Hayati Magufuli alipewaje Shahada ya Udaktari wakati alikuwa Msahaulifu na Muongo?

Magufuli aliwashika pabaya sana,nimeamini sasa
 
Umeandika ushuzi mtupu. Kumbaf kwani ww ulidhani Magufuli ni Yesu!?
 
Magufuli 'hakupewa' aliisotea class. Aliyepewa ni yule bibi wa buza mwenye uwezo finyu kabisa kichwani
 
Mkuu wewe ndo hukuelewa....alipewa Shahada ya Udaktari wa MIFUGO, sasa kumtibu Punda kunahitaji kumbu kumbu? vipi bwana wewe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…