Hayati Magufuli alisimama kidete Sheria ya Kulinda Rasilimali za Tanganyika ikatungwa. Leo hii Mkataba wa Bandari upo kinyume na sheria hii

Hayati Magufuli alisimama kidete Sheria ya Kulinda Rasilimali za Tanganyika ikatungwa. Leo hii Mkataba wa Bandari upo kinyume na sheria hii

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2020
Posts
4,170
Reaction score
6,757
Kifungu cha 11 cha National wealth and reources (permanent sovreignty) kinazua makampuni yatayoingia mkataba na nchi yetu kutumia rasilimali kufungua kesi nje ya nchi kwenye mahakama za kitaifa.

IGA ya mwarabu imeenda kinyume na sheria za nchi.

Ila ilipitishwa na ikabarikiwa na mahakama kuu.

Screenshot_20230814-101751.jpg
 
Hatutaki kusikia habari ya yule shetani wenu, aliiharibu nchi kwa kuigawa, kuua raia anaowaongoza, kufanya ukatili wa kila aina mfano kuzuia ajira kwa miaka yake yote watanzania wanateseka mpaka leo, aliifisidi nchi mpaka mabilioni yanakutwa nyumbani kwake wala siyo benki, kutumia madaraka vibaya alivyotaka yeye.

Tunamshukuru sana Mungu kutuondolea maana bado Mungu anaipenda nchi yetu. Alilinda rasilimali ipi, na je zile pesa alizofuja siyo rasilimali? Tumeambiwa pesa zingine ziko mpaka China. Mfuate huyo shetani wako alipo hakuna anayetaka kusikia habari zake.

Aliharibu miji mikubwa, miji ilikuwa km kambi za wakimbizi, eti mtetezi wa wanyonge, kumbe alikuwa anawapumbaza tu, alikuwa mnafiki sana aliyejificha kwenye utetezi wa wanyonge.
 
Hatutaki kusikia habari ya yule shetani wenu, aliiharibu nchi kwa kuigawa, kuua raia anaowaongoza, kufanya ukatili wa kila aina mfano kuzuia ajira kwa miaka yake yote watanzania wanateseka mpaka leo, aliifisidi nchi mpaka mabilioni yanakutwa nyumbani kwake wala siyo benki, kutumia madaraka vibaya alivyotaka yeye. Tunamshukuru sana Mungu kutuondolea maana bado Mungu anaipenda nchi yetu. Alilinda rasilimali ipi, na je zile pesa alizofuja siyo rasilimali? Tumeambiwa pesa zingine ziko mpaka China. Mfuate huyo shetani wako alipo hakuna anayetaka kusikia habari zake. Aliharibu miji mikubwa, miji ilikuwa km kambi za wakimbizi, eti mtetezi wa wanyonge, kumbe alikuwa anawapumbaza tu, alikuwa mnafiki sana aliyejificha kwenye utetezi wa wanyonge.
Wakati utaongea tu mama
 
Ndio alisimamia ndio maana Samia anafuata nyayo zake kwa kuwapa watu chakula kikubwa kitaifa ambacho kitapikwa na kikipikwa vizuri. Na Magufuli ndie aliewapinga watu ambao wnataka kutumia watu kukataa mkataba huu. kwa akili ya kawaida msemo wa there is no mapochopocho ya bure in watu weusi wanapoishi alafu weupe wanataka watawale. Hiyo kauli ilitoka Dubai?

Wakristo katika Mugu kuleta ujumbe Duniani kwa Tanzania ni kwamba Nyerere alimzaa Mwinyi mwinyi alimzaa Mkapa Mkapa akamzaa Kikwete kikwete Magufuli Magufuli akamzaa mama, Sasa husisha na kati ya wahusika wote katika uzao wa Tanzania ni nani mzazi wa sasa hivi alafu ujue jukum la mzazi katika kumpa mtoto madaraka hasa mtoto wa kwanza lazima ajue kupika akiwa mikononi mwa huyo mzazi ilimradi awe ametimiza miaka 18.

Kwa hiyo mzazi wa sasa mpaka anazaliwa alikuwa ameshapita ule umri wa kupika kimadaraka na nina uhakika akipewa nafasi hiyo chakula chake nitakipenda kwa sababu na mimi nimpishi mzuri, kimadaraka mzazi huyu ni mwanamke kwa hiyo njia pekee ya kumpima mwanamke anaefaa kuolewa kwa Tanzania yote ni kujua kupika kwa hiyo mpishi mkuu ni mwanamke na ukiangalia hotuba yake tangu akiwa makam wa Rais utangundua ni mpishi mzuri tangu jukumu la kwanza alilopewa duniani na Mungu, anapenda upendo wa kweli na wenye macho ya kweli mnayoyaona lakini wale wauza chakula mnalazimisha kile anachopika kilete faida kwa kuuziwa nyie alafu mnapinga kile chakula ambacho mwenye asili ya mpishi wake anataka matunda ya chakula hicho yatumike kama sadaka ndio maana hata kama akitoa chochote kukipata atakipata tuu ndo maana hatumii nguvu nyingi kutafuta pesa lakini anatoa kirahisi.

Na kwa sababu anatoa kwa nia njema atasamehewa tuu. Lakini sasa upande wa pili ambao wamebakiwa na mabumunda yale ya makete hawana chakula wanalazimisha eti waafrika hawana chakula wnaumwa wakati wanategemea chakula kutoka kwa watu wenye rangi nyeusi.

Kwa asili yao, wanasema watu ambao wana rangi ya mkaa wanaharibu haki za watu wakati wao ndo wanaongoza kuwanyang'anya watoto wa kiume haki zao hata Mungu anajua, Sasa husisha mama ni mtoto wa nani kiasili na ni nani anataka kumkosanisha mama dini yake uchonganishi huo utagundua ya kuwa utaenda mpaka kwa wa msikiti na wa kanisa la asili ypa mama kwa sasa, utajua ni nani anatumia nguvu nyingi kueneza uongo kupitia dini ipi usiangalie dini angalia asili ya dini.

Na ni nani ambae hata kwenye nyumba yao ya ibada hakuna sanduku la sadaka, sasa mnanichelewesha kwa Samia jamani. Cha ajabu ndio maana dini zote zina ujumbe mmoja ambao unatafsiriwa tubuni maana ufalme Wa Mungu umekaribia.

Na mama sasa pamoja na yoote Mungu alimrudisha kwenye asili yake kila mtu akirudi katika asili kupitia mama huyu ataombewa na miungu yote duniani, na kila mtu atapata anachokitaka pale pale alipo, hii kazi inapauka jamani atakaenipeleka kwa mama bila kutumia nguvu kwa kuelewa nilichokiandika.

Apeleke huu ujembe kwa wazee wawili waliobaki Tanzania waliomzaa Samia mmoja kiimani na mmoja Kisiasa kwa sababu mmoja yupo sahihi kwa sababu kuna kitu yeye tuu ndo anacho kinachomfanya mama anafanikiwa sana kwa sababu like father like son.

Huyu wa kiimani, ni mzazi wa asili kwa nguvu za asili pia ndio kanigusa kwa sababu anahangaika kutafuta amekosea wapi ili mtoto wake asiache imani kwa ajili ya kulazimisha cheo kwa sababu kutokana na kuwa na hofu kubwa huyu mzee amekata tamaa nikikutana na mama ni lazima ujumbe nitakaompa awape hawa wazee wawili kwanza kwa sababu huyo kijana mrefu ni lazima atapata anachokitaka ili baba yake asimkatie tamaa.

Naomba nitangaze dau, Mtu mtu wa tatu ni yule atakayesoma ujumbe huu akaelewa bila kujiuliza mimi ni nani alafu atatumia njia za upendo wa kweli kati yake na mama na Mungu wa dini yake alafu atanipeleka kwa mama kwa ujasiri bila nguvu wala kutaka faida.

Mtu huyo naomba apewe ada akamalizie elimu pale alipoishia katika dini na wawe wawili wa dini zote ambaye imani yake inamuuliza nini kinatokea. Mama atalipa kama sadaka.

Watatakaohusika hapa sio wachungaji wala masheghe tafadhali Manabii naomba mnikome na mkae mbali hakuna nabii sasa hivi watu wanapata maono na maono ili yaishi yanatakiwa yatembee.Yatatembeaje sasa ukisoma kitabu kimoja lugha moja wakati dunia imefika inatakiwa watu wachanganye lugha kwa saili zao sio walazimishwe watumie lugha zao ili Mungu akikutuma Korea utakuwa unajua kikorea kwa wakati huo utakaotumwa. Physics katika ile newton first sijui law of motion inasema kitu kinachotembea kinatembea tuu, rejea kauli ya baba wa wasanii wote Tanzania hapa angesema mkaa buree......

Ndo maana kumbe mimi nilifeli physics ya kukariri nikaishia kusoma HGK kwa kupata A ya kusoma ili nielewe. ASANTE MUNGU WANGU KWA ASILI ZOTE KIMILA KITAIFA NA KIDUNIA. Namba yangu nilisema inapatkanaje kwenye post ya kwanza iliyofutwa nadhani.
 
Jmani magufuli alishakufa na wafu hawajui neno lolote, na ukiona unatumia kioo kuona makosa ya mfu maana yake wewe unajiangalia mwenyewe kwa upande wa giza. Kumbe ugejiangalia kwa upande wa nuru mimi Mkristo ningesema hivii Wafu hawajui neno lolote kwa hiyo ndo maana mama naanjua kupika vizuri lakini ibada yake ilijibiwa na mtu aliyeomba kweli kwa kumpenda mama kutoka moyoni, ndio maana kuna somewhere mapenzi yalitumika vibaya kwa wale mlioangalia alchemy of soul mtagundua kuwa real danju anaweza kupatikana popote. Sasa tumchukulie real danju kama stelingi atakaenifikisha kwa mama kwa sababu nikipewa hiyo TAFSIRI nikisoma nitajua ndo huyu kama siyo yeye nitajua kwa sababu ili chakula kikamilike ni kwamba viungo lazima vikamilike na vikikamilika watu wote watajua tuu hata kama mtu hajawahi kula hicho chakula itatokea tuu atajikuta anakula.

Ndio maana kuna mtoto mmoja alimzaa mama kwa upendo wa yule mama na ibada yake ya kweli kwa Mungu wake na kwa kazi aliyokuwa anaifanya watu walimzungumzia vizuri na mimi humzungumzia vizuri hata kama yeye hayupo mfano kuna mama mmoja alikuwa anazungumza siku moja nipo sehamu moto unawaka anasema ina maana moto unawaka huku mama yupo uwanjani, sasa nikajiuliza moyoni hivi sasa huyu mama anamlaumu mwenzake kuwa yupo uwanjani wakati moto umeanza kimara na mpira ulishaanza uwanjani niongee kama mkristo ambavyo ningehukumu kwamba kumbe mama kati ya moto na mpira agenda ya kitaifa ni mpira
Kimajukum kitaifa jukum la kuzima moto ni la faya

Sasa kuna mama mwingine analaumu kwanza hilo gari halina hata maji halijajaa faya hawanaga maji wale, huyu anaesema hivi amesimama mbali kiasi kwmba hata haoni gari lafaya kama limegeukia mbele. Ubarikiwe sana dada yangu ulienifanya niishi katika ndoa yangu kwa furaha kupitia kitabu kileeee cha uso kinachosoma Sanaa ya usoooo wa mtu kupitia swali aliloulizwa Chawa wa mama wafunguliwe sacoss kwa sababu ndio walinifanya nijiulize sana siku moto unawaka kwamba wabongo bwana mama na heshima zote zile sasa nimeamini ndo maana mtaendelea kuwa chawa.

Nilianzia kwa dada mmoja hivi niliamini hanaga upande katika habari lakini cha ajabu ni kwamba huwa tatizo likitokea badala atumie maarifa kusaidia asili yake anaungana na wauza chakula kila mahali. Wakati watoa sadaka ndo walimsomesha ndo maana atajikuta mtumwa wa wauza chakula na atafia huko kwa sababu alisoma shule kwa watoa sadaka ile sadaka yao ndo imekuja kuniona mimi, nilikuomba wewe dada kupitia namba yako hujanijibu hadi leo.

Rafiki yako jiwe la ayani lady anatakiwa akusaidie umrudie Mungu kumbuka ule muujiza ulipost wakati mtu fulani anapona nikamuamini Mungu zaidi kuliko wewe na ndo ulikuwa mtu wa kwanza kabisa baada ya kuwauliza maswali ya mzee wa mbayuwayu watu wangu wa karibu waliolazimisha niwape ni nini sijawaambia niwaambie ujumbe yaani ntaandika mpaka mwenyewe umfikie
 
Huyu bibi ametuharibia sana Tanganyika yetu.hadi amalize.tutakuwa hatuna maliasili tena,zote zitakuwa zinamilikiwa na wageni.sheria ya kutokushitakiwa kwa rais iondolewe ili tuje tumshughulikie kwa matendo yake ya hovyo anayofanya
 
Back
Top Bottom