Hizi kelele za mabeberu for the most part ni mazingaombwe ya kushikia akili watoto na wakubwa wasiojitambua tu...Magu anakwambia yuko ktk vita na mabeberu lakini anaishi kwa msaada wa pacemaker iliyotengenezwa na mabeberu. kwa kweli tanzania yetu huwa haiishi maajabu.
ushauri wa Mwigulu Nchemba aliyemshauri aache kutangaza maambukizi!Kosa kubwa kuliko yote aliyoyafanya ni alipoidharau corona na kufuata ushauri wa joseph Msukuma
Tulikuwa tunasema anajiamini nini au ameshachanjwa?
hakuna mlinzi aliefia kenya mkuu huyo aliezushiwa kaonekana leo pale taifa.Corona wengi waliomzunguka imewaua na mlinzi wake tunaambiwa, amefia Nairobi walikokua wanauguzana.
Moyo mbovu unapona vipi Corona
Ndio maana yake!..kama ilikuwa siyo salama yeye kwenda nje kwasababu nchi ilikuwa ktk vita na mabeberu, mbona alikuwa akiwatuma makamu na waziri mkuu kumuwakilisha huko nje? ina maana ni hatari kwa raisi, lakini salama kwa makamu na waziri mkuu?
Ndio ujue kuna watu wanapita Dunia hii ili kuacha alama za kudumu bila kujali ugumu wa mapito yao. Wewe(mfano tu) unaweza kuishi miaka 99 na afya njema lakini siku ukifa unasahaulika jioni yake. Na wengine muda mfupi lakini alama wanazoacha ni za kudumu.Sasa kama alikuwa na hilo tatizo halafu akawa anajijua kabisa kuwa afya yake ni kikwazo alikuwa hapaswi kugombea nafasi ya kuongoza nchi Ifahamike kwamba raisi wa nchi ndiye kichochezi cha maendeleo na usalama wa nchi husika sasa kama afya yake haiko sawa hauoni kuwa hiyo ni hatari kwa ustawi wa maendeleo na usalama pia kwa nchi anayo iongoza !?
1. Yes.I personally did not wish to see a struggling cripple everyday as the Tanzanian president. Especially if there are other able bodied people qualified for the job.He could have done something else that is less taxing on his body. I am being brutally honest here with no regard to political correctness.
Okay. Fine. That’s your personal preference. But death is relevant. Even the constitution recognizes that.2. No. But irrelevant. Death is not even a determining factor.
3. Again. Death is irrelevant here. Just a sickly disposition is enough to disqualify.
What is work as president? How was Magufuli limited to work as president?4. Again. Death is irrelevant. If she has a serious illness that limits her capacity to work as a president and she is hiding it from us, I will fault her for that even if she does not die in office.
International travel is part of the president’s job description? Per what?5. If it is as serious as Magufuli’s, limiting a president from international travel, then yes.
Nope. Not at all . Your opinions are very misguided on this.Magufuli was a very selfish man.
He was so selfish he did not even care for his health.
He just wanted to be president and run the show.
A person with that serious a heart condition should not aspire to a rigorously taxing office such as the presidency.
That is just tempting fate for an early demise.
Corona wengi waliomzunguka imewaua na mlinzi wake tunaambiwa, amefia Nairobi walikokua wanauguzana.
Moyo mbovu unapona vipi Corona
Tatizo la Kigogo ndo hilo...Hizi porojo za Kigogo bado unaziamini hata baada ya kumuona Mlinzi leo akiwa buheri wa Afya?
Wakati mwingine ni vyema kuweka akiba ya maneno - unamsema the late JPM kuhusu kikombe cha mzee wa Loliondo - mbona kuna viongozi wengi kutoka Serikalini walikwenda huko hilo hamlisemi mmekazinia kumsema sema vibaya JPM kutokana na chuki zenu binafsi kuhusu mzalendo JPM R.I.P.Pamoja na majonzi ya kuondokewa na Mh. Rais lakini ni vema tukakumbuka maisha aliyoishi.
Magufuli kwa kutambua kwamba ana maradhi yasiyotibika alienda kupata kikombe cha miujiza kwa Babu wa Liliondo . Baadaye iligundulika kwamba kikombe kile ulikuwa usanii tu hivyo JPM aliendelea kuwa mgonjwa.
Pili kwa kutambua kwamba ana matatizo ya moyo- Magufuli Mara kadhaa amekuwa akijiepusha kushiriki katika masuala ya simanzi Kama misiba kwa sababu za kiafya.
Hii misiba ya karibuni hasa wa Balozi Kijazi bila Shaka ilimuathiri sana Magufuli.
Naamini si CORONA Wala Mabeberu
Alale salama.
Wanavyomsema Magufuli utadhani ametenda kosa kwa kufa!Wakati mwingine ni vyema kuweka akiba ya maneno - unamsema the late JPM kuhusu kikombe cha mzee wa Loliondo - mbona kuna viongozi wengi kutoka Serikalini walikwenda huko hilo hamlisemi mmekazinia kumsema sema vibaya JPM kutokana na chuki zenu binafsi kuhusu mzalendo JPM R.I.P.
Tupe pathophysiology kidogo mkuu ya correlation between COVID 19 na chronic illnessesCorona na ugonjwa wa moyo ni kama uji na mgonjwa,ukishakua na magonjwa sugu kama hili la jiwe na ukapigwa na coona hutoboi lazima parapanda italia tu.
Betri gani mkuuKama alikuwa anajua hivyo zile pushapu alipiga za nini.
Huenda ndio zilisababisha hata neturo ya betri ikakata.
Huyo mlinzi wake Leo alikua taifa Anaaga. Hizo Ni stories za Vijiweni. [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Corona wengi waliomzunguka imewaua na mlinzi wake tunaambiwa, amefia Nairobi walikokua wanauguzana.
Moyo mbovu unapona vipi Corona
Mnafiki ni wewe hapoAcheni unafiki
Facts
1.Magu lugha ilikuwa kikwazo kwake.
2.alikuwa mgonjwa wa Moto.
3.aliidharau corona
4 .Alikuwa mbabe hatari ukipita anga zake unapotelea mbali huko .
Punguzeni unafiki watanzania
Umenena vyema mkuuMuda wake ulifika, hizi sababu nyingine ni za sisi wanadamu tuliobaki hai...
Mkuu yule nkuruzinza mstaafu wa Burundi?Corona haina dawa angalia ilivyomchukua Raisi mstaafu Nkurunziza fasta
Na yule Raisi mstaafu wa Somalia walimnywesha hadi juisi ya mirungi kumbe keshakata roho
Tatizo la Kigogo ndo hilo...
Taarifa zake nyingi ni za kuzichukulia kwa umakini na uangalifu maana ni pata potea.
..Magu anakwambia yuko ktk vita na mabeberu lakini anaishi kwa msaada wa pacemaker iliyotengenezwa na mabeberu. kwa kweli tanzania yetu huwa haiishi maajabu.