Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Magufuli alikua against na chanjo ya corona, sio chanjo zote. Uache uongo.Magufuli alikuwa against chanjo kuwa zimeletwa kuua watu, na hakusema chanjo za Covid pekee, alilnga chanjo zote
Mimi hiyo ya Covid pia sijachanja, sipo katika kundi la wenye risk
Ila chanjo naamini inazuia magonjwa
Itabidi uandamane sasa serikali iache kuua wananchiAcha kuwalazimisha watu hayo mauchafu ya chanjo.
Kimsingi hayo machanjo ni UCHAFU.
Afu hapo ulipo una chanjo za tetenasi, pepopunda, tetekuwanga nk. Hikika tuliharibiwa kisaikolojia na yule mtu wenu.Chanjo hazifai. Ni masumu mabaya yasiyojulikana yametoka wapi na kwa malengo gani.
Kama una hamu na chanjo fika kituo kilicho karibu waambie wakupatie furushi zima ulinywe.
Ni nani kasema hazitolewi? Ambae anataka atachanja, ambae hataki hatachanja.Chanjo zitaendele kutolewa hospitali na kugharamikiwa na serikali, na wananchi wanachanja, hutaki kaandamane au hama nchi
Utakesha sana. Bado nipo mno.Covid ingepita na wewe ingependeza sana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ambae amechanja hatakufa?
Baeleze.Lengo la chanjo ni nini?
Kama ni kuwazuia watu wasife na corona sioni tofauti kati ya wale waliochanjwa na wasiochanjwa.
Vinginevyo ni mitego tu ya kibeberu kutengeneza fursa ya kujitengenezea utajiri kwa mgongo wa raia wa dunia hii.
Clueless.
Si huwa mnasema alikuwa hapendwi na hakuwa na wafuasi , ikawaje tena hao.wananchi wanaofuata mawazo yake ni akina nani?Magufuli kwa ushamba wake na kukosa exposure alijikuta anachafua hali ya hewa kuhusu chanjo. Alikuwa na imani duni kuhusu masuala ya chanjo.
Hali hiyo imechangia sana wananchi wamekuwa wakipuuza chanjo kwa imani potofu. Wananchi wengi wanaamini chanjo ni mpango wa kibeberu kuwaangamiza waafrika.
Serikali ya mama ina kazi ya kufanya kuondoa sumu aliyotia Magufuli
Ni kipi ambacho kingefanya chanjo nyingine kuwa salama na za Corona zisiwe salama kwa mujibu wa MagufuliMagufuli alikua against na chanjo ya corona, sio chanjo zote. Uache uongo.
Zingine zilikuwepo na ziliendelea kutolewa Kama kawaida
View attachment 2284364
Mnaosema chanjo zitaua wananchi inabidi mkazuie ili kuokoa taifa, ama?Ni nani kasema hazitolewi? Ambae anataka atachanja, ambae hataki hatachanja.
Vyovyote viwavyo.A
Afu hapo ulipo una chanjo za tetenasi, pepopunda, tetekuwanga nk. Hikika tuliharibiwa kisaikolojia na yule mtu wenu.
Utaandamana wewe na maboksi yako ya chanjo za kuzimu.Itabidi uandamane sasa serikali iache kuua wananchi
Si kila samaki analiwa, kwa kuwa unakula sato, sangara, mkebuka, kibua, jodari, changu basi unafikiri na bunju nae analiwaA
Afu hapo ulipo una chanjo za tetenasi, pepopunda, tetekuwanga nk. Hikika tuliharibiwa kisaikolojia na yule mtu wenu.
Mifano ya kitoto au kijinga. Alikudanganya afu akafa kwa alichotudanganyiaSi kila samaki analiwa, kwa kuwa unakula sato, sangara, mkebuka, kibua, jodari, changu basi unafikiri na bunju nae analiwa
Huu mjadala ulishazungumzwa sana. Na moja ya sababu ni namna namuda uliotumika kutengenezwa kwa chanjo.Ni kipi ambacho kingefanya chanjo nyingine kuwa salama na za Corona zisiwe salama kwa mujibu wa Magufuli
Mifano ya kitoto?Mifano ya kitoto au kijinga. Alikudanganya afu akafa kwa alichotudanganyia
Ah wapi, kwani we unaishi wapi?Mnaosema chanjo zitaua wananchi inabidi mkazuie ili kuokoa taifa, ama?
CHANJO NI UCHAFU WENYE SUMU.Mifano ya kitoto au kijinga. Alikudanganya afu akafa kwa alichotudanganyia