Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
Kabisa maraisi Bora waliwahi kuongoza TZNini kinaendelea hapa? Ni madili makubwa kwa ajili ya wanaCCM wajanja na wapigaji. Kwani haya makubaliano binafsi ya Rostam Azizi na wafanyabiashara wa Usa mpaka rais wa JMT awepo? Kuna kitu hapa ambacho hayati JPM asingekubali kifanyike.View attachment 2199251
DuhHivi vitu vinatia hasira kis*ng* yaani. Anyways ngoja tuwe wavumilivu... Ipo siku watalipia tena kwa gharama kubwa sana na ikibidi na wao watadhurumika.
Mh!Piga kazi mama tumecheleweshwa mnooo kama taifa. Zaidi ya miaka 6
Nini kinaendelea hapa? Ni madili makubwa kwa ajili ya wanaCCM wajanja na wapigaji. Kwani haya makubaliano binafsi ya Rostam Azizi na wafanyabiashara wa Usa mpaka rais wa JMT awepo? Kuna kitu hapa ambacho hayati JPM asingekubali kifanyike.View attachment 2199251
Magufuli hakupigania maslah ya watanzania ZAIDI ya wasukuma wenzake,na pia mama Samia hakuna anachofanya...Nini kinaendelea hapa? Ni madili makubwa kwa ajili ya wanaCCM wajanja na wapigaji. Kwani haya makubaliano binafsi ya Rostam Azizi na wafanyabiashara wa Usa mpaka rais wa JMT awepo? Kuna kitu hapa ambacho hayati JPM asingekubali kifanyike.View attachment 2199251