Hayati Magufuli alionesha mara kadhaa kuwa ni mgonjwa wa moyo

Hayati Magufuli alionesha mara kadhaa kuwa ni mgonjwa wa moyo

Ni sawa na hakuna tatizo lolote maana alikuwa akitumia hiki kifaa tangu miaka ya 90.

Cha msingi ni umakini kwenye Maisha yako yote na kufuata kanuni.
Sawa vipi mzee wakati majukumu ya Rais ni makubwa na nyeti kwa nchi kuliko uwaziri?

Hili lisijirudie next time afu mwambieni mh.Rais avae barakoa na watu wanaomzunguka na social distancing ifanyike
 
Sawa vipi mzee wakati majukumu ya Rais ni makubwa na nyeti kwa nchi kuliko uwaziri?

Hili lisijirudie next time afu mwambieni mh.Rais avae barakoa na watu wanaomzunguka na social distancing ifanyike
Nadhani zipo zashonwa kwa wingi.
 
Na ndo kelele zote kutoka kwao wasema wamenyimwa access.

Wamegharamia mambo mengi lakini ikawa wamepoteza.

Sasa huu ni mtihani tuloachiwa.

Ni jukumu la serikali ya mama Samia kuhakikisha tunarekebisha panapohitajika na tuiangalie uzuri sera yetu ya mambo ya nje.

Pili, tuchunge sana adui zetu wa ndani na wa nje ambao wamefanya taswira ya nchi yetu iwe mbaya sana kwa sasa kwa kuandika habari nyingi hasi kuliko chanya.

Serikali kupitia bwana Abbas wawakaribishe vyombo vya habari vya Tanzani ana nje kujionea yalofsanywa na serikali hii na kuvihimiza vyombo vya habari vya Tanzania kuhakikisha vinashindana vyombo vyombo vya habari vya Kenya.

Naamini vyombo vya habari vya Kenya vinaipenda sana Tanzania na vimekuwa vikiifuatilia sana nchi hii, lakini huu sasa ni wakati wa kuheshimiana.

Serikali ihakikishe inatumia uzuri mitandao ya kijamii na ofisi za kibalozi kueneza ujumbe kuhusu Tanzania kiufasaha na kuondokana na kutoleana maneno ya kuleta sintofahamu au "confrontational comments" khasa katika majukwaa ya kimataifa.
Upungufu mkubwa niliouona kwa Mzee Magufuli ni kuwa uwezo wake wa diplomasia ulikuwa chini sana. Mzee wetu alifikiri in binary terms: either you are with us or you are against us! Aliwaona wazungu wote kama mabeberu, mabepari, adui, n.k. Sijui ni kwa namna gani alikuja kuvaa huo mtazamo wake kuhusu wazungu, na kujenga hiyo falsafa yake. Labda ni zile dharau za kizungu dhidi ya mtu mweusi ndizo zilizomsababishia ajenge huo mtazamo, maana huwezi kuishi na wazungu bila kufeel hiyo sense kwamba wanamdharau mtu mweusi.

Lakini pia Magufuli amekaa serikalini miaka mingi sana. Atakuwa aliwacheki wazungu walivocheza na Mkapa, halafu wakacheza na Kikwete, akajenga mtazamo kwamba these guys cannot be trusted, hawako genuine, ni matapeli tu.

Ni kweli kuna haja ya kurudisha uhusiano mzuri wa kidiplomasia na ulimwengu, lakini siyo diplomasia inayojengwa kwa msingi wa "Tanzania inahitaji dunia kuliko dunia inavyohitaji Tanzania". No, hiyo ni diplomasia ya kitoto. Msingi wetu wa diplomasia uwe Tanzania inahitaji dunia, kama dunia inavyoihitaji Tanzania.
 
Itakuwa uchizi kuamini amekufa na Ugonjwa wa moyo tu, ili hali aliwwza kuuahi nao miaka yote, alitakiwa ajilinde sana na corona kutokana na afua yake lakini alipuuzia ndiyo hivyo tena.
Hatusemi sana lakini tujihadhari na corona ipo na inauwa hapa nilipo nomepata msiba wa mama mkwe wangu leo.

Hata usipokufa kwa corona, utakufa kwa maradhi mengineyo. Siku ikifika imefika tu. Tuache porojo.
 
Upungufu mkubwa niliouona kwa Mzee Magufuli ni kuwa uwezo wake wa diplomasia ulikuwa chini sana. Mzee wetu alifikiri in binary terms: either you are with us or you are against us! Aliwaona wazungu wote kama mabeberu, mabepari, adui, n.k. Sijui ni kwa namna gani alikuja kuvaa huo mtazamo wake kuhusu wazungu, na kujenga hiyo falsafa yake. Labda ni zile dharau za kizungu dhidi ya mtu mweusi ndizo zilizomsababishia ajenge huo mtazamo, maana huwezi kuishi na wazungu bila kufeel hiyo sense kwamba wanamdharau mtu mweusi.

Lakini pia Magufuli amekaa serikalini miaka mingi sana. Atakuwa aliwacheki wazungu walivocheza na Mkapa, halafu wakacheza na Kikwete, akajenga mtazamo kwamba these guys cannot be trusted, hawako genuine, ni matapeli tu.

Ni kweli kuna haja ya kurudisha uhusiano mzuri wa kidiplomasia na ulimwengu, lakini siyo diplomasia inayojengwa kwa msingi wa "Tanzania inahitaji dunia kuliko dunia inavyohitaji Tanzania". No, hiyo ni diplomasia ya kitoto. Msingi wetu wa diplomasia uwe Tanzania inahitaji dunia, kama dunia inavyoihitaji Tanzania.
Ni kweli unavyosema, ila tunahitaji sera yetu ya mambo ya nje ieleze khasa mwelekeo wetu na azma yetu ya kujitawala na kujiletea maendeleo wenyewe.

Na hawa jamaa ni lazima waambiwe bila ushirikiano wa 50/50 faida basi hakuna makubaliano yoyote.

Mkuu, mimi nimeishi nje katika nchi nyingi tu za hawa jamaa nawafamu uzuri sana,moja ya tabia yao kuu ni kujiona wao bora ziku zote na ndo wenye akili na hutaka siku zote kukuonyesha wazi.

Alipoingia Magufuli walimwita outsider na approach yake kwao ilikuwa imejaa sana suspicions than optimism.

Tuwakaribishe na tuwasikilize kisha tutoe uamuzi ama tunakubali au hatutaki.

Tusiwapige vijembe, tusikatae wito wao kufanya mazungumzo na tuwe tayari kwa offer zao na tuziangalie.

Kwa mfano, twahitaji sana teknolojia hivyo tuwahimize katika hilo kwamba ukitaka tushirikiane mkubali kutusaidia kwenye teknolojia..
 
Apumzike Kwa Amani
Marehemu Tusimjadili Sana
Ila mitandaoni kutanywea..hakutakuwa na mashamusham tena .yale maneno yake ya kukera hatutaysaikia tena..labda sasa Chalamila aendeleze...maana wanafanana tabia...dah we will miss u
 
GOD BLESS LEMA ALIKUWA ANAJUA KUWA ATAFIA MADARAKANI.KIBURI KWISHA MAGUFULI
Kama anafurahia, anafurahia kitu asichokijua!! Hivi anauhakika upi na Kesho yake, hata wewe mwenyewe!!

Na mwanaume wa kweli mwenye akili njema, hawezi kumwombea adui wake afe, huyo atakuwa muoga wa maisha, majitu yenye kujiamini huombea adui zao maisha marefu Ili siku moja waje wajionee ukuu wa Mungu na wao kukumbuka ubaya wa kuwatendea wengine ubaya!

Kitu ambacho Chama chenu chote kimekosa hii Hekima, mkiambiwa kuwa hamfai kwenye vita mtabisha?

Uzuri na ubaya, kila mtu ataonja umauti, na hakuna kifo eti kiitwe hiki ni kizuri kuliko kile, never!

R.I.P Jembe
 
Hivi, Korona umekuwa ugonjwa wa aibu kiasi tunashangaa raisi akiupata? Raisi Trump aliupata! Waziri mkuu wa Canada na mkewe waliupata! Waziri mkuu wa Uingereza aliupata! Waziri mkuu wa Israeli aliupata! Sio ajabu raisi wetu kuupata.
Kwanini mnatumia nguvu nyingi kumkinga kuwa hakufa kwa ugonjwa huo?

Korona ilikuwa inatembea pale ofisini kwake Dodoma. Kijazi ambaye ni kama wanashea ofisi alikufa muda mfupi kabla ya Magufuli. Lakini pia kulingana na imani ilikuwa kosa kubwa kujikinga km kuvaa barakoa au kijisanitaizi. Imani yake hiyo ilimfanya awe vulnerable kwa ugonjwa huo. Ukweli ni kwamba pia alikuwa anaumwa ugonjwa wa moyo.

Kwa mazingira yale ya kuzungukwa na wagonjwa wa Korona, mtu hawezi kubisha akiambiwa kuwa alikufa kwa Korona kama ambavyo huwezi kubisha kuwa kafa kwa matatizo ya moyo. Hata hivyo wanasema na mlinzi wake naye kafa kwa korona.

Narudia tena. KORONA NI IGONJWA WA KAWAIDA. Sio ugonjwa wa aibu.
Unalazimisha ni Corona haya sawa ....ila manyang'au design yako mpo tu na tunawavumilia.
 
Keshamaliza zamu yake, bado yako na yangu, tengeneza maisha yako kabla hujatembelewa na umauti, haitasaidia kumsema vibaya zamu zetu ziko palepale iwe Kwa magonjwa ama ajali ama vyovyote vile

Mwacheni apumzike Jembe

Aliingia kwenye kinyang'anyilo cha Uraisi Kwa miujiza, kafanya kazi zake nyingi na kubwa Kwa miujiza na ametutoka Kwa miujiza kwani hakuna aliyefahamu kuwa ataondoka
Naam, maneno kuntu.
 
Corona wengi waliomzunguka imewaua na mlinzi wake tunaambiwa, amefia Nairobi walikokua wanauguzana.
Moyo mbovu unapona vipi Corona
Umeambiwa na nani?washa tbc angalia mlinzi mbna yupo uyo mnayesema amekufa?Watanzania tuache ujuaji,PUSSY TENA PUSSY YAKO WW INATOA SANA MAJI UKIWA UNASHUGHULIKIWA.
 
Je, yawezekana pia hayo matatizo yake ya moyo ndo yaliyomfanya asiwe anasafiri sana hususan nchi za nje?

Manake wakati mwingine ujinga unaweza ukamfanya mtu amhukumu kimakosa mtu mwingine.

Sisi tulikuwa tukitania ni kwa sababu alikuwa haongei vizuri Kiingereza na ndo maana alikuwa hasafiri sana kwenda nchi za nje.

Nimelifikiria sana hili suala na naona lina make sense.

Dah! I wish I knew he had some serious heart problems.
Homa aliyokuwa nayo ilikuwa hairuhusu kusafiri kwa ndege kwa mda mrefu
 
Tabia ya kuficha ficha vitu kwa waafrica itaendelea kutuathiri...

Tulianza kupata shaka juu ya zile AC kila alipokua akizunguka kwenye kampeni...

Pia ile ratiba ya kufanya kampeni siku 2 mapumziko siku 8 !

Kingine habari ya kujiamini kupita kiasi na kuipuuza covid -19 kwa hali aliyokua nayo hakupaswa kujiexpose kwenye mikusanyiko bila mask hasa ule wa balozi Kijazi....
 
Waache waendelee kubisha tu , nilitegemea mama samia kuazia leo arudishe taifa katika harakati za ulimwengu atimue yule mama gwajima amrudishe ummy pale mapambano ya kisayansi yaendelee, na tahadhari ziendelee kuchukuliwa tusipokuwa makini huu ugonjwa utaendelea kutafuna utakavyo wait and see..
Ngoja azike kwanza mkuu yani kaapishwa Jana tu.
 
Dah! Nimecheka sana japo mabaya ndugu nahisi we utakuwa Mkafutori wa Antiokia
 
Back
Top Bottom