Hayati Magufuli alipewaje Shahada ya Udaktari wakati alikuwa Msahaulifu na Muongo?

Hayati Magufuli alipewaje Shahada ya Udaktari wakati alikuwa Msahaulifu na Muongo?

Salaam Wakuu,

Hayati Magufuli Rais wa Tanzania ambaye alifariki 2021, nilishangaa kuona alipewa eti Shahada ya Udaktari wakati alikuwa msahaulifu na muongo.

Ukitaka kujua akili za Magufuli au Tanzania ilikuwa na Rais wa aina gani, sikiliza hizi hotuba fupi tatu, hii itakusaidia kujua akili zake na mashabiki wake zilivyo.

Huku anasema maendeleo hayana chama, kule anasema maendeleo yana chama. Yaani dakika 2 zilikiwa zinamtosha kusahau alichokosema.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ukabila ulimjaa. Alikuwa anahutubia na kutoa vitisho kwa kilugha.

View attachment 2432156
View attachment 2432157
View attachment 2432158
View attachment 2432186
Utakuwa na matatizo ya afya ya akili, unapambana na Magufuli hadi leo....!!!!!!!
 
Salaam Wakuu,

Hayati Magufuli Rais wa Tanzania ambaye alifariki 2021, nilishangaa kuona alipewa eti Shahada ya Udaktari wakati alikuwa msahaulifu na muongo.

Ukitaka kujua akili za Magufuli au Tanzania ilikuwa na Rais wa aina gani, sikiliza hizi hotuba fupi tatu, hii itakusaidia kujua akili zake na mashabiki wake zilivyo.

Huku anasema maendeleo hayana chama, kule anasema maendeleo yana chama. Yaani dakika 2 zilikiwa zinamtosha kusahau alichokosema.🤣🤣🤣

Ukabila ulimjaa. Alikuwa anahutubia na kutoa vitisho kwa kilugha.

View attachment 2432156
View attachment 2432157
View attachment 2432158
View attachment 2432186
It was a tragedy
 
Salaam Wakuu,

Hayati Magufuli Rais wa Tanzania ambaye alifariki 2021, nilishangaa kuona alipewa eti Shahada ya Udaktari wakati alikuwa msahaulifu na muongo.

Ukitaka kujua akili za Magufuli au Tanzania ilikuwa na Rais wa aina gani, sikiliza hizi hotuba fupi tatu, hii itakusaidia kujua akili zake na mashabiki wake zilivyo.

Huku anasema maendeleo hayana chama, kule anasema maendeleo yana chama. Yaani dakika 2 zilikiwa zinamtosha kusahau alichokosema.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ukabila ulimjaa. Alikuwa anahutubia na kutoa vitisho kwa kilugha.

View attachment 2432156
View attachment 2432157
View attachment 2432158
View attachment 2432186
Mkuu Hayati hakupata ushindi wa mezani kupata Phd yake bali aliipambania, jifunze kutofautisha ushindi wa mezani na ushindi unaopatikana baada ya kupambana

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
 
Salaam Wakuu,

Hayati Magufuli Rais wa Tanzania ambaye alifariki 2021, nilishangaa kuona alipewa eti Shahada ya Udaktari wakati alikuwa msahaulifu na muongo.

Ukitaka kujua akili za Magufuli au Tanzania ilikuwa na Rais wa aina gani, sikiliza hizi hotuba fupi tatu, hii itakusaidia kujua akili zake na mashabiki wake zilivyo.

Huku anasema maendeleo hayana chama, kule anasema maendeleo yana chama. Yaani dakika 2 zilikiwa zinamtosha kusahau alichokosema.🤣🤣🤣

Ukabila ulimjaa. Alikuwa anahutubia na kutoa vitisho kwa kilugha.

View attachment 2432156
View attachment 2432157
View attachment 2432158
View attachment 2432186
Mizimu inakutafuna polepole,kifo chako kinakaribia, inaonyesha unachanganya na kuchanganyikiwa
 
Salaam Wakuu,

Hayati Magufuli Rais wa Tanzania ambaye alifariki 2021, nilishangaa kuona alipewa eti Shahada ya Udaktari wakati alikuwa msahaulifu na muongo.

Ukitaka kujua akili za Magufuli au Tanzania ilikuwa na Rais wa aina gani, sikiliza hizi hotuba fupi tatu, hii itakusaidia kujua akili zake na mashabiki wake zilivyo.

Huku anasema maendeleo hayana chama, kule anasema maendeleo yana chama. Yaani dakika 2 zilikiwa zinamtosha kusahau alichokosema.🤣🤣🤣

Ukabila ulimjaa. Alikuwa anahutubia na kutoa vitisho kwa kilugha.

View attachment 2432156
View attachment 2432157
View attachment 2432158
View attachment 2432186
Ana tofauti gani na yule Prof kutoka Madudu Kitete
 
Ungekua unajua vigezo vya kupewa Honoris Causa Degree usingeandika hizi Pumba ulizoandika.
Elimu Elimu Elimu Elimu by Don EDO
Ya magufuli haikuwa honoris causa bali by thesis
 
Udaktari wake ulikuwa sio wa kombolela aliandika brother tena Chuo kimuu cha Dar es salaam
 
Salaam Wakuu,

Hayati Magufuli Rais wa Tanzania ambaye alifariki 2021, nilishangaa kuona alipewa eti Shahada ya Udaktari wakati alikuwa msahaulifu na muongo.

Ukitaka kujua akili za Magufuli au Tanzania ilikuwa na Rais wa aina gani, sikiliza hizi hotuba fupi tatu, hii itakusaidia kujua akili zake na mashabiki wake zilivyo.

Huku anasema maendeleo hayana chama, kule anasema maendeleo yana chama. Yaani dakika 2 zilikiwa zinamtosha kusahau alichokosema.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ukabila ulimjaa. Alikuwa anahutubia na kutoa vitisho kwa kilugha.

View attachment 2432156
View attachment 2432157
View attachment 2432158
View attachment 2432186
Mm Ni mtu wa kazikasini ila magu alikubalika Kia's kwamba mm ambaye siyo msukuma nilimpenda na nilitamani nioe msukuma siku moja
 
Salaam Wakuu,

Hayati Magufuli Rais wa Tanzania ambaye alifariki 2021, nilishangaa kuona alipewa eti Shahada ya Udaktari wakati alikuwa msahaulifu na muongo.

Ukitaka kujua akili za Magufuli au Tanzania ilikuwa na Rais wa aina gani, sikiliza hizi hotuba fupi tatu, hii itakusaidia kujua akili zake na mashabiki wake zilivyo.

Huku anasema maendeleo hayana chama, kule anasema maendeleo yana chama. Yaani dakika 2 zilikiwa zinamtosha kusahau alichokosema.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ukabila ulimjaa. Alikuwa anahutubia na kutoa vitisho kwa kilugha.

View attachment 2432156
View attachment 2432157
View attachment 2432158
View attachment 2432186
Mwendakuzimu Kwa sasa anapata stahiki yake huko alipo
 
Ungekua unajua vigezo vya kupewa Honoris Causa Degree usingeandika hizi Pumba ulizoandika.
Elimu Elimu Elimu Elimu by Don EDO
Kwani ya Magufuli ilikuwa Honaris Causa? Ya kwake ni PhD proper na alifanya utafiti kwenye maganda ya korosho!
 
JPM atakumbukwa sio kwa PHD iliyotolewa na UDSM wala chuo chochote Duniani, JPM atakumbuka kwa udadisi, uthubutu, mwalimu, mhamasishaji na kiongozi aliyeamini kujituma ili kupata maendeleo. JPM atakumbukwa miaka ijayo kama kiongozi pekee aliyeona utapeli wa (COVID-19)ulioandaliwa kwa ustadi mkubwa na kuigharimu Dunia uhai wa watu kwa mamilioni.
Ukweli wa yale aliyoyasema kuhusu ulaghai wa gonjwa lililoitwa COVID-19 unaaza kuwekwa hadharani na huenda ndani ya miezi kadhaa ijayo kila mtu ataujua ukweli!.... Lakini uhai wa watu kwa mamilion waliopoteza maisha utalipwa na nani?.... Wengine tulisema tangu mwanzo kuwa ugonjwa huu umetengenezwa kwenye maabala na ni moja kati ya silaha za maangamizi!. Sasa mambo hadharani!! 😥

JPM alikuwa sahihi 100%.jpg
 
Salaam Wakuu,

Hayati Magufuli Rais wa Tanzania ambaye alifariki 2021, nilishangaa kuona alipewa eti Shahada ya Udaktari wakati alikuwa msahaulifu na muongo.

Ukitaka kujua akili za Magufuli au Tanzania ilikuwa na Rais wa aina gani, sikiliza hizi hotuba fupi tatu, hii itakusaidia kujua akili zake na mashabiki wake zilivyo.

Huku anasema maendeleo hayana chama, kule anasema maendeleo yana chama. Yaani dakika 2 zilikiwa zinamtosha kusahau alichokosema.🤣🤣🤣

Ukabila ulimjaa. Alikuwa anahutubia na kutoa vitisho kwa kilugha.

View attachment 2432156
View attachment 2432157
View attachment 2432158
View attachment 2432186
Magu hakupewa. Aliingia darasani
 
Back
Top Bottom