Hayati Magufuli alipewaje Shahada ya Udaktari wakati alikuwa Msahaulifu na Muongo?


Chuma Jiwe Ngosha Mzilankende Mnyago

 
Magu hatunaye lakini kila siku yupo midomoni mwa watu duu!
 
Mbona unamu attack sana jpm
Kwani huyu wa sasa kapewaje
Jk alipewaje

Ova
 
Hivi figganigga una shida gani na marehemu? Kama hujafunzwa kifamilia hata dini yako haikupi staha kwa mtu aliyekwisha fika kwenye hukumu ya muumba?

Mnaanzisha thread za matusi kwake zisizo na mashiko zaidi ya kumdhalilisha mtu asiyeweza kujitetea. Jadilini kushindwa kwa sera zake n.k acheni matusi ambayo kama hayawaumi basi heshimu hata familia yake!
 
Dunia ni ya ajabu sana.
Kuna maprofesa wenye heshima walikula njama kumpa " msukuma" mwenzao PhD ya mchongo.
Nafahamu aliye adhibiwa kwa kuugua covid na kufariki.
 
Kamata waliomsimamia hiyo PhD Pale mlimani , Bashiru na Kabudi mashahidi muhimu
 
Hizo clip mbili za mwsho daa Bora alikwenda tu
 
Mishe zao mitaani zikibumba wanaingia mtandaoni kujifariji kwa kumtusi hayati JPM.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…