Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh! bado unateseka tu.Magufuli hakufaa kuwa Rais. Samia ni Better mara mia.
Kwasababu alikuwa Msukuma mwenzako alitaka kutugawa kikabila.Duh! bado unateseka tu.
Kuleni haraka haraka hii miaka 3 Kuna chuma kinakuja kitawanyooshaKwasababu alikuwa Msukuma mwenzako alitaka kutugawa kikabila.
Bado unazungumzia ukabila? Mwl Nyerere alisema mtu kama wewe ni mpumbavu sana tena sanaaaaa.Kwasababu alikuwa Msukuma mwenzako alitaka kutugawa
Wewe Masele ni Msukuma ndio maana ninaposema ukweli kuhusu Magufuli inakuuma sasa huo si ndio ukabila ninaouongelea.Bado unazungumzia ukabila? Mwl Nyerere alisema mtu kama wewe ni mpumbavu sana tena sanaaaaa.
Mkileta za kuleta Muungano unayoyoma Mzee inarudi TANU iliyoasisiwa na Wakwere wa Pwani tuone mtafanya nini.😆😂Kuleni haraka haraka hii miaka 3 Kuna chuma kinakuja kitawanyoosha
Hata Mimi inaniuma kusikia Magufuli anasagiwa kunguni na wapuuzi Kama wewe, but still Mimi sio Msukuma!Wewe Masele ni Msukuma ndio maana ninaposema ukweli kuhusu Magufuli inakuuma sasa huo si ndio ukabila ninaouongelea.
Magufuli aliwashika pabaya sana,nimeamini sasaSalaam Wakuu,
Hayati Magufuli Rais wa Tanzania ambaye alifariki 2021, nilishangaa kuona alipewa eti Shahada ya Udaktari wakati alikuwa msahaulifu na muongo.
Ukitaka kujua akili za Magufuli au Tanzania ilikuwa na Rais wa aina gani, sikiliza hizi hotuba fupi tatu, hii itakusaidia kujua akili zake na mashabiki wake zilivyo.
Huku anasema maendeleo hayana chama, kule anasema maendeleo yana chama. Yaani dakika 2 zilikiwa zinamtosha kusahau alichokosema.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ukabila ulimjaa. Alikuwa anahutubia na kutoa vitisho kwa kilugha.
View attachment 2432156
View attachment 2432157
View attachment 2432158
View attachment 2432186
Ukweli huwa ni mchungu kwasababu mulikuwa mumelishwa Propaganda. lakini hii ndio JF hata Nyerere huwa anapewa ukweli wake.Hata Mimi inaniuma kusikia Magufuli anasagiwa kunguni na wapuuzi Kama wewe, but still Mimi sio Msukuma!
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
tumkumbuke mtu aliyefyatulia watu risasi kama MAJAMBAZI kisha kwenda tofauti na aliyofikiria yeye?Alisema mutanikumbuka.. na bado..
Kazi iendelee...
Ila umekubali kuwa wewe ni bonge la jinga tena huna akili?Wewe Masele ni Msukuma ndio maana ninaposema ukweli kuhusu Magufuli inakuuma sasa huo si ndio ukabila ninaouongelea.
Ngosha tujikite kwenye hoja wewe gt.Ila umekubali kuwa wewe ni bonge la jinga tena huna akili?
Kwa hiyo ndio maana mkamuua .
Hauna hoja yoyote! Mbambamba kibao😅😅.Ngosha tujikite kwenye hoja wewe gt.
Umeandika ushuzi mtupu. Kumbaf kwani ww ulidhani Magufuli ni Yesu!?Salaam Wakuu,
Hayati Magufuli Rais wa Tanzania ambaye alifariki 2021, nilishangaa kuona alipewa eti Shahada ya Udaktari wakati alikuwa msahaulifu na muongo.
Ukitaka kujua akili za Magufuli au Tanzania ilikuwa na Rais wa aina gani, sikiliza hizi hotuba fupi tatu, hii itakusaidia kujua akili zake na mashabiki wake zilivyo.
Huku anasema maendeleo hayana chama, kule anasema maendeleo yana chama. Yaani dakika 2 zilikiwa zinamtosha kusahau alichokosema.🤣🤣🤣
Ukabila ulimjaa. Alikuwa anahutubia na kutoa vitisho kwa kilugha.
View attachment 2432156
View attachment 2432157
View attachment 2432158
View attachment 2432186
Nahene lolo.Hauna hoja yoyote! Mbambamba kibao😅😅.
Magufuli 'hakupewa' aliisotea class. Aliyepewa ni yule bibi wa buza mwenye uwezo finyu kabisa kichwaniSalaam Wakuu,
Hayati Magufuli Rais wa Tanzania ambaye alifariki 2021, nilishangaa kuona alipewa eti Shahada ya Udaktari wakati alikuwa msahaulifu na muongo.
Ukitaka kujua akili za Magufuli au Tanzania ilikuwa na Rais wa aina gani, sikiliza hizi hotuba fupi tatu, hii itakusaidia kujua akili zake na mashabiki wake zilivyo.
Huku anasema maendeleo hayana chama, kule anasema maendeleo yana chama. Yaani dakika 2 zilikiwa zinamtosha kusahau alichokosema.🤣🤣🤣
Ukabila ulimjaa. Alikuwa anahutubia na kutoa vitisho kwa kilugha.
View attachment 2432156
View attachment 2432157
View attachment 2432158
View attachment 2432186
Mkuu wewe ndo hukuelewa....alipewa Shahada ya Udaktari wa MIFUGO, sasa kumtibu Punda kunahitaji kumbu kumbu? vipi bwana wewe?Salaam Wakuu,
Hayati Magufuli Rais wa Tanzania ambaye alifariki 2021, nilishangaa kuona alipewa eti Shahada ya Udaktari wakati alikuwa msahaulifu na muongo.
Ukitaka kujua akili za Magufuli au Tanzania ilikuwa na Rais wa aina gani, sikiliza hizi hotuba fupi tatu, hii itakusaidia kujua akili zake na mashabiki wake zilivyo.
Huku anasema maendeleo hayana chama, kule anasema maendeleo yana chama. Yaani dakika 2 zilikiwa zinamtosha kusahau alichokosema.🤣🤣🤣
Ukabila ulimjaa. Alikuwa anahutubia na kutoa vitisho kwa kilugha.
View attachment 2432156
View attachment 2432157
View attachment 2432158
View attachment 2432186