tukimwita magufuli ni mzoga uliooza tutakuwa TUNAKOSEA????BIBLIA IMEANDIKA MTU MWOVU/ANAYEONEA WATU AKIFA WATU HUPIGA KELELE.TUACHENI TUFURAHI NA KUPIGA KELELE NA SISI NYIE ZAMU YENU ISHAPITA TUACHIENI NAFASI NA SISI TUTEME NYONGO
 
aliua na kutesa wapinzani.akavuruga uchaguzi mkuu pamoja na serikali za mitaa.akampiga lissu risasi akamvua na ubunge.alivyokuwa anaua wapinzani ccm walikuwa wanachekelea tu haya sasa na nyie zamu yenu sasa.ccm walikuwa wanamwita tundu lissu mabaga fresh haya na sisi tukimwita magufuli ni mzoga uliooza tutakuwa TUNAKOSEA????BIBLIA IMEANDIKA MTU MWOVU/ANAYEONEA WATU AKIFA WATU HUPIGA KELELE.TUACHENI TUFURAHI NA KUPIGA KELELE NA SISI NYIE ZAMU YENU ISHAPITA TUACHIENI NAFASI NA SISI TUTEME NYONGO
MUACHENI MUNGU AITWE MUNGU
tapatalk_1616154577902.jpeg
FB_IMG_1616231221709.jpeg
FB_IMG_1616184760515.jpeg
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] kama ni hivyo mbona magufuli alikuwa anawaua wapinzani [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] ndo maana nasema wewe na magufuli wote wapumbavu
Punguza Bangi na mirungu, Fuata ushauri wa dactari,

Tutakupoteza ukiendekeza ujinga
 
Hasa msiba wa rafiki yake Balozi Kijazi ulimnyima furaha ulimfanya kuwa na msongo wa mawazo mno, bado siamini kuwa jemedari kamaliza mwendo...
Sasa kama alikuwa anajijua kuhusu afya yake mbona hatukuona juhudi zozote za kujilinda dhidi ya corona ambayo kwa matatizo yake hayo ndo rahisi kumshambulia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Masikini sijui kwanini sasa alienda mbali kutaka kutufurahisha wapiga kura kwa kupiga push ups tuone yupo fit.
Pumzika kwa Amani mheshimiwa, sisi sote ni wa Mola na kwake tutarejea.
 
Inawezekana ndio mana hata mikutano na maandamano ya wapinzani alizuia ili wasimuudhi akapata shida za huo mfumo..na kuzuia bunge live ili wasimuudhi.

Magonjwa ya kudumu huwa yanachosha mwili na akili na hivyo kuvuruga saikolojia ya mtu kitu kinacholeta hasira sana kwa mhusika.
Kwahiyo aliyafanya hayo personal zaidi bila kuzingatia matakwa ya sheria?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom